Na unafanya uchambuzi ukiwa zako pangani umetulia kimya huna habari, ukitoka hapo unatafuta chai na chapati, unashiba unaweka tena bando unalala kitandani unaanza uchambuzi wa vita,
Mada za wanaume mchambuzi mvulana..ao nato wako ukraine kitambo na bado wana chezea kichapo russia ni dude kubwa ambalo shoga mkuu US ana likimbia kila linapo tua