Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

Nilitaka kuandika andiko kuwa mwana malundi ni Yesu wa Tanzania, ni Yesu wa Kabila la wasukuma. Laiti tungethamini mzimu wake kuutii na kuutukuza kama ilivyo kwa Yesu tusingekuwa hapa tulipo unajua ukiwa na elimu ya kiroho na yenye tafakari kubwa **** hisia za mengi unazipata.


Mungu amlaze mahali pema mwana malundi.

Yesu si kitu hakuwa na tofauti na mwanamalundi sidhani kama walikuwa na tofauti sana, sikatai Yesu alikuwa kiboko na historia inasema alikuwa kiboko haswa ila nadhani kutukuzwa kwake kunafanya aonekane kiboko zaidi, hata nasi tungemtukuza mwanamakundi naamini hata roho wake angetenda kwetu, miujiza na upako wa utakatifu wake ungekuwa tiba kwetu.


Asante. Niishie hapo
 
Nilitaka kuandika andiko kuwa mwana malundi ni Yesu wa Tanzania, ni Yesu wa Kabila la wasukuma. Laiti tungethamini mzimu wake kuutii na kuutukuza kama ilivyo kwa Yesu tusingekuwa hapa tulipo unajua ukiwa na elimu ya kiroho na yenye tafakari kubwa **** hisia za mengi unazipata.


Mungu amlaze mahali pema mwana malundi.

Yesu si kitu hakuwa na tofauti na mwanamalundi sidhani kama walikuwa na tofauti sana, sikatai Yesu alikuwa kiboko na historia inasema alikuwa kiboko haswa ila nadhani kutukuzwa kwake kunafanya aonekane kiboko zaidi, hata nasi tungemtukuza mwanamakundi naamini hata roho wake angetenda kwetu, miujiza na upako wa utakatifu wake ungekuwa tiba kwetu.


Asante. Niishie hapo
Akili kwani tunazo basi?
 
Kupitia hii post, nimeshaanza kutilia mashaka juu ya uwepo wa huyu mwamba na mambo aliyowahi kuyafanya kwasababu kuna ubishani mkubwa humu,
Mimi nachoweza kukiuliza hizo nyayo nani alijui kweli nizamwanamalundi? Kama jiwe automatically lipo hivyo na mtu akaja kukuambia kuwa ni nyayo zangu utakataa?
Kuna jiwe moja hivi nilionaga kwenye picha linafanana na mb** je hiyo aliiacha nani? Hya mambo inabidi tuelewe mwanamalundi alikuwa mtu mjanja sana kama akina yesu na mohamedi huku ulaya ya mashariki.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Hizo ni stori za kutengenezwa kisha kukuzwa na kuaminiwa katika jamii yetu ambayo sehemu kubwa tunaamini mambo ya uchawi. Nakumbuka kitabu cha Historia ya Mwanamalundi iliandikwa na mtu aliyeshiriki kwenye shindano la kuandika vitabu vya mambo ya kijadi na akaibuka mshindi kwenye shindano hilo. Kuna uwezekano mkubwa kwamba kulikuwa na exaggeration kubwa kuhusu uwezo wa Mwanamalundi katika jamii husika hata kabla ya mwandishi kitabu hajaanza kuandika na pia kwa kutumia habari hizo hizo zilizokuwa exaggerated na yeye akafanya exaggeration zaidi ili kunogesha hadithi yake.
I think your right
 
Hizo ni stori za kutengenezwa kisha kukuzwa na kuaminiwa katika jamii yetu ambayo sehemu kubwa tunaamini mambo ya uchawi. Nakumbuka kitabu cha Historia ya Mwanamalundi iliandikwa na mtu aliyeshiriki kwenye shindano la kuandika vitabu vya mambo ya kijadi na akaibuka mshindi kwenye shindano hilo. Kuna uwezekano mkubwa kwamba kulikuwa na exaggeration kubwa kuhusu uwezo wa Mwanamalundi katika jamii husika hata kabla ya mwandishi kitabu hajaanza kuandika na pia kwa kutumia habari hizo hizo zilizokuwa exaggerated na yeye akafanya exaggeration zaidi ili kunogesha hadithi yake.
Siyo kweli, kwa 95% story ya huyo mtu ni ya kweli, na hata leo unaweza kusikia nguvu hizo kwa mtu ukakataa kwa sababu hujaona, ukijaribiwa tena kwa kuambiwa utaweza kuamini, kiufupi wewe hata dini huna, kama unayo unaaminije yaliyo andikwa? Na kama unaamini yaliyo andikwa kwenye kitabu Cha Imani yako kwa kua tu yaliandikwa miaka 2000 iliyo pita ndiyo kigezo Cha wewe usiamini yaliyo andikwa ktk miaka 100 iliyo pita? Dunia iko na mambo mengi kwa baadhi ya watu na story ya Ngw'wana Malundi ni ya kweli
 
Siyo kweli, kwa 95% story ya huyo mtu ni ya kweli, na hata leo unaweza kusikia nguvu hizo kwa mtu ukakataa kwa sababu hujaona, ukijaribiwa tena kwa kuambiwa utaweza kuamini, kiufupi wewe hata dini huna, kama unayo unaaminije yaliyo andikwa? Na kama unaamini yaliyo andikwa kwenye kitabu Cha Imani yako kwa kua tu yaliandikwa miaka 2000 iliyo pita ndiyo kigezo Cha wewe usiamini yaliyo andikwa ktk miaka 100 iliyo pita? Dunia iko na mambo mengi kwa baadhi ya watu na story ya Ngw'wana Malundi ni ya kweli
Kwa ufupi yeye dini hana na kama anayo???
Ivi unaelewa hata ulichoandika? Hajakataa kwamba mwanamalundi alishawahi kuwepo, ila anakuambia kulingana na uwezo wake wa kufanya vitu ambavyo wengi walishindwa kufanya basi akawa maarufu katika jamii yake, ila walivyokuja kuandika historia hatakama iwe ni miaka 2000 iliyopita walikoleza au kwa maana nyingine walipamba baaadhi ya matukio yake yaani kwa maana nyingine walioandika walikoleza na nikitu cha kawaida katika historia za wengi zilizoandikwa kama akina yesu akina Mohammed nawengineo....... usibishane kisa wewe ni msukuma kuna mda unaweza kubisha ili kujiona mshindi lakini unajidanganya mwenyewe.
 
Siyo kweli, kwa 95% story ya huyo mtu ni ya kweli, na hata leo unaweza kusikia nguvu hizo kwa mtu ukakataa kwa sababu hujaona, ukijaribiwa tena kwa kuambiwa utaweza kuamini, kiufupi wewe hata dini huna, kama unayo unaaminije yaliyo andikwa? Na kama unaamini yaliyo andikwa kwenye kitabu Cha Imani yako kwa kua tu yaliandikwa miaka 2000 iliyo pita ndiyo kigezo Cha wewe usiamini yaliyo andikwa ktk miaka 100 iliyo pita? Dunia iko na mambo mengi kwa baadhi ya watu na story ya Ngw'wana Malundi ni ya kweli
Sawa. Ila binafsi sijashawishika kuamini huo ujinga kumhusu Mwanamalundi. Kama kweli alikuwa na uwezo huo wa kipekee mbona alishindwa kuua hata mzungu mmoja miongoni mwa wale wazungu waliokuwa wakitawala Tanganyika huku na yeye akiwa anaathirika na udhalimu wao hadi kuwekwa kizuizini? Kama alifanya hivyo tupate ushahidi wake. Tunaambiwa tu kwamba aliweza kuwatoroka yeye kama yeye. Kwamba niamini alikuwa na uwezo wa kunyoosha kidole upande fulani na WATU WOTE wa direction hiyo wakafa kama inavyosimuliwa? Aah bana achani basi utani. Kama alifanya hivyo naamini bado kuna watoto na wajukuu wa waliokufa kutokana na Mwanamalundi kunyoosha kidole upande huo na tupate ushahidi kutoka kwao juu ya upuuzi huu. Tusipende kukuza mambo bila logical analysis.
 
Nilikuwa Mwanza na nilitembelea wilaya za Magu na Sengerema. Huko nilikutana na ngoma za kina Ng'wana Ituli,wanacheza MBINA. Hii ni ngoma inayochezwa kipindi cha kiangazi baada ya mavuno.

Wanajivunia uchawi na nguvu za miujiza walizonazo,wanawataja mashujaa wao kuwa ni kina Ng'wana Malundi, Iwambangulu, na Mtemi kapela.

Wanajivunia maajabu aliyoyafanya Ng'wana Malundi, ikiwa ni pamoja na kutembea juu ya bahari kule Zanzibar, kukausha misitu kwa kidole.

Kwa kweli ni historia nzuri sana na ya kujivunia na kuvutia pia, lakini kwa bahati mbaya hamna sehemu zilipo andikwa, ni masimulizi ya midomoni kwa watu.

Kuna haja sasa wataalam wetu wa historia, waende huko Usukumani wakasiklie na kuandika.

Inasikitisha kuona taifa letu halithamini historia yake yenyewe.

========================
Kule DRC yuko mtu aliyekua anaitwa Kimbangu ..huyu mpk leo anawafuasi wake..wanaamini ndio Yesu
 
Mlisahau ya kwenu mkakumbatia Yesu aliyezaliwa huko Uyahudini. DNA ya Mwafrika na ya Kiyahudi wapi zinaendana? Tuzingatie imani zetu za asili! Tutaandamwa tu na laana za kuacha uhalisia wetu, mababu wamekasikika. Tutafute Yesu wa Afrika.
 
Nilikuwa Mwanza na nilitembelea wilaya za Magu na Sengerema. Huko nilikutana na ngoma za kina Ng'wana Ituli,wanacheza MBINA. Hii ni ngoma inayochezwa kipindi cha kiangazi baada ya mavuno.

Wanajivunia uchawi na nguvu za miujiza walizonazo,wanawataja mashujaa wao kuwa ni kina Ng'wana Malundi, Iwambangulu, na Mtemi kapela.

Wanajivunia maajabu aliyoyafanya Ng'wana Malundi, ikiwa ni pamoja na kutembea juu ya bahari kule Zanzibar, kukausha misitu kwa kidole.

Kwa kweli ni historia nzuri sana na ya kujivunia na kuvutia pia, lakini kwa bahati mbaya hamna sehemu zilipo andikwa, ni masimulizi ya midomoni kwa watu.

Kuna haja sasa wataalam wetu wa historia, waende huko Usukumani wakasiklie na kuandika.

Inasikitisha kuona taifa letu halithamini historia yake yenyewe.

========================

Wasukuma bwana. Wanaamini yasiyoaminika. Kama alikuwa na nguvu za aina hiyo? Zimepotelea wapi? Han generation mpya alioiachia hizo nguvu?
Sababu ya kuamini sana haya madudu, wamebaki kutoana kafara za kupata mali na utajiri. Geita mauaji ya ajabu ajabu kama Njombe na Katavi
 
Ni kweli mkuu ulichokisema hata mimi hicho kitabu nilikisoma miaka ya mwanzo ya tisini na kama ulivyoelekeza akienda Bujora lazima atakipata.

Hata hivyo usukumani kuna simulizi za watu wengi sana zaidi ya Ng'wanaMalundi. Kuna simulizi za watu wengine kama Ng'wanagasasala, Samike, na kuna mwingine nimemsahau jina alikuwa na uwezo wa kuruhusu mwili wake ujae na kufiti chumba, kuna simulizi zingine za visima kuwa na uwezo wa kumeza watu na kuwatoa baada ya siku kadhaa wakiwa hai, simulizi za maajabu ni nyingi sana.
Naelewa...kumbe alipewa uganga na bibi mmoja ili acheze ngoma. Halafu uganga ukaishiwa nguvu ukapotea 😂 😂 😎 😎 🤣🤣
 
Wasukuma bwana. Wanaamini yasiyoaminika. Kama alikuwa na nguvu za aina hiyo? Zimepotelea wapi? Han generation mpya alioiachia hizo nguvu?
Sababu ya kuamini sana haya madudu, wamebaki kutoana kafara za kupata mali na utajiri. Geita mauaji ya ajabu ajabu kama Njombe na Katavi
Yesu nguvu zake kamwachia nani?
 
Back
Top Bottom