Mtazamo wangu Yanga vs JKU jana

Mtazamo wangu Yanga vs JKU jana

Maswali ya kina Shafii na Oscar Oscar haya! Mwisho wa siku mtaishia kuuliza kwa nini timu yenu kila mechi inashinda goli moja moja tu?
Unajihami kwelikweli. Hebu tupe jibu usajili bomba km mnavyosema wana utopolo lkn goli ni moja tu.

Goli moja ndiyo kiwango cha Misukule na dunia nzima na kila mtu anajua hilo.

Utopolo Ni Utopolo tu . Mechi na Simba ikiisha mnarudi kwenye uhalisia wenu.

Ila labda kwa mbinu mliyokuja nayo ya kumwaga bonasi kwa timu zingine kuikamia simba ,na kujeruni wachezaji, huenda mkafanikiwa kuwatuliza fans wenu.

Yote hii GSM anataka kutuliza upepo kwasababu Utopolo wasipochukua kombe tena hataeleweka.Hivyo hii Ni kufa na kupona.

Ila ubingwa msimu huu pia mtausikia tu!
 
Ok kila la Kheri sina muda WA kubishana na wapuuzi wapuuzi pambana na Tim yenu HUKO huu Uzi sjaandika majina yakina kibu wala mugalu Bali wachezaji WA yanga Tu SA sitegemei mshabiki WA Simba aseme vema au akosoe vema wachezaji WA yanga zaidi ya kuandika upuuzi upuuzi.
Mjinga na nusu wewe. Kwani mechi uliangalia we tu watu wengine hawakuangalia.

Kwa hiyo unalosema we ni sahihi asilimia mia. We hukosolewi. Mchambuzi Ni we tu

Unapoongea kuhusu Simba kumbuka kuna Yanga pia na kinyume chake. Hawa ni watani. Huwezi kuleta uzi ukasema eti watasoma yanga au simba tu na wachangiaji wanatakiwa wawe simba au yanga tu.
 
Unajihami kwelikweli. Hebu tupe jibu usajili bomba km mnavyosema wana utopolo lkn goli ni moja tu.

Goli moja ndiyo kiwango cha Misukule na dunia nzima na kila mtu anajua hilo.

Utopolo Ni Utopolo tu . Mechi na Simba ikiisha mnarudi kwenye uhalisia wenu.

Ila labda kwa mbinu mliyokuja nayo ya kumwaga bonasi kwa timu zingine kuikamia simba ,na kujeruni wachezaji, huenda mkafanikiwa kuwatuliza fans wenu.

Yote hii GSM anataka kutuliza upepo kwasababu Utopolo wasipochukua kombe tena hataeleweka.Hivyo hii Ni kufa na kupona.

Ila ubingwa msimu huu pia mtausikia tu!
Vipi nyie mechi ipi msimu huu mmeshinda goli zaidi ya moja? Mechi na biashara ulitamani ile penati ya boko ifungwe ili angalau mpate hata goli. Unamchekaje Yanga wakati nawewe timu yako inajikokota
 
Vipi nyie mechi ipi msimu huu mmeshinda goli zaidi ya moja? Mechi na biashara ulitamani ile penati ya boko ifungwe ili angalau mpate hata goli. Unamchekaje Yanga wakati nawewe timu yako inajikokota
Hakuna timu inayojikokota kwa kucheza mechi 2.

Tuna uzoefu na nyie wa goli moja halafu kikubwa ni tambo zenu kuwa Mna kikosi bora mastraika wa maana.

Ndiyo hoja inakuja km una straika wa maana mbona goli moja?

Mechi ya BIASHARA Ni mechi ya kukamia baada ya yanga kuweka hela. Nani asiyejua Rc Hapi Ni Yanga? Nani asiyejua Mbunge Mavunde Ni Yanga? Leo wanajifanya mashabiki wa Biashara au Dodoma Jiji.Mbinu zenu hizo.
JamiiForums1212433887.jpg
 
Hakuna timu inayojikokota kwa kucheza mechi 2.

Tuna uzoefu na nyie wa goli moja halafu kikubwa ni tambo zenu kuwa Mna kikosi bora mastraika wa maana.

Ndiyo hoja inakuja km una straika wa maana mbona goli moja?

Mechi ya BIASHARA Ni mechi ya kukamia baada ya yanga kuweka hela. Nani asiyejua Rc Hapi Ni Yanga? Nani asiyejua Mbunge Mavunde Ni Yanga? Leo wanajifanya mashabiki wa Biashara au Dodoma Jiji.Mbinu zenu hizo. View attachment 1974374
Sawa tufanye Yanga wamehusika kuwapa wapinzani ela ili Biashara iwafunge Simba. Je nyie mlitaka mechi iwe nyepesi kwenu? Kumbe mlitegemea kitonga sio. Vipi yale ya msimu uliopita mlivyowapa pesa kmc za motisha kwa kuifunga Yanga unakumbuka
 
Back
Top Bottom