Joseph Gadiel
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 407
- 713
Hili basi lilipoanza huduma ya Luxury mara ya kwanza lilikuwa vizuri ila kadri siku zilivyoenda huduma zimegeuka kuwa za hovyo sijui tatizo ni nini, Usimamizi mbovu no customer care at all imagine na hii ni Luxury na imeidhinishwa kama gari la level ya Luxury na wanatambulika LATRA kama Luxury bus na abiria wanalipa nauli level ya Luxury.Picha linaanza,
Vinywaji ni maji na soda kwa siti, ukikosa soda hutaki maji shauri zako!
Vinywaji vinagaiwa vinaishia siti kadhaa za mbele, waliopo nyuma imeisha hiyo!
Mwanzoni walikuwa wanagawa chai na kahawa vimefungwa vyema ndani ya takeaways siku hizi mhudumu anatembea na vikombe na maji ya moto huku vijiko na sukari amevibania kwapani! Unaulizwa chai au kahawa, unamiminiwa anatoa kijiko kwapani anakuweke sukari, majani anakukorogea 😄
Wamejaza vistuli na ndoo ndani ya basi na wanaokota okota abiria njiani ndani wamejazana utadhani gari za mbagala
Hawana customer care kabisa lugha mbovu jeuri viburi wanafoka balaa! 😄 Ukimgusa bega kumnong'oneza jambo utasikia anapayuka "Sasaa kaka nilishasema abiria blah blah blah!" Hapo anatoa sauti kubwa basi zima wanasikia!
Mengine nitarudi kumalizia...
Vinywaji ni maji na soda kwa siti, ukikosa soda hutaki maji shauri zako!
Vinywaji vinagaiwa vinaishia siti kadhaa za mbele, waliopo nyuma imeisha hiyo!
Mwanzoni walikuwa wanagawa chai na kahawa vimefungwa vyema ndani ya takeaways siku hizi mhudumu anatembea na vikombe na maji ya moto huku vijiko na sukari amevibania kwapani! Unaulizwa chai au kahawa, unamiminiwa anatoa kijiko kwapani anakuweke sukari, majani anakukorogea 😄
Wamejaza vistuli na ndoo ndani ya basi na wanaokota okota abiria njiani ndani wamejazana utadhani gari za mbagala
Hawana customer care kabisa lugha mbovu jeuri viburi wanafoka balaa! 😄 Ukimgusa bega kumnong'oneza jambo utasikia anapayuka "Sasaa kaka nilishasema abiria blah blah blah!" Hapo anatoa sauti kubwa basi zima wanasikia!
Mengine nitarudi kumalizia...