Mtazamo wangu: Huenda Yanga SC ikajihakikishia rasmi Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa Matokeo ya Mnyama na Coastal Union Leo au Police Tanzania Jumapili


Una simu ngap G?
Anha nmekumbuka hi id ni ya desktop
 

Alooo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu hata kindumba?
Si wanajjfanya Wajanja? Waroge wao sasa Kudadadeki zao. Tukisema ( tukiwaambia ) ukweli hapa JamiiForums wanatutukana wakati wengine tunaijua Simba SC yao ndani nje na tumeshaifanyia mengi makubwa, ya Hatari na hata Kujitoa Mhanga pasipo kuhitaji Malipo yoyote ( Fadhila zozote ) kutoka Kwao ila tulijitoa ( Sacrifice ) kwa Mapenzi yetu makubwa kwa Simba SC yenu ( yao )
 
Kwa timu iliyokosa furaha kwa misimu minne sioni ajabu mwaka huu wakichukua wao..as long mnyama malengo yake kimataifa yako vizuri! Na kwa akili tu ya kawaida usimba na uyanga unanoga ikiwa timu zote zinafanya vizuri! Sasa fikiria timu moja hiyohiyo kila mwaka inachukua yenyewe tu kombe..
Na ndio maana hata hizi kelele za kuipamba yanga za waandishi wa habari sio za bahati mbaya..ni kuhakikisha wanairudisha yanga kwenye ramani..hata simba wanalijua hili,na huwezi amini hata Manara kwenda yanga ni katika kukamilisha huo mkakati ngalau yanga nao wawe na furaha..Simba haikufika pale bahati mbaya iliwachukua miaka mingi sana ya machozi na damu.
 
Na 'nitawapopoa' kweli wawe makini tu.
 
Kwa hiyo hela sio tuzo? Utopolo bhana.
 
Pamoja na kuwa Makolo lia lia huwa nakukubali unapoamua kusimamia ukweli mpaka kuchukiwa na Makolo wenzako
Asante Mkuu ni Kheri nichukiwe na wana Simba SC Wanafiki na Wapumbavu waliopo, ila nitasema Ukweli wangu daima, Siku zote na hata kama Utanigharimu Uhai wangu au Chochote kile.
 
Japo mie ni yanga,nimependa kauli yako ya kuomba uvumilivu kwa maoni yako,asante kwa hilo
 
Baada ya kuona Mambo yameshaharibika leo ndiyo mnajifariji kwa haya Maneno na hivi Visingizio vyenu vingi? Nikiwaambia Ukweli hapa JamiiForums si huwa hamtaki ( hamkubali ) na Mnanitukana na Kunishambulia?

Endeleeni basii na huo Utamaduni Wenu wa Kinafiki na Kiupopoma.
 
Wewe inaonekana mchawi sio bure, kama umeikatia tamaa simba kwanini kutwa unaandika nyuzi humu,sisi wenye nayo tumerizika nayo hata tukikosa ubingwa au tukiishia robo fainali mwaka huu hatuwadai kitu wachezaji wetu na makocha wetu kwasababu tulianza ligi vibaya na tulikutana na bahati ya viwanja vibovu, sisi hatuna pressure kwasababu mwakani tunakwenda kimataifa kama kawaida tena champions league na tukiwa tunawachezaji wazuri acha kutupa pressure zisizo na maana sisi hatufanyi vibaya kwenye ligi kwani tupo nafasi ya pili na tunacheza robo fainali ya caf shirikisho.
 
Mapinduzi yanga hamlitaki?sio nyinyi mmezunguka nalo kama mazuzu Dar msimu uliopita na joto kali.
 
Kwaiyo wengine walikuwa wanachezea kwenye viwanja vilivyopo mbinguni? Nyie tu ndo mlikuwa mnachezea viwanja vibovu sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…