Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

hata mimi nashangaa yule tulia ilikuwaje akawa mtz. ule muonekano wake sio wa kitanzania. lazima atakuwa ana asili ya kenya.
Kusema kweli sijapata kuona sura kama hiyo Kenya. Kwa mademu weupe mmeizidi Kenya ila mademu weusi wa kitanzania ni wabaya kupitiliza
 
Bado unazidi kunishangaza kwamba wenye akili ni wenye kujua English, kwa hiyo mtoto wa kizungu ana akili automatically kisa tu amezaliwa kwenye English?

Wakenya mna ombwe kubwa la upeo
Mtoto wa kizungu anajua mengi kukuliko my bro na ana uwezo wa kuongeza na kueleweka na watu wa Nchi nyingi na tofauti sio Kama wewe unaeleweka Tz na Kenya peke yake. Ni lugha gani ingine unayoielewa na kuzungumza kwa ufasaha Ila Kiswahili? Unafaa uwapatie Wakenya hapa heshima kubwa Sana for they are the only neighbors you share a border with that can understand and communicate with one on one. Najua hata lugha yako ya mama huijui drastically lowering your IQ.
Usijilinganishe na mfaransa kwa kuwa there are more than 100million fluent french speakers in the world. Kujua lugha zaidi ya moja Kuna manufaa makubwa Sana haswa kwa ukuaji wa akili na ndio sababu unapata Tz wako inferior both academically and economically.
 
😊 Melissaaa bado upo?I thought these heartless Tanzanians deported you to Congo. Ukienda Liberia upitie Nairobi tena ...want to see you again

Huyo hawezi kufurushwa maana huimba mapambio ya kusifia chama, ukikosoa kosoa inaweza ikakuponza sana, kunao hata Watanzania ambao wamezushiwa uraia sembuse kajamba wa kutokea DRC au Burundi.
Kuna Watanzania wamelazimishwa kwenda kuonyesha makaburi ya mababu wa mababu zao kisa walikosoa chama.

Sheria kama hizo zikija Kenya nitapoteza uraia.
 
Mtoto wa kizungu anajua mengi kukuliko my bro na ana uwezo wa kuongeza na kueleweka na watu wa Nchi nyingi na tofauti sio Kama wewe unaeleweka Tz na Kenya peke yake. Ni lugha gani ingine unayoielewa na kuzungumza kwa ufasaha Ila Kiswahili? Unafaa uwapatie Wakenya hapa heshima kubwa Sana for they are the only neighbors you share a border with that can understand and communicate with one on one. Najua hata lugha yako ya mama huijui drastically lowering your IQ.
Usijilinganishe na mfaransa kwa kuwa there are more than 100million fluent french speakers in the world. Kujua lugha zaidi ya moja Kuna manufaa makubwa Sana haswa kwa ukuaji wa akili na ndio sababu unapata Tz wako inferior both academically and economically.
Dah yaani upumbavu mlionao wakenya kwenye akili zenu inashangaza kiukweli, kwanza Kenya ni nini kwa Tanzania? Hivi Kenya ni taka taka gani Tanzania inaweza kujifunza kwake? Meeeen you are nothing nigga hakuna wala hakitotokea chochote huko shithole tunaweza jifunza, tupo 8th largest economy out of 55 countries in Africa without you and without English, moron

Halafu tuna majirani 8, Kenya is nothing kwanza we're more Southern than Eastern

Huu ndio mpaka unaoingizia pesa nyingi Tanzania kuliko majirani wote and most busiest border in business and migration factors

 
Dah yaani upumbavu mlionao wakenya kwenye akili zenu inashangaza kiukweli, kwanza Kenya ni nini kwa Tanzania? Hivi Kenya ni taka taka gani Tanzania inaweza kujifunza kwake? Meeeen you are nothing nigga hakuna wala hakitotokea chochote huko shithole tunaweza jifunza, tupo 8th largest economy out of 55 countries in Africa without you and without English, moron

Halafu tuna majirani 8, Kenya is nothing kwanza we're more Southern than Eastern

Watu wana hasira kupindukia. Kwasababu ya kiingereza? Walimu wanawafunza wakitumia kiingereza kutoka kidato cha kwanza hadi cha sita na baada ya hiyo kwenye vyuo vikuu. Sasa kama hakipandi wakulaumiwa ni nani? Watu wana phd zao ambazo walizipata baada ya kusoma, wakitumia kiingereza, sio kiswahili. Ila wakifungua vinywa vyao kiingereza ni cha level ya darasa la pili nchini Kenya. Huo mfumo wenu ni wa bora elimu, elimu bora, bado sana!
 
Watu wana hasira kupindukia. Kwasababu ya kiingereza? Walimu wanawafunzwa wakitumia kiingereza kutoka kidato cha kwanza hadi cha sita na baada ya hiyo kwenye vyuo vikuu. Sasa kama hakipandi wakulaumiwa ni nani?
Tunaichukulia kama least language, tunaenzi kiswahili sababu kiswahili ni Tanzania na Tanzania ni kiswahili, mnaonekana vituko kwa namna mnavyowaabudu waingereza na kusema kwamba eti mmeipita Tanzania kiuchumi na kiakili sababu ya English (dah! Hii kauli inasikitisha sana kiukweli kutolewa na muafrika na ndio maana mpo hivyo mnalamba sana wazungu miguu mpaka mnatia kinyaa)

Hivi mwanaume mzima unaanzaje kusema wazungu wana akili kumshinda muafrika kisa ya lugha (of course hatupo sawa lakini sithani kama lugha ni factor) nimekaa na wakenya nawafahamu namna mnavyo interact na wazungu yaani kwenu wazungu ni Mungu, hata wanawake wenu hupigana vita usiku na mchana ili waolewe na wazungu, huko Mombasa wanaume wa kikenya wanajiuza kwa wanaume wa Italy, hilo lipo wazi.
 
Tunaichukulia kama least language, tunaenzi kiswahili sababu kiswahili ni Tanzania na Tanzania ni kiswahili, mnaonekana vituko kwa namna mnavyowaabudu waingereza na kusema kwamba eti mmeipita Tanzania kiuchumi na kiakili sababu ya English (dah! Hii kauli inasikitisha sana kiukweli kutolewa na muafrika na ndio maana mpo hivyo mnalamba sana wazungu Hivi mwanaume mzima unaanzaje kusema wazungu wana akili kumshinda muafrika kisa huko Mombasa wanaume wa kikenya wanajiuza kwa wanaume wa Italy, hilo lipo wazi.
Mmechanganyikiwa kupitiliza, kiingereza kinatumiwa na wazungu pekee yake? Kiingereza ni lugha 'global', wewe hapo ndio unawaabudu wazungu kwasababu ukisikia jina kiingereza unawaza mzungu. Alafu ukisikia wakenya wakiongea lugha zao za asili unasema wanaongea 'vilugha'. Acheni longolongo zenu, badilisheni mfumo wenu wote, mtumie lugha moja, ya kiswahili. Maanake hata hapa Jf huwa naona kauli ni 'where we dare to talk openly'. Au hicho ni kisukuma?
 
Mmechanganyikiwa kupitiliza, kiingereza kinatumiwa na wazungu pekee yake? Kiingereza ni lugha 'global', wewe hapo ndio unawaabudu wazungu kwasababu ukisikia jina kiingereza unawaza mzungu. Alafu ukisikia wakenya wakiongea lugha zao za asili unasema wanaongea 'vilugha'. Acheni longolongo zenu, badilisheni mfumo wenu wote, mtumie lugha moja, ya kiswahili. Maanake hata hapa Jf huwa naona kauli ni 'where we dare to talk openly'. Au hicho ni kisukuma?
Thick as rock, ipo tofauti ya kutumia English kama lugha ya Kimataifa na ipo tofauti ya liafrika jeusi kama kiwi kumzodoa Muafrika mwenzake kwamba hana akili kisa hajui English ila sababu akili zenu mnazijua wenyewe hutoelewa tofauti hapo

Halafu "vilugha" ndio nini? Ndio mara ya kwanza kulisikia hilo neno hapa, Tanzania lugha ya kabila lako kimsamiati tunasema unaongea "kilugha" yaani kwa lugha yenu hiyo "ki" ni morpheme prefix ambayo haina uhusiano wowote na udunishi unless haujui kiswahili which is true anyway, rudi darasani ukasome maana yake au kama hujui uliza ina maana gani wabobevu wa lugha zote tupo kukusaidia.
 
Thick as rock, ipo tofauti ya kutumia English kama lugha ya Kimataifa na ipo tofauti ya liafrika jeusi kama kiwi kumzodoa Muafrika mwenzake kwamba hana akili kisa hajui English ila sababu akili zenu mnazijua wenyewe hutoelewa tofauti hapo
Halafu "vilugha" ndio nini? Ndio mara ya kwanza kulisikia hilo neno hapa, Tanzania lugha ya kabila lako kimsamiati tunasema unaongea "kilugha" yaani kwa lugha yenu hiyo "ki" ni morpheme prefix which is true anyway, rudi darasani ukasome maana yake au kama hujui uliza ina maana gani wabobevu wa lugha zote tupo kukusaidia.
Thick as 'A' rock, sio, thick as rock. Hapo umeniambia kwamba mimi ni pimbi, kama mtu flani kwa jina Jiwe/Rock. Thank you. Alafu acha kujitia hamnazo, sijaongea kuhusu 'kilugha' nimetaja 'vilugha' kimakusudi maanake hivyo ndivyo huwa mnasema. Km, vilugha vya ajabu ajabu, vilugha vyenu vya mikoani n.k n.k. Mkiwa na nia ya kudunisha, nyie akina James Andrew, David Peter na Jane John weusi, waacha mila.
 
Kwahivyo kelele zako hizi ni kwasababu mzungu kasema, au? Wao wenyewe, waume kwa wake si wameiga kwetu? Maanake navowajua nyinyi kwa kuwaiga wazungu hamjambo. Nyinyi ndio huwa mnajiita majina kama James Peter na Jane John na kuita lugha zenu za asili 'vilugha'. Wenzenu bado hatupo tayari kupoteza asili na tamaduni zetu.
"......... na kuita lugha zenu za asili 'vilugha'."

Hii umeitoa wapi? Naona umeirudia mara mbili sasa.

Ukisikia mtanzania anasema fulani anaongea 'kilugha' maana yake anaongea kwa lugha yake ya nyumbani since Tanzania makabila mengi na sio rahisi kujua lugha za makabila yote mpaka ujue exactly huyo mtu anaongea kiiraq, kiyao, kizinza, kihaya, kihehe ... So to make the long short tunasema anaongea kilugha au kinyumbani

Hiyo 'ki' kwenye lugha ni 'ki' inayotumika pia kwenye kichina, kiswahili, kireno, kisukuma, etc

Siku nyingine kama hujui kitu uliza huwa mnalishana ujinga sana sababu ya ulimbukeni wa kutokujua tamaduni za mtanzania.
 
Thick as 'A' rock, sio, thick as rock. Hapo umeniambia kwamba mimi ni pimbi, kama mtu flani kwa jina Jiwe/Rock. Thank you. Alafu acha kujitia hamnazo, sijaongea kuhusu 'kilugha' nimetaja 'vilugha' kimakusudi maanake hivyo ndivyo huwa mnasema. Km, vilugha vya ajabu ajabu, vilugha vyenu vya mikoani n.k n.k. Mkiwa na nia ya kudunisha, nyie akina James Andrew, David Peter na Jane John weusi, waacha mila.
Crap as always 🚯
 
mi ni mtz na hizo kacha tunazivaa sana acha ushamba wako na kuleta maisha ya miaka ya 90 saiz kawaida hizo na ukihitaji kila bendera ya nchi hipo afrika nzima mimi mkononi nimevaa ya kenya ya kwanza na yapili ni TZ yatatu ni S.A yanne uganda ya tano congo na huku kwetu hizi tano nimetumia 150k kununua
 
"......... na kuita lugha zenu za asili 'vilugha'." Hii umeitoa wapi? Naona umeirudia mara mbili sasa.Ukisikia mtanzania anasema fulani anaongea 'kilugha' maana yake anaongea kwa lugha yake ya nyumbani since Tanzania makabila mengi na sio rahisi kujua lugha za makabila yote mpaka ujue exactly huyo mtu anaongea kiiraq, kiyao, kizinza, kihaya, kihehe ... So to make the long short tunasema anaongea kilugha au kinyumbani Hiyo 'ki' kwenye lugha ni 'ki' inayotumika pia kwenye kichina, kiswahili, kireno, kisukuma, etc.
To make the long short ndio nini sasa? Dah, boss hukufika kidato cha kwanza? Hamna sehemu yeyote ambayo nimesema kilugha, kama hujaelewa feelings peleka chooni.
 
Crap as always
Crap ni hiki kisukuma ambacho unajaribu kuhadaa watu kwamba ni kiswahili. Eti 'halafu'.
Thick as rock, ipo tofauti ya kutumia English kama lugha ya Kimataifa na ipo tofauti ya liafrika jeusi kama kiwi kumzodoa Muafrika mwenzake kwamba hana akili kisa hajui English ila sababu akili zenu mnazijua wenyewe hutoelewa tofauti hapo Halafu "vilugha" ndio nini? Ndio mara ya kwanza kulisikia hilo neno hapa, Tanzania lugha ya kabila lako kimsamiati tunasema unaongea "kilugha" yaani kwa lugha yenu hiyo "ki" ni morpheme prefix ambayo haina uhusiano wowote na udunishi unless haujui kiswahili which is true anyway, rudi darasani ukasome maana yake au kama hujui uliza ina maana gani wabobevu wa lugha zote tupo kukusaidia.
 
Watu wana hasira kupindukia. Kwasababu ya kiingereza? Walimu wanawafunza wakitumia kiingereza kutoka kidato cha kwanza hadi cha sita na baada ya hiyo kwenye vyuo vikuu. Sasa kama hakipandi wakulaumiwa ni nani? Watu wana phd zao ambazo walizipata baada ya kusoma, wakitumia kiingereza, sio kiswahili. Ila wakifungua vinywa vyao kiingereza ni cha level ya darasa la pili nchini Kenya. Huo mfumo wenu ni wa bora elimu, elimu bora, bado sana!
😀😀😀😀 thisdayes njoo
 
Watu wana hasira kupindukia. Kwasababu ya kiingereza? Walimu wanawafunza wakitumia kiingereza kutoka kidato cha kwanza hadi cha sita na baada ya hiyo kwenye vyuo vikuu. Sasa kama hakipandi wakulaumiwa ni nani? Watu wana phd zao ambazo walizipata baada ya kusoma, wakitumia kiingereza, sio kiswahili. Ila wakifungua vinywa vyao kiingereza ni cha level ya darasa la pili nchini Kenya. Huo mfumo wenu ni wa bora elimu, elimu bora, bado sana!
brother kingereza ni lugha tu kama lugha zingine na wala haina msaada katika kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja katika nchi. kujua kwako kuzungumza kingereza kusikufanye ujihisi wewe ni wa thamani sana kuliko asiyezungumza lugha hiyo.

nchi ya malawi kiingereza ni official language na majority ya wamalawi wanazungumza vizuri tu kingereza. lakini pamoja na hali hiyo, uchumi wa watu wa malawi ni wa chini sana(unaweza google) .

baadhi yao wamekimbia umasikini huko kwao, wapo dar es salaam wakifanya kazi za housekeeping and gardening katika nyumba za watanzania na foreigners maeneo ya masaki, mikocheni, oysterbay na mbezi beach.
 
mi ni mtz na hizo kacha tunazivaa sana acha ushamba wako na kuleta maisha ya miaka ya 90 saiz kawaida hizo na ukihitaji kila bendera ya nchi hipo afrika nzima mimi mkononi nimevaa ya kenya ya kwanza na yapili ni TZ yatatu ni S.A yanne uganda ya tano congo na huku kwetu hizi tano nimetumia 150k kununua
hongera kwa kuvaa bangili za shanga.
 
Back
Top Bottom