Mtazamo wangu wa namna ya kumaliza tatizo la ajira

Mtazamo wangu wa namna ya kumaliza tatizo la ajira

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Tuanze na hivi vitu viwili, kwanza:-

Ajira za kudumu zifutwe, na badala yake zipewe mikataba ya miaka 10
  • Hii itasaidia idadi ya watu wengi kuajiriwa​
  • Wengi watakula keki ya taifa​
  • Itaongeza ubunifu na ujenzi wa viwanda​
  • Sekta binafsi zitakuwa kwa kasi​
  • Uchumi utakuwa kwa kasi n.k​
Watu waajiriwe kwa 'shift', na mshahara waweze kugawana.
  • Hakuna umuhimu wa mtu mmoja, mfano kulipwa milioni 4, wakati hiyo nafasi inaweza kushikiliwa na watu wanne na wakawa wanalipwa milioni 1 kila mmoja.​
  • Hii itaongeza watu wengi kuajiriwa, na hatimaye kupata mitaji.​
  • Itaongeza ufanisi katika uzalishaji​
  • Ubunifu wa viwanda n.k utakuwepo​
  • Itapunguza idadi ya watu kukesha maofisini kwa masaa ya ziada.​
  • Itamsaidia mfanyakazi kutumia muda mchache kwa mwajiri, na kupata muda wa kutosha wa kuanzisha viwanda n.k​
Tukianza na hivyo vitu viwili, njia ya mafanikio itaonekana.
Karibu kwa mjadala.​
 
Unaweza kuwa upo sawa lakini kumbuka uzowefu wa watumishi kazin nayo ni chachu ya ufanisi!

Aidha vijana wengi wa kileo si wadilifu hebu chukulia mfano wale walimu wa vodafasta ambao serikali ilijaribu kuwaajiri miaka ya 2008, Walimu wale walipachika mimba wanafunzi kibao mno ndani ya muda mfupi tu!

Hebu vuta picha tungewabeba na kuwabadilisha kwa hiyo mikataba ya miaka kumi kumi balaa lingekuwaje!?

Binafsi nazan muhimu ni kufanyia kazi mitaala tuliyonayo ili imuandae muhitimu tangu akiwa shule kuwa skills za kuweza kuja kujiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa!
 
Tuanze na hivi vitu viwili, kwanza:-

Ajira za kudumu zifutwe, na badala yake zipewe mikataba ya miaka 10
  • Hii itasaidia idadi ya watu wengi kuajiriwa​
  • Wengi watakula keki ya taifa​
  • Itaongeza ubunifu na ujenzi wa viwanda​
  • Sekta binafsi zitakuwa kwa kasi​
  • Uchumi utakuwa kwa kasi n.k​
Watu waajiriwe kwa 'shift', na mshahara waweze kugawana.
  • Hakuna umuhimu wa mtu mmoja, mfano kulipwa milioni 4, wakati hiyo nafasi inaweza kushikiliwa na watu wanne na wakawa wanalipwa milioni 1 kila mmoja.​
  • Hii itaongeza watu wengi kuajiriwa, na hatimaye kupata mitaji.​
  • Itaongeza ufanisi katika uzalishaji​
  • Ubunifu wa viwanda n.k utakuwepo​
  • Itapunguza idadi ya watu kukesha maofisini kwa masaa ya ziada.​
  • Itamsaidia mfanyakazi kutumia muda mchache kwa mwajiri, na kupata muda wa kutosha wa kuanzisha viwanda n.k​
Tukianza na hivyo vitu viwili, njia ya mafanikio itaonekana.
Karibu kwa mjadala.​

Asante, mtazamo wangu ni kwamba tubadili mfumo wetu wa elimu, 80% ya elimu yetu ijikite katika elimu ya ufundi, kilimo, ufugaji, sanaa michezo na kujitengemea. Hizi ndio nyanja ambazo ni rahisi kwa mtu kuajirika na kujiajiri pia na ndio vitu vinavyogusa maisha yetu ya kila siku. 20% iliyobaki iwe elimu ya taaluma na utafiti na hii iwe ambayo ataipata akiwa chuo kikuu. Tuweke udhibiti wa wanafunzi kwenda vyuo vikuu kiholela holela kwa kuweka ufaulu wa kiwango cha juu sana kiasi kwamba watakao fika chuo kikuu wawe ni cream kwelikweli. Wale wenye average mind watapelekwa kusomea elimu ya ufundi, kilimo, sanaa n. k. Hawa ndio watakuwa wazalishaji wakubwa katika uchumi na wanaajirika kirahisi maana soko la ajira ndio linawaitaji sana na pia ni rahisi kwa wao kujiajiri.
 
Unaweza kuwa upo sawa lakini kumbuka uzowefu wa watumishi kazin nayo ni chachu ya ufanisi!
Aidha vijana wengi wa kileo si wadilifu hebu chukulia mfano wale walimu wa vodafasta ambao serikali ilijaribu kuwaajiri miaka ya 2008, Walimu wale walipachika mimba wanafunzi kibao mno ndani ya muda mfupi tu! Hebu vuta picha tungewabeba na kuwabadilisha kwa hiyo mikataba ya miaka kumi kumi balaa lingekuwaje!???
Binafsi nazan muhimu ni kufanyia kazi mitaala tuliyonayo ili imuandae muhitimu tangu akiwa shule kuwa skills za kuweza kuja kujiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa!
Na hawa ambao wameajiriwa, kwa nini wasingesoma mitaala ili wajiajiri? Wangeanza kujiajiri wao, na vijana pia wangepata mwamko wa kujiajiri.
 
Mkuu unaongea pointi sana ila kinyonge mind set yako nitofauti sana na walanchi wao wanawaza kuongeza kupiga/posho we unawaza kuigawa
 
M


Asante, mtazamo wangu ni kwamba tubadili mfumo wetu wa elimu, 80% ya elimu yetu ijikite katika elimu ya ufundi, kilimo, ufugaji, sanaa michezo na kujitengemea. Hizi ndio nyanja ambazo ni rahisi kwa mtu kuajirika na kujiajiri pia na ndio vitu vinavyogusa maisha yetu ya kila siku. 20% iliyobaki iwe elimu ya taaluma na utafiti na hii iwe ambayo ataipata akiwa chuo kikuu. Tuweke udhibiti wa wanafunzi kwenda vyuo vikuu kiholela holela kwa kuweka ufaulu wa kiwango cha juu sana kiasi kwamba watakao fika chuo kikuu wawe ni cream kwelikweli. Wale wenye average mind watapelekwa kusomea elimu ya ufundi, kilimo, sanaa n. k. Hawa ndio watakuwa wazalishaji wakubwa katika uchumi na wanaajirika kirahisi maana soko la ajira ndio linawaitaji sana na pia ni rahisi kwa wao kujiajiri.
Wakienda kusoma ufundi,mtaji watapata wapi wa kujiajiri?
 
Hamna kitu kama icho tafuta sehemu ukalale badala ya kusema kila sehemu ziwe na fursa mfano viwanda, masoko ya mazao hata vyuo sio kujazana dar es salaam kulalama Maisha magumu wakati mikoani hawtaki kurudi

Unadhani changamoto ya ajira wengi wamejazana hapa dar mbona mi kipindi namaliza chuo nilirudi mkoani nikalima fresh
 
Swala la kujiajiri kwa uchumii huu wa kati linahitaji mtaj sio wa kitoto we waone tu wanavopayuka majukwaani mjiajiri kama kweli kujiajiri dili kwann wanakufa bp wakitumbuliwa na Jiwe si wangeacha utumishi wakajiajiri
 
Back
Top Bottom