Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Sawa Mabingwa wapya wa Afcon 2021!! Muda ni tafiki mzuri sana. Anyway, hongereni kwa kuingia robo fainali kwa mara ya pili na pia kwa kuongoza kundi.Hata wakaunda timu ya pamoja , huo uwezo wa kumfunga simba ndani nje hawana , na kama wangekua nao wangefanya vizuri kwenye makundi yao kuzidi Simba alivyofanya kwenye kundi lake , hakuna hata mmoja aliemfunika uwezo Simba
Ingawa mna kazi kubwa kwa yule Striker wenu Cris Mugalu! Hata kama Sarpong ni foward butu, ila Mugalu ni the buttest striker!