Mtazamo: Wananchi wameichukia CCM ilishazoea kuwaona wajinga, wananchi wa leo sio wa 2015

Mtazamo: Wananchi wameichukia CCM ilishazoea kuwaona wajinga, wananchi wa leo sio wa 2015

tangu mfumo wa vyama vingi urejee, ccm walishashinda kihalali mara 1 tu, mwaka 2005 tena huku bara, chaguzi zingine zoote waliiba kwa nguvu, wakilindwa na katiba letu bovu wasilotaka libadilishwe, maana ndo kete yao pekee ya kubaki madarakani kwa sasa.
 
Hawa jamaa wame track akili za watanzania Kwa 98%,hivi kweli Ndugai amekuwa hoja ya taifa kabisa?!
CCM ni kirusi siku kikitolewa tunaweza kuiona Tanzania kipekee.
 
Fursa ya CCM kuanguka ilikuwa ni 1995 wakati ule Mrema alivyowageuka lakini Nyerere aliiokoa alivyoingilia kati uchaguzi na kuwakashifu na kuwakejeli wapinzani wa siasa. Baada ya 1995, CCM imejikita na vigumu kuanguka. Nyerere ndiye aliyeuwa demokrasia Tanzania.
 
Fursa ya CCM kuanguka ilikuwa ni 1995 wakati ule Mrema alivyowageuka lakini Nyerere aliiokoa alivyoingilia kati uchaguzi na kuwakashifu na kuwakejeli wapinzani wa siasa. Baada ya 1995, CCM imejikita na vigumu kuanguka. Nyerere ndiye aliyeuwa demokrasia Tanzania.
Ni wakati mwafaka wa CCM kuondolewa madarakani. Kuna viashiria vya kutosha na fursa nyingi za vyama vya upinzani kuingia Ikulu. Hili litawezekana tu iwapo wanasiasa wa upinzani wataweka ubinafsi pembeni na kujikita kwenye masuala ya kitaifa hasa ya maendeleo km kumtua mama ndoo kichwani, fursa za uchumi kwa vijana, mageuzi katika kilimo, nk
 
Ni wakati mwafaka wa CCM kuondolewa madarakani. Kuna viashiria vya kutosha na fursa nyingi za vyama vya upinzani kuingia Ikulu. Hili litawezekana tu iwapo wanasiasa wa upinzani wataweka ubinafsi pembeni na kujikita kwenye masuala ya kitaifa hasa ya maendeleo km kumtua mama ndoo kichwani, fursa za uchumi kwa vijana, mageuzi katika kilimo, nk
Wakati muafaka ulikuwa ni 1995 wakati CCM ilikuwa kwenye mazingira magumu. Sasa hivi wamejikita, wamejifunza kila mbinu ya kubaki madarakani. Siyo rahisi.
 
tangu mfumo wa vyama vingi urejee ccm walishashinda kihalali mara 1 tu, mwaka 2005 tena huku bara, chaguzi zingine zoote waliiba kwa nguvu, wakilindwa na katiba letu bovu wasilotaka libadilishwe, maana ndo kete yao pekee ya kubaki madarakani kwa sasa.

Na muasisi wa wizi wa kura hapa nchini ni Nyerere. Kiuhalisia CCM sio chama cha kizazi hiki ndio maana kinatumia mabavu kubaki madarakani.
 
Police na TISS wanayo Kazi kubwa Sana kuhahikisha ccm inabakia madarakani 2025.Uelewa umeongezeka kwa watz
 
CCM ni matapeli,ni punguani peke yake ndiye anaweza kuipenda na kuwa mwanachama wa CCM.

Kwa takribani miaka 60 ya uhuru CCM wamekuwa wakilaghai na kutapeli Watanzania:

Kwenye kampeni👇
Baada ya kuingia Ikulu👇🐒🐒🐒
 
Fursa ya CCM kuanguka ilikuwa ni 1995 wakati ule Mrema alivyowageuka lakini Nyerere aliiokoa alivyoingilia kati uchaguzi na kuwakashifu na kuwakejeli wapinzani wa siasa. Baada ya 1995, CCM imejikita na vigumu kuanguka. Nyerere ndiye aliyeuwa demokrasia Tanzania.
Lakini ccm haikubaliki kwa wananchi haina uwezo wa kusimama tena yenyewe bila kubebwa
 
Idadi ya wanachama wake ambao ni wazee inapungua KILA siku.
 
Jiwe bila kuwakaba wakurugenzi wamsaidie kupora uchaguzi asingerudi.
Na wakiiba tena 2025 hatutoacha kumuomba Mola awaaibishe kama alivyowaibisha 2020 wote walioba kura na kuzulumu haki yetu ya kuwachagua wawakilishi wetu wamekufa kiroho na kimwili KILA mtu ni shahidi.
Tutaamini Mola atatenda zaidi 2025 wakiiba tena.
 
Walishazoea kufanya ufisadi na kuiba mali za umma na wakati wa uchaguzi wanawalaghai wananchi. Sasa watanzania walishawashutukia.

Mwaka 2015 baada ya kuona kuwa walishachafuka kwa ufisadi wakafanya ulaghai kujifanya wanawakataa mafisadi, kumbe ndio walewale. Mwaka huu na kuendelea watanzania hawadanganyiki.
Duuuuuh
 
Ni wakati mwafaka wa CCM kuondolewa madarakani. Kuna viashiria vya kutosha na fursa nyingi za vyama vya upinzani kuingia Ikulu. Hili litawezekana tu iwapo wanasiasa wa upinzani wataweka ubinafsi pembeni na kujikita kwenye masuala ya kitaifa hasa ya maendeleo km kumtua mama ndoo kichwani, fursa za uchumi kwa vijana, mageuzi katika kilimo, nk

Kwa huu uchaguzi ambao rais anapanga kura atakazo, sioni wapiga kura wakijitokeza tena. Labda ipatikane katiba mpya itakayozaa tume huru ya uchaguzi. Kinyume na hapo machafuko pekee ndio njia iliyobaki ya uhakika.
 
Chuki haiwezi kuiondoa CCm madalakan kaa ufikilie na ujitafakari upya
Na CCm itaendelea kuwepo imemtawala babu yako itamtawala baba yako na itamtawala mwanao na itamtawala mjukuu wako in short ni iv Ccm itautawala kizazi chako nacha wazee wako
Chadema ,ACT na vyama vingne ayo ni matawi ya CCM kilicho baki ni kucheza na akili zetu wananchi
CCm itaondolewa na wananchi ila sio vyama vya upinzani sasa ni suala la mda tu yaweza kua mwezi ,wiki, mwaka , miaka , karne au century
 
Mtaifanya nini ccm?, haihitaji Kura zenu kubaki madarakani. They have everything required to stay in power.
Not everything...hawana uungwaji mkono wa wananchi...tatizo watanzania ni kama timelogwa na huyu ccm..siku tukizinduka ndipo watakapojua hiyo Dola wanayoitegemea sio lolote sio chochote...ipo siku
 
Back
Top Bottom