aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
- Thread starter
- #21
Mpumbavu amesema moyoni, Mungu yupo.Hawa majamaa wanaoamini hakuna Mungu usibishane nao maana huwez kuwaelewesha kabisaa tazama hapa chini👇👇👇👇.................kwaiyo atheist angekuwa mjinga angeelewa lakn tatizo n liko hapo chini.
Unaona inavyosound poa?