Mtazamo wangu: Urafiki wa kawaida kati ya muislam na muislam una mashiko ya kweli kuliko urafiki wa mkristo na mkristo mwenzie

Mtazamo wangu: Urafiki wa kawaida kati ya muislam na muislam una mashiko ya kweli kuliko urafiki wa mkristo na mkristo mwenzie

Wanaojiitaga Wakristo wengi wao ni roho mbaya ndio maana Huwa wanavurunda kwenye Uraisi na kuharibu maisha ya watu.
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Wasalaam JF,
Tafadhari niwape hio changamoto kila mmoja ajaribu kufuatilia urafiki baina ya vijana waislam, wadada waislam, wamama waislam, wababa waislam, na makundi hayo upande wa wakristo tena tujiangalie wenyewe.

Na hii haina nia mbaya bali naileta kama chagizo na changamoto Kwa pande zote, kuimarisha, kuboresha na kujikosoa ili tujenge jamii imara sana.

Binafsi nimefuatilia urafiki miongoni mwa wakristo umejaa unafiki na urafiki wa kweli hasa Kwa nyanja zote za shida na raha ni kitu adhimu sana.

Wanaweza kuchanga harusi, labda kidogo na misiba kinafiki, ila sio kuuguza, kumtoa mtu kwenye shida zingine mfano njaa, kusomesha kulipia ada, na matibabu.

Pia urafiki miongoni mwao umejaa usaliti, na usengenyaji.

Hata Siri miongoni mwa marafiki wakristo zinavuja sana tofauti na upande wa mashabiki wa kiarabu katika Imani, uwekezaji na uuzwaji.

Nitoe wito Kila mmoja wetu aichukue katika namna njema na chanya kujitafakari kila mmoja katika urafiki wake wa sasa na yeyote yule iwe baina ya watu wawili ama kikundi cha watu katika kulitizama hili.

Kupanga ni kuchagua na hapa sina maana urafiki wa kupekupe hapana bali urafiki wenye tija pande zote.

Ichukueni hii kama rejea ya kutafiti hasa watakaobisha go and research by yourselves.

Tusikokose kulipa Kodi na kudai risiti. TRA maeneo mengi sana wateja tunapewa bill kwenye vikaratasi bila EFD receipts hasa bar kubwa kubwa zote.

Unoko ni aina pia ya uzalendo.

Wabillah Tawfiq.

Wadiz.
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
😂😂wakristo ndo wakina Nan? hao ni manaswara ambao baadae waliomfuata Paulo wakaitwa wakristo na wengine wakawa washirikina.

Ina maana hatuko radhi kufuata Mila zao.
 
Kuna kitu nimejifunza maana mimi nimetumikia dini mbili, nimezaliwa kwenye ukristo na nikaowa ndani ya Ukristo
Yaani kuna kipindi nilifiwa na mwanangu muhimbili, ilibidi nikamzike mkoani, yaani kufika pale kulikuwa na fingusi nyingi sana kwa waumini wenzangu,isingekuwa mama yangu kuwa anacheo kanisani hali ingekuwa mbaya zaidi, maana mwanangu alikuwa hajabatizwa alikufa akiwa na miezi tisa na alizaliwa na matatizo ya moyo

Nikaja tena kufiwa na mtoto wakati nimeshakuwa Muisilamu kwa mke mwingine, alikufa akiwa na miezi sita tumboni, yaani nilipopeleka tu habari msikitini, kila kitu walifanya wao, kuanzia kuosha mpaka kumstiri.

Najivunia kuwa Muisilamii
Muogope Mungu wako kwanini unadanganya hapa kiasi hiki? Nilini wewe umewahi kuwa mkristo?
 
😂😂wakristo ndo wakina Nan? hao ni manaswara ambao baadae waliomfuata Paulo wakaitwa wakristo na wengine wakawa washirikina.

Ina maana hatuko radhi kufuata Mila zao.
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....

sio wakristo tu mpaka baba na ndugu Yako Allah kakataza kufanya urafiki nae kama sio muislamu
 
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....

sio wakristo tu mpaka baba na ndugu Yako Allah kakataza kufanya urafiki nae kama sio muislamu
😂😂😂Ndo maana nikakuambiwa huelewi kasome kisa Cha Abu lahab na uhusiano wake na Mtume ndo utajua watu hawana mchezo..

Kasome surah Al Masad.
 
😂😂😂Ndo maana nikakuambiwa huelewi kasome kisa Cha Abu lahab na uhusiano wake na Mtume ndo utajua watu hawana mchezo..

Kasome surah Al Masad.
Koran
9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Kwa sababu Ukristo umeruhusu Ukweli na Uongo kuchangamana.
Na aliyeruhusu hayo ni Kristo mwenyewe.

Ni ngumu kumuamini Mkristo hata kama ameshika dini Kwa sababu ya Kanuni hiyo hapo juu. Lakini ni rahisi kumuamini Muislam aliyeshika Dini. Kwa sababu uislam haujaruhusu ukweli na Uongo kukaa pamoja.
Duh, "kristo alituhusu ukweli na uongo vichangamane"
 
SISI WAKRISTO UPENDO NI AMRI. LAZIMA UMPENDE MWENZIO/JIRANI YAKO KAMA NAFSI YAKO.


Kama huna upendo wewe ni MKRISTO jina full stop.
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
 
Koran
9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
Screenshot_20230721-170720.png

Ukiachana na ayah hiyo Qur an 5:51 inasomeka kama hivyo hapo juu

Kundi la manaswara lililomfuata Paulo ndo likaitwa wakristo.
 
Muogope Mungu wako kwanini unadanganya hapa kiasi hiki? Nilini wewe umewahi kuwa mkristo?
Dini itapendwaje au itaelewekaje kama hawajakuwepo waumini kama hawa?

Mwenzako hapo anafanya ibada hicho unachosema ni uwongo yeye ameshachukua point kesho anataraji kitampeleka peponi.
 
Labda kama sijaelewa

Kwa maisha haya ya Tanzania hakuna awezae kufanya tathmini ikawa correctly kwamba watu fulani wanasaidiana sana watu fulani hawasaidiani labda kwa vitu vidogo vidogo kama huko kwenye harusi ila changamoto serious za maisha huo ukweli haupo!

Mgonjwa alazwe Muhimbili bill ije 2mill useme dini fulani walilipa dini fulani hawakulipa?umeona wapi!hoja ingekuwa ni familia za ukanda fulani(inaleta sana ukakasi kuzungumza mambo ya kikanda) zinashikamana wakati wa matatizo bila kujali dini mada ingeleta maana,nina rafiki early 2012 mkewe alipata cancer ya ziwa akaitisha kikao cha watu wa kwao zikachangwa hela mke akapelekwa India leo mzima.

Dini eg;mimi Mkristo natenda mema kutokana na huruma niliyo nayo pia zingatia kipato same to Muislam nae anatenda wema kwa huruma aliyo nayo na kipato chake na yupo mtu haabudu chochote ila ana huruma na anasaidia watu,binadamu wote (ukiondoa hizi imani tulizopandikiziwa) aut'cally tumeumbiwa hisia dini zote wapo wanaoletewa taarifa ndugu zao au jirani zao wanakufa kwa kukosa dawa ambazo wana uwezo wa kuzinunua na hawachukui hatua na wapo wanaochukua hatua.

NB;tusijisahaulishe kwamba haya yote yatafanyika kwa kuzingatia vipato vya wahusika na mioyo yao ya utoaji.
 
Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.

Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.

Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.

Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Hey tobaa
 
Back
Top Bottom