Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Tuache unafiki, kama si Mungu, huyo kaponaje?
Nilitaka kusema your notion is contradictory but this is not the right time. Tufurahie uhai wa jamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache unafiki, kama si Mungu, huyo kaponaje?
Hushindwi kuwatupia lawama hizo bavichaKuna wapuuzi walishazusha kuwa kafa, MUNGU anawaumbua
USSR
Siunaona nikilazaAlisema hawezi kupona
...Mungu ni Mwema...!Kuna miujiza nyie
Kuna miujiza nyie
Mungu ni mwema. Na apone maana alikumbwa katika ajali ambayo ilikuwa haimuhusu kabisa!!!![]()
Mtembea kwa miguu aliyegongwa na Basi la Abiria la "Mwendokasi" wiki iliyopita ambaye ndiye alikuwa Majeruhi pekee wa ajali hiyo aliyesalia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), ameondolewa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) na kuhamishiwa wodi nyingine ya HDU baada ya afya yake kuzidi kuimarika.
Meneja Uhusiano wa MOI, Patrick Mvungi amesema pamoja na mambo mengine Majeruhi huyo ameanza kuongea na amejitaja kwa jina moja kwamba anaitwa Osam na Makazi yake ni Manzese, Dar es salaam “Tunaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaomfahamu wajitokeze ili kushirikiana nasi kumuhudumia na kumfariji”
Chanzo: Ayo Tv
Pia soma:
Ningekuwa mimi jamaa badala ya kukimbilia upande wa kushoto kwenye ukuta ningekimbia kulia barabarani. Yani kwenye manzingira kama haya maamuziya haraka sana yanahitajika.![]()
Mtembea kwa miguu aliyegongwa na Basi la Abiria la "Mwendokasi" wiki iliyopita ambaye ndiye alikuwa Majeruhi pekee wa ajali hiyo aliyesalia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), ameondolewa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) na kuhamishiwa wodi nyingine ya HDU baada ya afya yake kuzidi kuimarika.
Meneja Uhusiano wa MOI, Patrick Mvungi amesema pamoja na mambo mengine Majeruhi huyo ameanza kuongea na amejitaja kwa jina moja kwamba anaitwa Osam na Makazi yake ni Manzese, Dar es salaam “Tunaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaomfahamu wajitokeze ili kushirikiana nasi kumuhudumia na kumfariji”
Chanzo: Ayo Tv
Pia soma:
Ila dah lakini atakuwa tu permanent wheelchair boundKwa kweli Mungu Mwema sana
😂😆😂😂😆😆😆😆🍿Muda sio mfupi ikijulikana ni Athumani au shabani. Maneno ya kiarabu kusifu wakati wote tunajua kiswahili
Nape yeye alisema "Sasa bahari imetulia hali ni shwari, Mungu amemaliza ugomvi wetu tarehe 17 Machi 2021". Wewe bado unataka kuturudisha huko tena?Mtembea kwa miguu!! CHADEMA kama kawaida yao walisema amesagwasagwa na kufa. Hiki chama kinapenda sana vifo
Kuna vyombo vilisema jamaa kakata kamba sijui wataambia nini watu sasa
Yaani kifo kilimfuata live ila kasalimika Mungu akiwa kazini hakuna linaloshindikana![]()
Mtembea kwa miguu aliyegongwa na Basi la Abiria la "Mwendokasi" wiki iliyopita ambaye ndiye alikuwa Majeruhi pekee wa ajali hiyo aliyesalia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), ameondolewa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) na kuhamishiwa wodi nyingine ya HDU baada ya afya yake kuzidi kuimarika.
Meneja Uhusiano wa MOI, Patrick Mvungi amesema pamoja na mambo mengine Majeruhi huyo ameanza kuongea na amejitaja kwa jina moja kwamba anaitwa Osam na Makazi yake ni Manzese, Dar es salaam “Tunaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaomfahamu wajitokeze ili kushirikiana nasi kumuhudumia na kumfariji”
Chanzo: Ayo Tv
Pia soma:
He did the best he could, yaani hapo ungekimbilia barabarani tena? Na kumbuka gari dogo liliburuzwa barabarani Wala hata usingetoboaNingekuwa mimi jamaa badala ya kukimbilia upande wa kushoto kwenye ukuta ningekimbia kulia barabarani. Yani kwenye manzingira kama haya maamuziya haraka sana yanahitajika.
Nilipita eneo la tukio, mlinzi anayeonekana akikimbia baada ya kunyanyuka kwenye kiti ni mwanafunzi wangu wa mgambo. A tea shop ndio Tea 🍵 Room iĺiyogongwa na mwendokasi na hakukuwa na ombaomba wanaotajwa mitandaoniKuna miujiza nyie