Mtazamo wangu: Huenda Yanga SC ikajihakikishia rasmi Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa Matokeo ya Mnyama na Coastal Union Leo au Police Tanzania Jumapili

Mtazamo wangu: Huenda Yanga SC ikajihakikishia rasmi Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa Matokeo ya Mnyama na Coastal Union Leo au Police Tanzania Jumapili

Wewe inaonekana mchawi sio bure, kama umeikatia tamaa simba kwanini kutwa unaandika nyuzi humu,sisi wenye nayo tumerizika nayo hata tukikosa ubingwa au tukiishia robo fainali mwaka huu hatuwadai kitu wachezaji wetu na makocha wetu kwasababu tulianza ligi vibaya na tulikutana na bahati ya viwanja vibovu, sisi hatuna pressure kwasababu mwakani tunakwenda kimataifa kama kawaida tena champions league na tukiwa tunawachezaji wazuri acha kutupa pressure zisizo na maana sisi hatufanyi vibaya kwenye ligi kwani tupo nafasi ya pili na tunacheza robo fainali ya caf shirikisho.
Pumbavu na kuna uwezekano mkubwa pia Mechi zako za Leo na Coastal Union FC na ile ya Jumapili dhidi ya Police Tanzania ukaharibu zote au moja wapo na labda kitakachokuokoa ni 'Kuhonga' ili Timu ishinde na ishushe Presha za nyie Mashabiki Mbumbumbu ili mpoe na msianzishe Migogoro.
 
Hata wakichukua .
Simba ameshaingiza bilioni 1 na chenji huko shirikisho.
Tena kwa hatua chache tu.
Hivi siku hizii dola imepanda kiasi hiki? Yaani dola 350,000 wanazopokea waliotinga robo fainali kumbe ni sawa sawa na bilioni moja za kitanzani
 
Kuingia makundi Simba kalipwa bei gani?
Na kuingia robo FAINALI Simba kalipwa bei gani?
Wapumbavu Wenzako na ambao wengi mmejazana hapa watakuamini kwa huu Uwongo wako ila wenye Akili Kubwa tunajua mpaka hapa ilipofikia Simba SC ( hatua hii ya Robo Fainali ya CAF ) imejipatia Kitita cha Dola za Kimarekani 350,000 ambazo ni sawa na Shilingi 803,000,000/= ( Milioni Mia Nane na Tatu ) za Tanzania kwa rate ya sasa ya Dola ya Tsh 2,300/= kwa Dola Moja.
 
Pumbavu na kuna uwezekano mkubwa pia Mechi zako za Leo na Coastal Union FC na ile ya Jumapili dhidi ya Police Tanzania ukaharibu zote au moja wapo na labda kitakachokuokoa ni 'Kuhonga' ili Timu ishinde na ishushe Presha za nyie Mashabiki Mbumbumbu ili mpoe na msianzishe Migogoro.
We ndio mjinga wa mwisho,kazi kuwaombea mabaya wanaume wenye mafanikio, acha wivu wa uke wenza.
 
Kwa Matokeo ya Chamazi Complex Jana Usiku, kwa Presha Kubwa iliyoko sasa, kwa Ratiba ngumu ya Ligi Kuu na ile ya ASFC, kwa Rotation ya Wachezaji ili Kukwepa injuries na kwa Mawazo pamoja na Maandalizi ya Mechi na Waafrika Kusini katika Robo Fainali ya CAF Kiufundi GENTAMYCINE naona kuna Uwezekano mkubwa wa Kuangusha Alama Muhimu ama na Coastal Union FC leo au na Police Tanzania Jumapili hali ambayo itawahakikishia rasmi Ubingwa Wapinzani kwani tayari watakuwa wameshajikusanyia Alama ( Points ) nyingi za kuwapa Jeuri hiyo.

Nasisitiza huu ni Mtizamo wangu wa Kiufundi Mimi GENTAMYCINE na sijakulazimisha Uuamini au Uuchukue bali naomba / nakuomba tu Uuheshimu na kama hiki nilichokiandika Kitakukwaza ( Kitakukera ) nakusihi Vumilia tu kwani wengine tumebarikiwa kuwa Wakweli, Waona Mbali na hatujawahi ama Kuhisi Kitu au Kutabiri Jambo halafu kwa 75% hadi 99.999% kisiwe / lisiwe Kweli.

Na kama labda utakuwa na Hasira ( Jazba ) mno na GENTAMYCINE kwa huu Mtazamo wangu wa Kiufundi kutokana na Mapenzi ( Mahaba ) niue yako kwa Klabu yako pendwa nakuomba Kwanza anza Kuwakasirikia Viongozi wako ( hasa Mwekezaji wako ) ambaye alisitisha ( aligoma ) kutoa Posho kwa Wachezaji na CEO wenu nae akawacheleweshea Mishahara Wachezaji wenu hali iliyopelekea Wachezaji kushuka Morali na hatimaye Kuharibu Mechi ya Mbeya na Mbeya City FC na ile ya Kagera na Kagera Sugar FC.

Niwatakieni tu Karume Day njema Leo.
Kwahyo tuwalaumu viongozi? Unataka kila msimu Simba ibebe ubingwa tu? Lazima ifike stage tukubali hiyo ndio football lazma na timu nyingine zije kubeba ubingwa. Utakuwa juha mkubwa sana ukiendelea kuamini kuwa Simba kila msimu itwae ubingwa wa NBC
 
Mapinduzi yanga hamlitaki?sio nyinyi mmezunguka nalo kama mazuzu Dar msimu uliopita na joto kali.
Wenyewe wanasema kilichowafanya wazunguuke nalo Dar ni matokeo ya mechi ya fainali na wala sio kwa sababu ya kupata kombe. Hilo kombe lilikuwa ni msindikizaji tu.
 
Kwa Matokeo ya Chamazi Complex Jana Usiku, kwa Presha Kubwa iliyoko sasa, kwa Ratiba ngumu ya Ligi Kuu na ile ya ASFC, kwa Rotation ya Wachezaji ili Kukwepa injuries na kwa Mawazo pamoja na Maandalizi ya Mechi na Waafrika Kusini katika Robo Fainali ya CAF Kiufundi GENTAMYCINE naona kuna Uwezekano mkubwa wa Kuangusha Alama Muhimu ama na Coastal Union FC leo au na Police Tanzania Jumapili hali ambayo itawahakikishia rasmi Ubingwa Wapinzani kwani tayari watakuwa wameshajikusanyia Alama ( Points ) nyingi za kuwapa Jeuri hiyo.

Nasisitiza huu ni Mtizamo wangu wa Kiufundi Mimi GENTAMYCINE na sijakulazimisha Uuamini au Uuchukue bali naomba / nakuomba tu Uuheshimu na kama hiki nilichokiandika Kitakukwaza ( Kitakukera ) nakusihi Vumilia tu kwani wengine tumebarikiwa kuwa Wakweli, Waona Mbali na hatujawahi ama Kuhisi Kitu au Kutabiri Jambo halafu kwa 75% hadi 99.999% kisiwe / lisiwe Kweli.

Na kama labda utakuwa na Hasira ( Jazba ) mno na GENTAMYCINE kwa huu Mtazamo wangu wa Kiufundi kutokana na Mapenzi ( Mahaba ) niue yako kwa Klabu yako pendwa nakuomba Kwanza anza Kuwakasirikia Viongozi wako ( hasa Mwekezaji wako ) ambaye alisitisha ( aligoma ) kutoa Posho kwa Wachezaji na CEO wenu nae akawacheleweshea Mishahara Wachezaji wenu hali iliyopelekea Wachezaji kushuka Morali na hatimaye Kuharibu Mechi ya Mbeya na Mbeya City FC na ile ya Kagera na Kagera Sugar FC.

Niwatakieni tu Karume Day njema Leo.
 
Hizo bil 1 yanga anazipata katika ubingwa wa ligi
Mh tupe mchangunuo wake hapa hiyo bi 1 mtaiiba wapi?maana mshindi anapata mil 500 mshindi wa pili mil 250 ina maana tofauti ya ni mil 250 so nyie mnatoa wapi hiyo bil 1?
 
Wenyewe wanasema kilichowafanya wazunguuke nalo Dar ni matokeo ya mechi ya fainali na wala sio kwa sababu ya kupata kombe. Hilo kombe lilikuwa ni msindikizaji tu.
Ndio maana msemaji wao alisema hawana akili na kuthibitisha hilo wakaenda kumbeba huyohuyo aliewatukana
 
Simba tupambane kiume kuchukua kombe la Azam, ligi labda utokee muujiza
 
Ndio maana msemaji wao alisema hawana akili na kuthibitisha hilo wakaenda kumbeba huyohuyo aliewatukana
Niliwahi kusoma michango humu kwenye JF, niliona jamaa kama amefuta kauli zake zinazoihusu Uto na kudai hakuwa serious na kauli nyengine alizitoa akiwa amelewa.

Kwa hivyo anadai zisichukuliwe kiivyo na asihusishwe nazo.
 
Niliwahi kusoma michango humu kwenye JF, niliona jamaa kama amefuta kauli zake zinazoihusu Uto na kudai hakuwa serious na kauli nyengine alizitoa akiwa amelewa.

Kwa hivyo anadai zisichukuliwe kiivyo na asihusishwe nazo.
Kwa hiyo wameajiri mwendawazimu?
 
Back
Top Bottom