Mtazamo wangu kuhusu siasa za Tanzania na Rais Magufuli


Sijui hata unaongea nini boss, maendeleo ni jambo tofauti na madaraka, ila ili uweze kuleta maendeleo ya nchi inabidi uwe madarakani.

Sijui unaongelea kura zipi, maana huwa tunaona wapinzani wakipata kura tena nyingi tu, labda ungesema huwa wanapata kura 0.
 
Kama jiwe Ana IQ mdogo anajaribu kuongoza nchi kwanini TUNDU LISSU ashindwe na Ana IQ kubwa kushinda wabunge wote wa CCM kwa pamoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…