Mtazamo wangu kuelekea mechi ya mnyama Simba

Mtazamo wangu kuelekea mechi ya mnyama Simba

Simba hawapo vibaya sana na ni kweli wakicheza kimataifa huwa wanabadilika sana sijui hata ni kwanini. Lakini kitu ambacho naona kitakwenda kuwaangusha Simba ni kuwa haina washambuliaji wa uhakika wanaokupa matokeo. Ukiangalia washambuliaji waliondoka Phiri na Baleke na hao walioletwas Jobe na Koulban hakuna tofauti yoyote kubwa kati yao.. Hakukuwa na sababu ya kuwaacha Baleke na Phiri ilihali unakwenda sokoni kuleta watu wanaolingana nao kiuwezo.

Na mbaya zaidi pale mbele akipangwa mkalimani ndio basi tena. Watu tumepiga kelele sana kuhusu mkalimani kuikaba timu wapi sio viongozi wa Simba wala benchi la ufundi wanaona au kusikia badala yake anapangwa mechi zote mwanzo mwisho. Ngoja tuone kesho labda watabadilika.
 
CRB 3 - 0 YNG, Nakumbushia tu Matokeo Yalivyokuwa Algeria.

Haya Matokeo hayakuwa Mazuri ukizingatia mwishoni mkilingana pointi tu wanaangalia head to head ilikuwaje.
 
Kwa mtazamo wangu kelekea mechi ya kesho naona kabisa mnyama naenda kutoa sare kwasababu Misosa watacheza wamerelax kwakuwa hawana cha kupoteza na Simba watacheza kwa umakini mkubwa kuogopa kupoteza poits tatu.

Lakini Mimosa hawajawahi kupoteza kwenye uwanja wao wa nyumbani, so ni ngumu sana Simba kupata ushindi kwenye gem ya style hii. I say draw.
Hakuna droo apo,asec anashinda hii game kiulaini kabisa na hii nikutokana na timu mbovu ya Simba.
 
Simba mbovu ilo alina shaka kabs lkn simba iyoiyo ikicheza kimatahifa kwenye mchezo muhimu kama huu uwa inabadilika sana sina shika na simba kurudi na point lkn sio kupoteza mchezo ilo never.
Endelea kukariri Simba ileeeeeee......,sio Kwa bagadu hili,tuombee asipasuke nyingi
 
Simba hawapo vibaya sana na ni kweli wakicheza kimataifa huwa wanabadilika sana sijui hata ni kwanini. Lakini kitu ambacho naona kitakwenda kuwaangusha Simba ni kuwa haina washambuliaji wa uhakika wanaokupa matokeo. Ukiangalia washambuliaji waliondoka Phiri na Baleke na hao walioletwas Jobe na Koulban hakuna tofauti yoyote kubwa kati yao.. Hakukuwa na sababu ya kuwaacha Baleke na Phiri ilihali unakwenda sokoni kuleta watu wanaolingana nao kiuwezo.

Na mbaya zaidi pale mbele akipangwa mkalimani ndio basi tena. Watu tumepiga kelele sana kuhusu mkalimani kuikaba timu wapi sio viongozi wa Simba wala benchi la ufundi wanaona au kusikia badala yake anapangwa mechi zote mwanzo mwisho. Ngoja tuone kesho labda watabadilika.
Watabadilika sana simba na unaweza usiamin .
 
Mmepewa odds mlima huko
20240223_105247.jpg
 
Back
Top Bottom