Mtazamo Wangu: Tatizo la Simba SC kuwa na matokeo mabovu linaanzia hapa...

Hizi tabiri tusha ziona nyingi humu mwisho wa siku hua ni aibu
 
Mo muhuni anaitumia Simba kutangaza biashara zake kwenye usajili anaminya pesa isitoke.
Jamaa anatafuta faida kwa kuitumia Simba Sc, siku zote timu inatakiwa iwe na Plan A na B kwenye masuala ya usajili, kama ikimkosa mchezaji A igeukie kwa mchezaji B, lakini kwa Simba mambo hayako hivyo, tukimkosa A habari ndio imeishia hapo, makocha wanaambiwa watupeleke nusu fainali CAF[emoji1787][emoji1787]
 
Lakini mashabiki hawachezi uwanjani mjomba, hayo makelele ya mitaani ndio kazi ya mashabiki, wachezaji kazi yao ndio ku perform uwanjani.
 
Nakubaliana nawe kwenye mambo mawili.

- Simba haijasajili wachezaji bora kwa muda mrefu, hivyo waliopo wamechoka, hawa peeform tena.

- Kumtegemea Chama kupitiliza, huyu nae kama ulivyosema umri wake umeenda, lakini pia, anaweza kukamiwa na wapinzani aaicheze mpira, au hata kuumia, hivyo timu ikimtegemea yeye kupitiliza, siku akikosekana kiwango cha timu kitashuka
 
Mbona hujaenda Ukraine kuichukua hiyo rizki ikiwa ipo popote nakati kila siku Ukraine na Russia wanatakiwa Watu wa kupigana vita?

Acha kukaza fuvu wewe, mwache Mgunda apate rizki kulea familia yake.
Rizki iko popote sio lazima Ukraine au Urusi, hata Mgunda rizki yake sio lazima Simba Sc.
 
Hii timu ilikuwa ya mgunda mpaka mwisho wa msimu ila imekula kwetu
Tutalia sisi mpaka tukome
Mashabiki walimkataa kwa kura twitter, bosi akabadilisha kocha, na habari ikaishia hapo.
 
Ngoja tukitoka kwa Vipers jumamosi tutakuwa na majibu ya hiki ulichoandika, kama ni kweli au uongo.
 
Aamen.
 
Mrudisheni Matola au yule mgosi. Mzungu anaippeleka Simba kaburini.
 
Simba ina wachezaji kama 16 hivi wazuri ,waliobaki ni tia maji tia maji. Tatizo hao tia maji wanaingia first 11.

Hilo ndio tatizo kuu. Inatakiwa icheze cream tupu
Ukiona timu inawachezaji 16 wazuri hii timu itakuwa na squad bora sana.

Na hakuna timu ya kuwafikia kwenye ligi kwenye ubora wa kikosi
 
Ngoja tukitoka kwa Vipers jumamosi tutakuwa na majibu ya hiki ulichoandika, kama ni kweli au uongo.
We nenda kaangalie magoli 10 yaliyopita ambayo simba imefungwa.
Kaunta ndefu 1 on 1 striker na kipa.
Pia side set pieces.
Either Onyango na bangala wapo upande wa Mohamed Hussein, au mmojawapo inapigwa penetration pass ndefu katikati , strike 1 on 1 na kipa.
Au just inside au outside ya 18m long shot one on one na kipa.
 
Simba SC mleteeee mdhunguuuu
 
Kila timu hupitia wakati mgumu hasa unapobadiisha kocha kipindi ambacho si cha pre-season. Kosa la Simba ni hilo, Kocha mpya anakuja na philosophy mpya na selection mpya - ku addapt inachukua muda mrefu na si wiki mbili ama tatu angalia kocha wa Arsenal alivyohangaika msimu uliopita, angalia kocha wa Chelsea alivyo na matatizo.

Game ya jana na Azam, Simba kwa kuhesabu wangefung magoli 6 kama si 7, lakini umakini na wasiwasi uliwajaa wakiingia kwenye 18 nafikiri kipigo cha juzi liliwachanganya umakini ukakosekana.

Simba bado ni club kubwa na inaweza kuingia makundi.
 
Ipo makundi.
 
Ni mfumo tu wa mwalimu ndiyo umeleta badiliko hili lakini baada ya muda wachezaji wataadapt tu.
 
Lakini kukosa magoli kumeanzia kule kwa Horoya, hakukuanzia baada ya kile kipigo cha mwarabu.

Hapo kuingia kwenye makundi, unamaanisha next season, au kuingia robo fainali this season ulikosea ukaandika makundi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…