Mungu, Shetani, nuksi, mikosi, maagano, madhabahu, BARAKA, laana, mizimu, UCHAWI,.....hivyo vyote havipo kabisa wala hakuna anayeweza thibitisha uwepo wake,... lakini wenye uelewa finyu wako tayari wauue wenzao kisa kasema kitu fulani hakipo, hii inathibitisha upeo mdogo wa wa fikra walionao watu wa imani.......,hao watu ni vyema wakaachwa na UPUMBAVU wao๐ฎโ