Mtazamo wangu: Arsenal atamaliza bila taji msimu wa 2023/24

Makolo Muli Bwanji ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Arsenal kazingua kupoteza baadhi ya Mechi ilibidi ashike bomba km Bayern Leverkusen mpaka Mwisho kamwacha M City akae JUU ni Jambo baya sana M City hatoichezea hio nafasi West Ham atalaluliwa vibaya sana huku Arsenal akikaziwa na Everton baada ya hapo M City Bingwa
 
Arsenal kazingua kupoteza baadhi ya Mechi ilibidi ashike bomba km Bayern Leverkusen mpaka Mwisho kamwacha M City akae JUU ni Jambo baya sana M City hatoichezea hio nafasi West Ham atalaluliwa vibaya sana huku Arsenal akikaziwa na Everton baada ya hapo M City Bingwa
 
Leo ndio leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ