Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri matibabu yake yaghahramiwe na Bima ya gari kama inafaa au na serikaliNdugu zake wameombwa wajitokeze kusaidia kumuuguza na kumfariji
Huo ni mtegooooooo
Msiende acheni apone kwanza mtadaiwa milioni tano muone bora angetembea
Majeruhi huyo ameanza kuongea na amejitaja kwa jina moja kwamba anaitwa Osam
Umewaita mashabiki wa kifo chake
USSR
Mwanzo alikuwa anaitwa Ismail ,leo anaitwa Osam jina la pili alikumbuki lakini Mvungi anasema kwamba afya imeimarika anaendelea vizuri.Dah, Mungu ni mwema sana, King Kong III, Chaliifrancisco ,
HahahahaSasa huyu kilaza anahusikaje??
Chaliifrancisco
Mwanzo alikuwa anaitwa Ismail ,leo anaitwa Osam jina la pili alikumbuki lakini Mvungi anasema kwamba afya imeimarika anaendelea vizuri.
Kifuatacho ITV .............Sanaa na Wasanii kila jumamosi saa moja usiku.
Jina lake kamili ni Osam Milanzi, anaishi midizini manzese.