Mtazamo wangu: Arsenal atamaliza bila taji msimu wa 2023/24

Aisee....
 
Ulinitukana Sana lakini Muda si mrefu tutajua Tu Nani aliandika UCHOKO kama ulivosema
 
Usiku wenyewe wa Ulaya si ndio leo? Hapo Allianz Arena,ndugu yao kutoka kwa wapinzani wao wa North London, Spurs Mr. Magoli Harry Kane ANAWASUBIRI KWA HAMU.Huku kwenye ligi tayari Man City kaishakaa kwenye nafasi yake ambayo sidhani kama ataiachia.
 
Usiku wenyewe wa Ulaya si ndio leo? Hapo Allianz Arena,ndugu yao kutoka kwa wapinzani wao wa North London, Spurs Mr. Magoli Harry Kane ANAWASUBIRI KWA HAMU.Huku kwenye ligi tayari Man City kaishakaa kwenye nafasi yake ambayo sidhani kama ataiachia.
Mkuu agiza pepsi baridi nalipa kwa N-card
 
Nyie bado ni wanyonge tu!! Mbwa
 
Wachawi mnatakiwa kuuwawa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…