Mtazamo wangu: Urafiki wa kawaida kati ya muislam na muislam una mashiko ya kweli kuliko urafiki wa mkristo na mkristo mwenzie

Hii nimeweka bayana ya kuwa ni mtazamo wangu, na wewe ruksa kusema uonavyo wewe
 
Hii nimeweka bayana ya kuwa ni mtazamo wangu, na wewe ruksa kusema uonavyo wewe
Umekutana na waislamu wasio mtii Allah

Allah anasema
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Naomba muelewe tofaut ya ushirikiano na ubaguzi...
 
Mimi siku zote naamini wewe muhaya ni taahira na unajifanya mjuaji sana ni sehemu gani Yesu aliruhusu uongo mpumbavu wewe?
 
Mimi siku zote naamini wewe muhaya ni taahira na unajifanya mjuaji sana ni sehemu gani Yesu aliruhusu uongo mpumbavu wewe?

Mathayo 13:
24 Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema: “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.25Lakini wakati kila mtu alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake. 26Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.
27 “Watumishi wa yule mwenye shamba wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu yametoka wapi?’
28 “Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’
“Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayangʼoe?’
29 “Lakini akasema, ‘Hapana, msiyangʼoe, kwa maana wakati mkingʼoa magugu mnaweza mkangʼoa na ngano pamoja nayo. 30 Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’ ”

Ukimaliza kusoma hiyo Aya kanywe chai ya tangawizi Akili itulie kisha utafakari.
 
kwahiyo wapi Yesu amefundisha uongo hapo wewe mwehu?
 
kwahiyo wapi Yesu amefundisha uongo hapo wewe mwehu?

Wewe ndio mwehu wa kimataifa.
Unajitungia maneno yako Kutokana na Akili yako kuwa ndogo kama mtoto wako, alafu unaniwekea Mimi.

Labda nikuulize, wapi nimesema Yesu amefundisha Uongo?
Pengine umekunywa chibuku Huko ndio unakuja kuandika humu
 
Wewe ndio mwehu wa kimataifa.
Unajitungia maneno yako Kutokana na Akili yako kuwa ndogo kama mtoto wako, alafu unaniwekea Mimi.

Labda nikuulize, wapi nimesema Yesu amefundisha Uongo?
Pengine umekunywa chibuku Huko ndio unakuja kuandika humu
Watoto wa zinaa muna tabu sana wewe si umesema Yesu alifundisha uongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…