Mtazamo wangu kuelekea Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

Mtazamo wangu kuelekea Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

homeless1

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
427
Reaction score
950
Kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mshabiki wa Simba sports club lakini uchambuzi wangu utazungumzia uzoefu mdogo nilionao kuhusu soka la Africa.

1. Kwa asilimia 100% nina uhakika Simba Sports Club ataenda Robo fainali hata kama wakibaki na hizo point 10 hio inamaanisha viongozi ni heli wakafikiria kuongoza kundi ili Kuipandisha hadhi team yetu.

2. Tukifika robo fainali nina uhakika mashabiki wa Simba hatutafurahishwa na kama ikitokea tukatolewa lakini nina uhakika pia tutajivunia team yetu kwa hatua ambayo tutakua tumefikia.

3. Team za Africa viwango vyao karibia vyote vinafanana na ndio maana ni mara chache sana kupata matokeo ya team kupigwa goli kuanzia mbili na kuendelea watu tunaobeti nafikiri hapa mnanielewa.

3. Kuna Wydad, Esperance na Mamelod ambao watu wengi wanaona kama ni tishio kitu ambacho niukweli ila ukiwa upande wa hizo team nina uhakika kwao team tishio na hawataki kukutana nayo ni Al Ahly na Simba Sport club kiasi ambacho hawaoni nani ana nafuu kati ya simba na Al Ahly ili waombee nan angoze au awe wa pili kwenye kundi lake.

4. Uwanja wa mkapa zamani nilikua naona kama ni rahisi kuondoka na matokeo ila saiz nmeanza kuelewa ni ngumu kuondoka na alama pale kwa team za nje hata kama zitakutana na Yanga achilia mbali Simba.

5. Simba wako vizuri kwenye defense haswa, Akiwapo onyango, wawa, mzamiru, Lwanga, Manula hua nawaza forward line ya team pinzan inapataje goli yaan wapite wote hao defensive men na ukamfunge Air manula ni kazi ya nguvu na mbinu inatakiwa kuganywa na team pinzani ili hilo litokee

6. Simba na Al Ahly ndio team pekee kati ya 16 zilizopo group stage ambazo zinaweza kua na uhakika wa ku posses mpira kama wakiamua,,,na hata wakiamua kua na approach tofauti hizi team zinamudu...imagine kwenye uwanja wa As Vita...Simba hakutaka kufunguka na alienda na approach ya kudefense na kuacha mpinzan akushambulie lakini As Vita alikua na shots on Target mbili pekee.

7. Simba tatizo ni Finishing na kama tukitaka kutibu tumuombe Gomes Da Rosa amuamini Kagere kwan uwezo wake upo juu sana ukimfananisha na mugalu ambae hawezi kulingana hata na John Boko.

8. Kama Tshabalala, Wawa, Onyango, Lwanga, Mkude, Morrison, Kapombe, Manula, Chama, Luis, kahata, Bwalya, Kagere, Mkude wakiwa fiti, au wasiwe na corona hakuna team Africa ambayo itakua tishio moja kwa moja kwa Simba au hakuna team ambayo haitaheshimu uwezo wa Simba pale zitapokutana.

9. Team ya Simba ni miongoni mwa team yenye depth kubwa kwa maana ya kwamba wachezaji wanaoanza, waliopo bench na hata wanaobaki reserves wana ubora mkubwa

10. Hii imekaa kiushabiki na sio kiuchambuzi, Simba kama ukitaka kuingalia usiiione kama kanyau ni kudude gukubwa gunakotisha sana, ni kama zile ndoto za kuweweseka kwa team pinzani ila za heri kwa wanasimba
 
Siyo tu huna uzoefu na mpira wa Africa bali huna uzoefu na mpira wenyewe kabisa,nilipoona tu umeandika una asilimia 100 Simba kufika robo fainali nikajua kweli huna uzoefu,100%? kweli? kwenye mpira?

Simba na Al ahly ndo pekee wenye uwezo wa ku possess mpira kwenye timu zilizo kwenye 16 kweli? huijui hata Mamelody? I guess unaisikia tu.

Kifupi bandiko lako limejaa Mahaba hisia na dhahania kuliko uhalisia.
 
Kaka As vita Sio team ya kumfunga Simba 2+ Simba kwa mkapa kulingana na team za Africa zilivyo na weka Record sawa ni team gani iliwa kumfunga Simba 2-0 mkapa na hio team iwe nje ya bongo na hata kama ikitokea Simba kafungwa hio Moja bila taifa Sijaona team ya vita ikienda ku clear goal difference ya 5 hata kwenye uwanja wao wa nyumbani

Hio moja pili makundi yakiisha yote au hata kwa misimu miwili Africa ni team ngapi zilikua na point 10 na hazikufika robo fainali mpaka limkute Simba Leo kuna muda ligi Ya Afrika hata 8points zinakuvusha utaangalia group la mazembe kuna team itavuka na 8 kama sio 9

Siyo tu huna uzoefu na mpira wa Africa bali huna uzoefu na mpira wenyewe kabisa,nilipoona tu umeandika una asilimia 100 za Simba kupita nimeishia hapo kusoma.
 
Kaka As vita Sio team ya kumfunga Simba 2+ Simba kwa mkapa kulingana na team za Africa zilivyo na weka Record sawa ni team gani iliwa kumfunga Simba 2-0 mkapa na hio team iwe nje ya bongo na hata kama ikitokea Simba kafungwa hio Moja bila taifa Sijaona team ya vita ikienda ku clear goal difference ya 5 hata kwenye uwanja wao wa nyumbani

Hio moja pili makundi yakiisha yote au hata kwa misimu miwili Africa ni team ngapi zilikua na point 10 na hazikufika robo fainali mpaka limkute Simba Leo kuna muda ligi Ya Afrika hata 8points zinakuvusha utaangalia group la mazembe kuna team itavuka na 8 kama sio 9
Sorry hiyo comment nili edit.

Bandiko lako limejaa mahaba,hisia na dhahania kuliko uhalisia.

Football haiko hivyo ndugu...Al ahly huwa hapati matokeo Congo...lakini msimu Vita kapigwa 3-0 wakati Egypt alipata sare....record zipo ili kuvunjwa ndugu...na huwezi jua ni lini zinavunjwa kuweka asilimia mia kwenye michezo ambayo haijakamilika thats not football..mpira mchezo wa suprise...Manchester alishindwa kupata point moja tu kwa Leipzig leo hii anacheza Europa,Simba ni nani?

Halafu tena una claim kuwa Simba na Al ahly pekee ndo wanaweza possess mpira kwenye timu 16. Kitu kinachoonyesha mpira wenyewe labda unaangalia mechi za Simba tu...ushawahi take your time kuwaangalia hata Mamelody?
 
Umenena Vizuri.. Subiri sasa waje Shabiki wa Utopolo na povu zao... Wanasahau hata PSG na Monaco ni Wapinzani Ufaransa lakini uwezi kumtaja Monaco kwa sasa katika level ya Ulaya.
 
Kaka As vita Sio team ya kumfunga Simba 2+ Simba kwa mkapa kulingana na team za Africa zilivyo na weka Record sawa ni team gani iliwa kumfunga Simba 2-0 mkapa na hio team iwe nje ya bongo na hata kama ikitokea Simba kafungwa hio Moja bila taifa Sijaona team ya vita ikienda ku clear goal difference ya 5 hata kwenye uwanja wao wa nyumbani


Hio moja pili makundi yakiisha yote au hata kwa misimu miwili Africa ni team ngapi zilikua na point 10 na hazikufika robo fainali mpaka limkute Simba Leo kuna muda ligi Ya Afrika hata 8points zinakuvusha utaangalia group la mazembe kuna team itavuka na 8 kama sio 9
Wala As Vita hahitaji goli 2-0 bali hata akipata ushindi wa 2-1 unamtosha sana kwasababu wanaangalia Head to head. Hivyo Simba atakuwa ameruhusu goli nyingi nyumbani.
 
Ni vyema ukaishauri timu yako kuendelea kucheza kwa bidii ili waongoze kundi lao A na hivyo kuepukana kukutana na waongozaji MAKATILI wa makundi mengine kama Mamelod Sundowns, Esperance na Wydad Casablanca!
Hao wapuuzi wanakupiga kokote! Iwe nyumbani au ugenini!

Na kuhusu Mugalu vs Kagere, huenda kocha wenu ana sababu za msingi. Kagere ni finisher mzuri, lakini siyo mpambanaji uwanjani kama huyo Cris Mugalu! Mugalu anakaba sana timu ikishambuliwa kuliko Kagere!

Hivyo kwa kiasi fulani, mwalimu wenu yuko sahihi. Ingawa huyo Mugalu mwenyewe ni Sarpong wa timu yako. Anapata nafasi tano, anaitumia moja tu!
 
Jaribu kufatilia rekodi za esperence kwenye mtoano kama anatolewaga na timu kama simba. Fatilia misimu mitatu iliyopita ambayo simba imefanya vizuri esperence alikuwa anafanya nini.. jibu utapata alikwaa anatwaa ubingwa wa caf champions league mfululizo.

Mpira wa africa una wenyewe.. ndio maana kwenye decade hakunaga bingwa mpya.. wale wale waliowahi kuwa mabingwa wanajirudia kwa kupokezana
 
Ni vyema ukaishauri timu yako kuendelea kucheza kwa bidii ili waongoze kundi lao A na hivyo kuepukana kukutana na waongozaji MAKATILI wa makundi mengine kama Mamelod Sundowns, Esperance na Wydad Casablanca!
Hao wapuuzi wanakupiga kokote! Iwe nyumbani au ugenini!

Na kuhusu Mugalu vs Kagere, huenda kocha wenu ana sababu za msingi. Kagere ni finisher mzuri, lakini siyo mpambanaji uwanjani kama huyo Cris Mugalu! Mugalu anakaba sana timu ikishambuliwa kuliko Kagere!

Hivyo kwa kiasi fulani, mwalimu wenu yuko sahihi. Ingawa huyo Mugalu mwenyewe ni Sarpong wa timu yako. Anapata nafasi tano, anaitumia moja tu!
There you are!! Falsafa ya mwalimu ni kuwa timu kama haina mpira wote wapambane kuutafuta na kukaba. Kwa Kagere timu kama haina mpira hutumia muda huo kutafuta position nzuri ili wenzake wakifanikiwa kuupata wampe pasi ya mwisho ilu afunge. Kagere ni mmaliziaji mzuri lakini ni mshirika hafifu. Hafai kuanza mechi zenye ushindani mkali.
 
Simba kuvuka ni 100%, [emoji849][emoji848]
hapo kihisabati maana yake kaishavuka, ni aheri ungesema 99% ingeleta maana.
 
Wala As Vita hahitaji goli 2-0 bali hata akipata ushindi wa 2-1 unamtosha sana kwasababu wanaangalia Head to head. Hivyo Simba atakuwa ameruhusu goli nyingi nyumbani.
Sijasema 2-0 nmeandukika mbili + kwa maana ya kwamba hayo matokea Dar hayapo
 
Hao mamelod na Esperance hawana team ya kutisha kwa game nlizoona labda mamelod yaan wydad na horoya sijui walikua wanafanya nini uwanjani
Ni vyema ukaishauri timu yako kuendelea kucheza kwa bidii ili waongoze kundi lao A na hivyo kuepukana kukutana na waongozaji MAKATILI wa makundi mengine kama Mamelod Sundowns, Esperance na Wydad Casablanca!
Hao wapuuzi wanakupiga kokote! Iwe nyumbani au ugenini!

Na kuhusu Mugalu vs Kagere, huenda kocha wenu ana sababu za msingi. Kagere ni finisher mzuri, lakini siyo mpambanaji uwanjani kama huyo Cris Mugalu! Mugalu anakaba sana timu ikishambuliwa kuliko Kagere!

Hivyo kwa kiasi fulani, mwalimu wenu yuko sahihi. Ingawa huyo Mugalu mwenyewe ni Sarpong wa timu yako. Anapata nafasi tano, anaitumia moja tu!
 
Kaka naona sasa ulinielewa
Siyo tu huna uzoefu na mpira wa Africa bali huna uzoefu na mpira wenyewe kabisa,nilipoona tu umeandika una asilimia 100 Simba kufika robo fainali nikajua kweli huna uzoefu,100%? kweli? kwenye mpira?

Simba na Al ahly ndo pekee wenye uwezo wa ku possess mpira kwenye timu zilizo kwenye 16 kweli? huijui hata Mamelody? I guess unaisikia tu.

Kifupi bandiko lako limejaa Mahaba hisia na dhahania kuliko uhalisia.
 
Kwa kifupi ni kua ilikua ni lazima simba kuvuka robo fainali kwan Africa ndo ilivyo team zote zenye point 10 ni ngum kutovuka,,, imagine Al Ahly angepigwa 2-0 na Al merreikh bado angevuka makund hata kama angepata point 7
 
Kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mshabiki wa Simba sports club lakini uchambuzi wangu utazungumzia uzoefu mdogo nilionao kuhusu soka la Africa.

1.Kwa asilimia 100% nina uhakika Simba Sports Club ataenda Robo fainali hata kama wakibaki na hizo point 10 hio inamaanisha viongozi ni heli wakafikiria kuongoza kundi ili Kuipandisha hadhi team yetu.

2.Tukifika robo fainali nina uhakika mashabiki wa Simba hatutafurahishwa na kama ikitokea tukatolewa lakini nina uhakika pia tutajivunia team yetu kwa hatua ambayo tutakua tumefikia.

3.Team za Africa viwango vyao karibia vyote vinafanana na ndio maana ni mara chache sana kupata matokeo ya team kupigwa goli kuanzia mbili na kuendelea watu tunaobeti nafikiri hapa mnanielewa.

3.Kuna Wydad, Esperance na Mamelod ambao watu wengi wanaona kama ni tishio kitu ambacho niukweli ila ukiwa upande wa hizo team nina uhakika kwao team tishio na hawataki kukutana nayo ni Al Ahly na Simba Sport club kiasi ambacho hawaoni nani ana nafuu kati ya simba na Al Ahly ili waombee nan angoze au awe wa pili kwenye kundi lake.

4.Uwanja wa mkapa zamani nilikua naona kama ni rahisi kuondoka na matokeo ila saiz nmeanza kuelewa ni ngumu kuondoka na alama pale kwa team za nje hata kama zitakutana na Yanga achilia mbali Simba.

5.Simba wako vizuri kwenye defense haswa, Akiwapo onyango, wawa, mzamiru, Lwanga, Manula hua nawaza forward line ya team pinzan inapataje goli yaan wapite wote hao defensive men na ukamfunge Air manula ni kazi ya nguvu na mbinu inatakiwa kuganywa na team pinzani ili hilo litokee

6. Simba na Al Ahly ndio team pekee kati ya 16 zilizopo group stage ambazo zinaweza kua na uhakika wa ku posses mpira kama wakiamua,,,na hata wakiamua kua na approach tofauti hizi team zinamudu...imagine kwenye uwanja wa As Vita...Simba hakutaka kufunguka na alienda na approach ya kudefense na kuacha mpinzan akushambulie lakini As Vita alikua na shots on Target mbili pekee.

7.Simba tatizo ni Finishing na kama tukitaka kutibu tumuombe Gomes Da Rosa amuamini Kagere kwan uwezo wake upo juu sana ukimfananisha na mugalu ambae hawezi kulingana hata na John Boko.

8.Kama Tshabalala , Wawa, Onyango, Lwanga, Mkude, Morrison, Kapombe, Manula, Chama, Luis, kahata, Bwalya, Kagere, Mkude wakiwa fiti, Au wasiwe na corona hakuna team Africa ambayo itakua tishio moja kwa moja kwa Simba au hakuna team ambayo haitaheshimu uwezo wa Simba pale zitapokutana.

9. Team ya Simba ni miongoni mwa team yenye depth kubwa kwa maana ya kwamba wachezaji wanaoanza, waliopo bench na hata wanaobaki reserves wana ubora mkubwa

10. Hii imekaa kiushabiki na sio kiuchambuzi, Simba kama ukitaka kuingalia usiiione kama kanyau ni kudude gukubwa gunakotisha sana, ni kama zile ndoto za kuweweseka kwa team pinzani ila za heri kwa wanasimba
👍
 
Back
Top Bottom