Mtazamo Wangu: Tatizo la Simba SC kuwa na matokeo mabovu linaanzia hapa...

Makocha wote hawana tatizo,

Angalia vizuri wachezaji tulionao wengi wamechoka,

Kamati ya Usajii nayo ni kama inahujumu timu , usajili gani wanofanya na kwa malengo yapi.

Leo Simba imekuwa tia maji tia maji hapana hili suala muhimu viongozi wawajibike.

Piga chini wachezaji wazee wote pale Msimbazi tunahitaji matokeo.
 
Hilo la kupiga chini wazee wote mwisho wa msimu naona halina mjadala, kwani kuendelea kuwakumbatia inaonekana ni sawa na kujitafutia matatizo zaidi, sasa ni kujipanga tu kwa msimu ujao.
 
Umenena vema sana.
 
MWAMEDI ONDOKA AU SAJILI WACHEZAJI WA MAANA.

SIO KUTULETEA AKINA DEJAN.

Wachezaji wa kigeni Mizigo.

Mohamed Ottara.

Peter Banda.

Ismail Sawadogo.

Joash Onyango

Augustine OCCRA

Sadio Kanute.

Baleke na Phili wananipa wasiswasi sana
 
MWAMEDI ONDOKA AU SAJILI WACHEZAJI WA MAANA.

SIO KUTULETEA AKINA DEJAN.

Wachezaji wa kigeni Mizigo.

Mohamed Ottara.

Peter Banda.

Ismail Sawadogo.

Joash Onyango

Augustine OCCRA

Sadio Kanute.

Baleke na Phili wananipa wasiswasi sana
 
Sababu zipo kama IFUATAVYO...

1. Quality ya Wachezaji

2. Ubovu wa kamati ya usajili.

3. MAKUNDI ya uchaguzi.

FULL STOP.
UKIKOSA HOJA ZA HAPO JUU UMEANDIKA PUMBA
 
MWAMEDI ONDOKA AU SAJILI WACHEZAJI WA MAANA.

SIO KUTULETEA AKINA DEJAN.

Wachezaji wa kigeni Mizigo.

Mohamed Ottara.

Peter Banda.

Ismail Sawadogo.

Joash Onyango

Augustine OCCRA

Sadio Kanute.

Baleke na Phili wananipa wasiswasi sana
Huyu Okrah namkubali sana, tatizo lake ubinafsi anataka kufanya kila kitu uwanjani peke yake wamrekodi ili wapost twitter ndugu zake Ghana wamuone.

Baleke na Phiri wana afadhali, hasa Phiri majeruhi ndio yamemponza akapoteza uwezo wake wa mwanzo.

Ouattara aliyemtaka alikuwa ni kocha aliyeondoka, hilo halikuwa kosa la Mo.
 
Khaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Khaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Khaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sababu zipo kama IFUATAVYO...

1. Quality ya Wachezaji

2. Ubovu wa kamati ya usajili.

3. MAKUNDI ya uchaguzi.

FULL STOP.
UKIKOSA HOJA ZA HAPO JUU UMEANDIKA PUMBA
Paragraph ya pili imebeba sababu nyingine nilizoona zinachangia ikiwemo ulizoandika wewe, mimi sikuandika zote ...

Halafu hebu tuambie hapa, makundi ya uchaguzi yanaingilia vipi benchi la ufundi au performance ya wachezaji, kama siku hizi usajili/ kuongeza mikataba wachezaji kunafanywa kwa pesa ya Mo...

Tofauti na miaka ile ambapo kila mwenye pesa yake anasajili mchezaji wake na kutaka apangwe, hivyo kuwa rahisi kwa wenye wachezaji wao kuwaambia wacheze chini ya viwango?
 
Hatimaye akili zimeanza kurudi

Siba Govu Moya
 
Umezunguka sana, Simba ina uongozi mbovu na laana ya upigaji unaofanywa na Amita Bachan. Full Stop.
 
MO ana 49% pekee
Hao wenye 51% wao hutoa nini?
Hao wengine kama hawaonekani maana yake hawapo, hiyo 51% serikali waliiweka kwa mapenzi yao wenyewe.
 
Kwani MO anamiliki 100% ya Simba?
Ngoja atokee mdhamini mwingine aweke mzigo mkubwa zaidi ya Mo na atake kukaa kifuani, majibu yatapatikana ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…