Amka sasa uongee huo utumbo wako tena.Siyo tu huna uzoefu na mpira wa Africa bali huna uzoefu na mpira wenyewe kabisa,nilipoona tu umeandika una asilimia 100 Simba kufika robo fainali nikajua kweli huna uzoefu,100%? kweli? kwenye mpira?
Simba na Al ahly ndo pekee wenye uwezo wa ku possess mpira kwenye timu zilizo kwenye 16 kweli? huijui hata Mamelody? I guess unaisikia tu.
Kifupi bandiko lako limejaa Mahaba hisia na dhahania kuliko uhalisia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikianzisha chama changu wewe ndio nitakuwa wa kwanza kukushawishi ujiunge nacho.
Unaweza sana kupambania sera hata kama ni mbovu.
Utopolo
Kinachofanya Sarpong aonekane mbovu ni kipi?Sisi wote tunaipenda Simba kaka nna amini Sarpong sio mzuri lakin hawezi kosa nafasi anazo pata ,,,imagine
1. Mugalu anakosa nafasi team ikiwa haina pressure na imerelax
2.Mugalu anakosa nafasi zaid ya 3 akiwa yeye na kipa
3.Mugalu anapiga mashuti zaidi ya sita yote off target
4.Mugalu anabaki na kipa badala ya kupiga shot anakanyaga mpira anaanguka refer game na platnum away mpaka akafanya game tuje kuimaliza kwa mkapa
5.Simba ina viungo wakabaji na washambuliaji wazuri sana na wana uhakika wa kutengeneza nafasi lakin bado hajiamini
6.Sarpong sio mzuri lakini ukweli ni kua yanga team karibia nzima ipo chin kimchezo
7.Yanga kila mchezaji anajichezea mpira wake ,,, Yaan butuabutua imagine yanga anacheza na Costal anafungwa na anazidiwa mchezo
Kundi la kifo lilikuwa ABora Wydad casablanca kuliko hao esperance awafai kabisa alafu kundi lake ni la kifo imagine kundi lake lina Zamalek na Ac algiers na still kaweza kupata point 10 hadi sasa yeye anaongoza kundi.
Zamalek unaweza kuifananisha na As vita? au Ac algiers unaweza kuifananisha na El mareikh?Kundi la kifo lilikuwa A
Hiv huyo As vita yupo level moja na Zamalek? Au huyo El mareikh anafikia kiwango Cha Ac algiers?Na wao wanasema imagine kundi lina As Vita na Al Ahly lakini Simba kapata point 13
Huyu jamaa sasa hiv atakua anajiskiajeSiyo tu huna uzoefu na mpira wa Africa bali huna uzoefu na mpira wenyewe kabisa,nilipoona tu umeandika una asilimia 100 Simba kufika robo fainali nikajua kweli huna uzoefu,100%? kweli? kwenye mpira?
Simba na Al ahly ndo pekee wenye uwezo wa ku possess mpira kwenye timu zilizo kwenye 16 kweli? huijui hata Mamelody? I guess unaisikia tu.
Kifupi bandiko lako limejaa Mahaba hisia na dhahania kuliko uhalisia.
Hao sio vibonde kama unavyosema wewe na inawezekana pia ukuangalia game ya Al Ahly na hao game ilikuwaje zaidi tu ya kuangalia livescore na ndio maana unaongea utumboLast season Al Ahly alipiga hao vibonde Tunis na zamalek kama wamesimama
Mugalu kafunga magoli mawili katika mechi tano za champions league, kwa data hiyo huwezi kusema Ni butu hata kidogo!! Ni utopolo tu anayeweza kusema hivyo!Sawa Mabingwa wapya wa Afcon 2021!! Muda ni tafiki mzuri sana. Anyway, hongereni kwa kuingia robo fainali kwa mara ya pili na pia kwa kuongoza kundi.
Ingawa mna kazi kubwa kwa yule Striker wenu Cris Mugalu! Hata kama Sarpong ni foward butu, ila Mugalu ni the buttest striker!
Anajiharishia!Huyu jamaa sasa hiv atakua anajiskiaje
Njoo Dena uongee huh ujinga walk. Tatizo LA mashabiki wa u to po lo mmejaa chili hu.Siyo tu huna uzoefu na mpira wa Africa bali huna uzoefu na mpira wenyewe kabisa,nilipoona tu umeandika una asilimia 100 Simba kufika robo fainali nikajua kweli huna uzoefu,100%? kweli? kwenye mpira?
Simba na Al ahly ndo pekee wenye uwezo wa ku possess mpira kwenye timu zilizo kwenye 16 kweli? huijui hata Mamelody? I guess unaisikia tu.
Kifupi bandiko lako limejaa Mahaba hisia na dhahania kuliko uhalisia.
Simba inauwezekano mkubwasana was kusonga mbele kwenye hi michuano ya club bingwa kinachotakiwa Dua zetu zinaitajika kwa vijana wetu wapambanaji mungu awajalie wasonge mbele na watuleteee kombe la club bingwaSimba to Semi
Bado una hasira au imeshaisha mkuu?? πππ Jamaa alipatia kila kitu yaani.Siyo tu huna uzoefu na mpira wa Africa bali huna uzoefu na mpira wenyewe kabisa,nilipoona tu umeandika una asilimia 100 Simba kufika robo fainali nikajua kweli huna uzoefu,100%? kweli? kwenye mpira?
Simba na Al ahly ndo pekee wenye uwezo wa ku possess mpira kwenye timu zilizo kwenye 16 kweli? huijui hata Mamelody? I guess unaisikia tu.
Kifupi bandiko lako limejaa Mahaba hisia na dhahania kuliko uhalisia.