Mtazamo wangu: Jinsi wasanii wa WCB wanavyoweza kunufaika na kazi zao

Mtazamo wangu: Jinsi wasanii wa WCB wanavyoweza kunufaika na kazi zao

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Wcb wasafi ndio lebo namba moja afrika mashariki na kati hivi sasa lakini wasanii wake ni masikini kwa sababu kikubwa katika wanachotengeza kinaishia kwa mameneja na kidogo kwao.

Nimewahi kumsikia mkubwa fela pale wasafi fm alisema analipwa milion 40 kwa mwezi na mond ukiweka mbali mgao kutoka kwa wasanii.

WCB ni kubwa kwa sababu ya diamond. Hawa mameneja hawana impact yoyote pale ndio maana hata wasanii wanaowasimamia nje ya lebo hiyo hawajafanikiwa kwa chochote.

Solution hapa ni kuwatenganisha mameneja na lebo. Kama mond anawaamini sana hawa jamaa basi awaweke wawe mameneja wake kama msanii na sio lebo otherwise wasanii watabaki kuwa masikini na watatoka pale bila chochote cha kujivunia zaidi ya umaarufu.
 
Wcb wasafi ndio lebo namba moja afrika mashariki na kati hivi sasa lakini wasanii wake ni masikini kwa sababu kikubwa katika wanachotengeza kinaishia kwa mameneja na kidogo kwao.

nimewahi kumsikia mkubwa fela pale wasafi fm alisema analipwa milion 40 kwa mwezi na mond ukiweka mbali mgao kutoka kwa wasanii.

wcb ni kubwa kwa sababu ya diamond. Hawa mameneja hawana impact yoyote pale ndio maana hata wasanii wanaowasimamia nje ya lebo hiyo hawajafanikiwa kwa chochote.

solution hapa ni kuwatenganisha mameneja na lebo. Kama mond anawaamini sana hawa jamaa basi awaweke wawe mameneja wake kama msanii na sio lebo otherwise wasanii watabaki kuwa masikini na watatoka pale bila chochote cha kujivunia zaidi ya umaarufu.
 
WCB MOJA KATI YA LEBO KUBWA NA YENYE NGUVU BARANI AFRIKA
 
Wcb wasafi ndio lebo namba moja afrika mashariki na kati hivi sasa lakini wasanii wake ni masikini kwa sababu kikubwa katika wanachotengeza kinaishia kwa mameneja na kidogo kwao.

nimewahi kumsikia mkubwa fela pale wasafi fm alisema analipwa milion 40 kwa mwezi na mond ukiweka mbali mgao kutoka kwa wasanii.

wcb ni kubwa kwa sababu ya diamond. Hawa mameneja hawana impact yoyote pale ndio maana hata wasanii wanaowasimamia nje ya lebo hiyo hawajafanikiwa kwa chochote.

solution hapa ni kuwatenganisha mameneja na lebo. Kama mond anawaamini sana hawa jamaa basi awaweke wawe mameneja wake kama msanii na sio lebo otherwise wasanii watabaki kuwa masikini na watatoka pale bila chochote cha kujivunia zaidi ya umaarufu.
Mkubwa Fella,Babu Tale na Sallam hawalipwi mshahara kwanza,bali wanalipwa kwa kila shows au deal atakalopata Diamond wao wanachukua 30% ,70 ya Diamond.

Halafu kwa nini unawashauri wasanii wa WCB peke yake? au hao wa kwenye label nyingine za Kings,Kondegang ni matajiri?

Unaweza kwa nje ukaona hawana impact lkn hao ndio walio msupport Diamond kipindi media zote kubwa ziliposusa kupiga nyimbo zake na za wasanii wa label yake wao ndio walio tafuta njia nyingine za kusambaza kazi za wasanii wa WCB kuwafikia wasikilizaji.
 
Mkubwa Fella,Babu Tale na Sallam hawalipwi mshahara kwanza,bali wanalipwa kwa kila shows au deal atakalopata Diamond wao wanachukua 30% ,70 ya Diamond.

Halafu kwa nini unawashauri wasanii wa WCB peke yake? au hao wa kwenye label nyingine za Kings,Kondegang ni matajiri?

Unaweza kwa nje ukaona hawana impact lkn hao ndio walio msupport Diamond kipindi media zote kubwa ziliposusa kupiga nyimbo zake na za wasanii wa label yake wao ndio walio tafuta njia nyingine za kusambaza kazi za wasanii wa WCB kuwafikia wasikilizaji.
Mkubwa fella aliwahi kutamka kwa mdomo wake wasafi fm kuwa analipwa 40m kwa mwezi mbali na mgao kutoka kwa rayvanny fuatilia.
kuwataja kondegang na kingmusic kwenye kila story ya wcb ni kuwa over rate,hawalingani na wcb. Hawa jamaa wangekuwa na impact yoyote basi hata wasanii wao wangekuwa juu.
 
Mkubwa fella aliwahi kutamka kwa mdomo wake wasafi fm kuwa analipwa 40m kwa mwezi mbali na mgao kutoka kwa rayvanny fuatilia.
kuwataja kondegang na kingmusic kwenye kila story ya wcb ni kuwa over rate,hawalingani na wcb. Hawa jamaa wangekuwa na impact yoyote basi hata wasanii wao wangekuwa juu.
Wewe kama unabisha Diamond alishawahi tamka ,Sallam alishawahi tamka na Babutale alishawahi tamka wanalipwa 30% kwa kila deal kama hutaki sikulazimishi.
 
Wcb wasafi ndio lebo namba moja afrika mashariki na kati hivi sasa lakini wasanii wake ni masikini kwa sababu kikubwa katika wanachotengeza kinaishia kwa mameneja na kidogo kwao.

nimewahi kumsikia mkubwa fela pale wasafi fm alisema analipwa milion 40 kwa mwezi na mond ukiweka mbali mgao kutoka kwa wasanii.

wcb ni kubwa kwa sababu ya diamond. Hawa mameneja hawana impact yoyote pale ndio maana hata wasanii wanaowasimamia nje ya lebo hiyo hawajafanikiwa kwa chochote.

solution hapa ni kuwatenganisha mameneja na lebo. Kama mond anawaamini sana hawa jamaa basi awaweke wawe mameneja wake kama msanii na sio lebo otherwise wasanii watabaki kuwa masikini na watatoka pale bila chochote cha kujivunia zaidi ya umaarufu.
Maskini ukiwalinganisha na nani@@???,,,let's say tumchukue Harmonize leo tumlinganishe na Best Nasso nani atakuwa maskini hapa??
 
WCB ni taasisi.

Ila najua wana watu wao humu watakusikia. Kuna kijana mmoja wa Sinza atafikisha haya mapendekezo.
 
Maskini ukiwalinganisha na nani@@???,,,let's say tumchukue Harmonize leo tumlinganishe na Best Nasso nani atakuwa maskini hapa??
Ni masikini ukilinganisha na majina makubwa waliyonayo
 
Wcb wasafi ndio lebo namba moja afrika mashariki na kati hivi sasa lakini wasanii wake ni masikini kwa sababu kikubwa katika wanachotengeza kinaishia kwa mameneja na kidogo kwao.

nimewahi kumsikia mkubwa fela pale wasafi fm alisema analipwa milion 40 kwa mwezi na mond ukiweka mbali mgao kutoka kwa wasanii.

wcb ni kubwa kwa sababu ya diamond. Hawa mameneja hawana impact yoyote pale ndio maana hata wasanii wanaowasimamia nje ya lebo hiyo hawajafanikiwa kwa chochote.

solution hapa ni kuwatenganisha mameneja na lebo. Kama mond anawaamini sana hawa jamaa basi awaweke wawe mameneja wake kama msanii na sio lebo otherwise wasanii watabaki kuwa masikini na watatoka pale bila chochote cha kujivunia zaidi ya umaarufu.
I don't buy this nonsense that Mkubwa Fella is getting salary of 30M per month unless Diamond is fu.cking this guy always.
 
Back
Top Bottom