Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 606
MWL wa degree ni noma bana tukubaliane! Elim ku-define, na kumention! Its all about being libereted, kuonesha jamii usahihi, kutokuwa muoga dhidi ya ubonyezaji, na kuwambia watu facts. Na siyo kuva suruali za vitambaa na kupandisha mayeno na kusema muabudu badala ya mtiifu wa mamlaka. Alafu hawa ndio wagum kwel kugoma hata hakizao zikizikwa zikiwa hai. Oh mi basi bana.
Walimu wa dip wamezoea kutawaliwa! Hivyo mi cdhani ni cfa nzuri ya mwl. Mwl anatakiwa awe mbishi lakini kimantikia. Hawa wa dip wakisikia mgomo wa CWT huwaga wana-let down sana. Mi hawanifurahishi sana.
Nadhani hatumtendei haki mtoa uzi, kwa kudivert kwenye hoja! Ni ukweli usiopingika kuwa kumwandaa mwalimu bora ni mchakato{process} na si ku pick-up watu wenye grade flani la ufaulu na kuwapa mafunzo flanflani then unawaita walimu! Mwl aliyepitia Dip na badae Degree ni bora elfu mara elfu katika upande wa 'ualimu' nikiwa na maana ya mbinu za ufundishaji, malezi na haiba kwa ujumla wake. Lakini hawa wa moja kwa moja ni wazuri zaidi katika eneo moja la kontenti tu! Fanya utafiti utagundua. Na ualimu ni zaidi ya kufundisha,unavuka kingo hizo, kama mwl unatakiwa mwanafunzi akufurahie si tu darasani bali hata katika mambo mengine ambapo atakuamini, na hivyo unaweya kumpa mwangaza katika mambo mbali2 kwa faida ya ukuaji wake ktk domain zote, katika haya walm wa moja kwa moja wanakosa sifa hzi. University wanafundishwa how to teach, bt Diploma wana emphasize how to become A GOOD TEACHER.
tuna tatizo la msingi kwenye vyuo vikuu vyetu
Kila kitu bongo ni kibovu isipokuwa ubovu wenyewe ndo upo high quality!!
ni kweli kabisa, mwalimu wa diploma anjiamini na anaelewa mwanafunzi anahitaji nini, kwa kifupi anamsoma mwanafunzi kama darubini. Hawa wa degree moja kwa moja huwa ni wabovu sana kumsoma mwanafunzi na pia wawapo darasani wengi wao huwa hawajiamini