Mtemi Mirambo VS Mtemi Mkwawa

Toa mkeka boss ututoe tongotongo
 
Toa mkeka boss ututoe tongotongo
Nyegge za utawala,milambo akaitaka tawala ya mjomba wake huko kahama,mjomba akamwambia dada "unamuona mwanao"!!..milambo akaitwa kwenye kikao Cha ukoo Cha upatanishi,palikua na nyama,kumbe nyama ya mbwa imefanyiwa utaalamu,alipokua tu,akasema mjomba umeniweza,tangu hapo akaanza kuugua,akiongoza mapigano toka kwenye hanga,mpaka alipokufa
 
Nyie paka,acheni kumfananisha MKWAWA na vitu vya kipuuzi visivyoeleweka..hivi mnajua kwanini makao makuu ya jeshi la ulinzi la Tanzania panaitwa LUGALO?
where in History ya nchi yetu mmeona kuna utukufu umetolewa kwa Mirambo?
Why Germans tooks MKWAWA SKULL?
ukipata majibu ya hayo mwaswali machache ambayo ni sensitive,basi utajijua ni kwa namna gani mleta mada ni kiazi na hasara kwa kabila na mji wake wa Tabora...anawadhalilisha wenzie huyu mpuuzi..
 
Hizo ni propaganda tu, hakukuwa na watu bogus katika bara hili kama hao machifu. Wao ndio waliofanikisha biashara haramu ya utumwa.

Wageni waliwatumia kukamilisha azma yao ya kupata watumwa na kwa hili hakuna chifu ambaye alisimama kupinga huu ufidhuli kwani machifu, sawa na watawala wa sasa wa kiafrika, walikuwa ni watu wenye tamaa sana ya utajiri.

Pia upotoshaji mwingine ni kuhusu kifo cha Mirambo, hakufa sijui kwa ugonjwa gani bali aliuwawa kwa sumu aliyowekewa kwenye chakula na moja ya shemeji zake kama sijakosea.
 
tuanzie hapa hivi vitabu vyetu vya historia viliandikwa wapi na nani walihusika , aalah kumbe ukiitwa mlugaluga si tusi bali ni shujaa/mjeshi
ooya walugaluga wa humu ndani mko poa?
hakuna jambo linanichefua kama kusoma historia eti mzungu kagundua mlima kilimanjaro mara sijui kagundua ziwa victoria uduwanzi tu kusema wenyeji wa hayo maeneo walikua hawajui kwamba hivo vitu vipo hapo na kwa majina yaani mpaka ziwa letu likapewa jina la malikia wa kizungu victoria bora hata lingeitwa mirambo.
 
Umeeleza vizuri sana
 
Kama hajui tu, waunguja wengi wa leo hapa Zanzibar, babu na bibi zao walikuwa wanyamwezi, waliuzwa na mtemi Mirambo. Asili ya sisi wazanzibar wengi ni unyamwezini (waunguja) na Uarabuni (wapemba...
Ni kweli ukiangalia tabora wapemba kwaaman ya waarabu Koko wako wengi
 
Mmmh!Msumari huo.
 
Milambo alikuwa genius. Alimwacha mbali Babu yangu Mkwawa linapokuja suala la ubora wa jeshi na uongozi
 
Kama hujui tu, Mkwawa aliwachinja mpaka wamisionari wa kizungu waliofika kwenye himaya yake ambao kiasili walikuwa hawaguswi maana enzi zile walionekana kama wajumbe wa amani (malaika!).
Hii ni sifa ya kipumbavu! Yaani anaenda kuchinja watu wasiokuwa na silaha halafu unamsifia? Mwenzake Chief Mirambo alifika level ya kukusanya kodi na ndiye alikuwa Chief tajiri kuliko wote wakati wa Tanganyika!
 
Thank you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…