Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,503
I can read between the line kwa kauli ya Mzee Mtei.
Mzee Mtei, acha kufikiria chama kwa sasa. Kauli zako zilitakiwa ziwe niza mtazamo wa kitaifa.
Kauli kama hii haukupaswa kabisa kutoka kwa kiongozi na mwanzilishi wa chama cha Demokrasia na maendeleo. Badala ya kukuza demokrasia, unachofanya ni kupunguza.
Kama vyama vitaweka mgombea mzuri ambaye atajibu maswali ya kitaifa kwa wananchi, basi wananchi watampa kura.
Demokrasia haipatikani kwenye magenge ya vyama vya siasa peke yake.
Isije ikawa kauli hii imekuja kutokana na hofu ya kupunguziwa kura kwa mgombea fulani kwa sababu kuna mgombea binafsi atakuwa EMBEDDED kama duru za kisiasa zinavyoonyesha kuwa kuna kiongozi fulani ambaye uwezekano wake ni mkubwa kuwa Presidential independent candidate kwa vile chama chake hakionekani kumkubali.
Mzee Mtei, acha kufikiria chama kwa sasa. Kauli zako zilitakiwa ziwe niza mtazamo wa kitaifa.
Kauli kama hii haukupaswa kabisa kutoka kwa kiongozi na mwanzilishi wa chama cha Demokrasia na maendeleo. Badala ya kukuza demokrasia, unachofanya ni kupunguza.
Kama vyama vitaweka mgombea mzuri ambaye atajibu maswali ya kitaifa kwa wananchi, basi wananchi watampa kura.
Demokrasia haipatikani kwenye magenge ya vyama vya siasa peke yake.
Isije ikawa kauli hii imekuja kutokana na hofu ya kupunguziwa kura kwa mgombea fulani kwa sababu kuna mgombea binafsi atakuwa EMBEDDED kama duru za kisiasa zinavyoonyesha kuwa kuna kiongozi fulani ambaye uwezekano wake ni mkubwa kuwa Presidential independent candidate kwa vile chama chake hakionekani kumkubali.