Mtembea kwa miguu aliyegongwa na basi la mwendokasi atolewa ICU

Mtembea kwa miguu aliyegongwa na basi la mwendokasi atolewa ICU

apona-jpg.2527428

Mtembea kwa miguu aliyegongwa na Basi la Abiria la "Mwendokasi" wiki iliyopita ambaye ndiye alikuwa Majeruhi pekee wa ajali hiyo aliyesalia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), ameondolewa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) na kuhamishiwa wodi nyingine ya HDU baada ya afya yake kuzidi kuimarika.

Meneja Uhusiano wa MOI, Patrick Mvungi amesema pamoja na mambo mengine Majeruhi huyo ameanza kuongea na amejitaja kwa jina moja kwamba anaitwa Osam na Makazi yake ni Manzese, Dar es salaam “Tunaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaomfahamu wajitokeze ili kushirikiana nasi kumuhudumia na kumfariji”


Chanzo: Ayo Tv

Pia soma:

Mungu ni mwema. Na apone maana alikumbwa katika ajali ambayo ilikuwa haimuhusu kabisa!!!
 
Kila mja huenda kwa wakati wake...bado anakitu cha kufanya duniani..Mungu ni mkubwa.
 
apona-jpg.2527428

Mtembea kwa miguu aliyegongwa na Basi la Abiria la "Mwendokasi" wiki iliyopita ambaye ndiye alikuwa Majeruhi pekee wa ajali hiyo aliyesalia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), ameondolewa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) na kuhamishiwa wodi nyingine ya HDU baada ya afya yake kuzidi kuimarika.

Meneja Uhusiano wa MOI, Patrick Mvungi amesema pamoja na mambo mengine Majeruhi huyo ameanza kuongea na amejitaja kwa jina moja kwamba anaitwa Osam na Makazi yake ni Manzese, Dar es salaam “Tunaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaomfahamu wajitokeze ili kushirikiana nasi kumuhudumia na kumfariji”


Chanzo: Ayo Tv

Pia soma:

Ningekuwa mimi jamaa badala ya kukimbilia upande wa kushoto kwenye ukuta ningekimbia kulia barabarani. Yani kwenye manzingira kama haya maamuziya haraka sana yanahitajika.
 
Mtembea kwa miguu!! CHADEMA kama kawaida yao walisema amesagwasagwa na kufa. Hiki chama kinapenda sana vifo
Nape yeye alisema "Sasa bahari imetulia hali ni shwari, Mungu amemaliza ugomvi wetu tarehe 17 Machi 2021". Wewe bado unataka kuturudisha huko tena?
 
apona-jpg.2527428

Mtembea kwa miguu aliyegongwa na Basi la Abiria la "Mwendokasi" wiki iliyopita ambaye ndiye alikuwa Majeruhi pekee wa ajali hiyo aliyesalia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), ameondolewa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) na kuhamishiwa wodi nyingine ya HDU baada ya afya yake kuzidi kuimarika.

Meneja Uhusiano wa MOI, Patrick Mvungi amesema pamoja na mambo mengine Majeruhi huyo ameanza kuongea na amejitaja kwa jina moja kwamba anaitwa Osam na Makazi yake ni Manzese, Dar es salaam “Tunaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaomfahamu wajitokeze ili kushirikiana nasi kumuhudumia na kumfariji”


Chanzo: Ayo Tv

Pia soma:

Yaani kifo kilimfuata live ila kasalimika Mungu akiwa kazini hakuna linaloshindikana
 
Ningekuwa mimi jamaa badala ya kukimbilia upande wa kushoto kwenye ukuta ningekimbia kulia barabarani. Yani kwenye manzingira kama haya maamuziya haraka sana yanahitajika.
He did the best he could, yaani hapo ungekimbilia barabarani tena? Na kumbuka gari dogo liliburuzwa barabarani Wala hata usingetoboa
 
Back
Top Bottom