So unadhani ukidanganywa na wazungu basi kila mtu yuko gullible? Uwe angalau na nidhamu na watu usiowajua.Ulidanganywa na wazungu. Nenda kajifunze habari za Kemet utayajua mengi usiyoyajuaView attachment 1799914
Akili kwani tunazo basi?Nilitaka kuandika andiko kuwa mwana malundi ni Yesu wa Tanzania, ni Yesu wa Kabila la wasukuma. Laiti tungethamini mzimu wake kuutii na kuutukuza kama ilivyo kwa Yesu tusingekuwa hapa tulipo unajua ukiwa na elimu ya kiroho na yenye tafakari kubwa **** hisia za mengi unazipata.
Mungu amlaze mahali pema mwana malundi.
Yesu si kitu hakuwa na tofauti na mwanamalundi sidhani kama walikuwa na tofauti sana, sikatai Yesu alikuwa kiboko na historia inasema alikuwa kiboko haswa ila nadhani kutukuzwa kwake kunafanya aonekane kiboko zaidi, hata nasi tungemtukuza mwanamakundi naamini hata roho wake angetenda kwetu, miujiza na upako wa utakatifu wake ungekuwa tiba kwetu.
Asante. Niishie hapo
I think your rightHizo ni stori za kutengenezwa kisha kukuzwa na kuaminiwa katika jamii yetu ambayo sehemu kubwa tunaamini mambo ya uchawi. Nakumbuka kitabu cha Historia ya Mwanamalundi iliandikwa na mtu aliyeshiriki kwenye shindano la kuandika vitabu vya mambo ya kijadi na akaibuka mshindi kwenye shindano hilo. Kuna uwezekano mkubwa kwamba kulikuwa na exaggeration kubwa kuhusu uwezo wa Mwanamalundi katika jamii husika hata kabla ya mwandishi kitabu hajaanza kuandika na pia kwa kutumia habari hizo hizo zilizokuwa exaggerated na yeye akafanya exaggeration zaidi ili kunogesha hadithi yake.
Siyo kweli, kwa 95% story ya huyo mtu ni ya kweli, na hata leo unaweza kusikia nguvu hizo kwa mtu ukakataa kwa sababu hujaona, ukijaribiwa tena kwa kuambiwa utaweza kuamini, kiufupi wewe hata dini huna, kama unayo unaaminije yaliyo andikwa? Na kama unaamini yaliyo andikwa kwenye kitabu Cha Imani yako kwa kua tu yaliandikwa miaka 2000 iliyo pita ndiyo kigezo Cha wewe usiamini yaliyo andikwa ktk miaka 100 iliyo pita? Dunia iko na mambo mengi kwa baadhi ya watu na story ya Ngw'wana Malundi ni ya kweliHizo ni stori za kutengenezwa kisha kukuzwa na kuaminiwa katika jamii yetu ambayo sehemu kubwa tunaamini mambo ya uchawi. Nakumbuka kitabu cha Historia ya Mwanamalundi iliandikwa na mtu aliyeshiriki kwenye shindano la kuandika vitabu vya mambo ya kijadi na akaibuka mshindi kwenye shindano hilo. Kuna uwezekano mkubwa kwamba kulikuwa na exaggeration kubwa kuhusu uwezo wa Mwanamalundi katika jamii husika hata kabla ya mwandishi kitabu hajaanza kuandika na pia kwa kutumia habari hizo hizo zilizokuwa exaggerated na yeye akafanya exaggeration zaidi ili kunogesha hadithi yake.
Kwa ufupi yeye dini hana na kama anayo???Siyo kweli, kwa 95% story ya huyo mtu ni ya kweli, na hata leo unaweza kusikia nguvu hizo kwa mtu ukakataa kwa sababu hujaona, ukijaribiwa tena kwa kuambiwa utaweza kuamini, kiufupi wewe hata dini huna, kama unayo unaaminije yaliyo andikwa? Na kama unaamini yaliyo andikwa kwenye kitabu Cha Imani yako kwa kua tu yaliandikwa miaka 2000 iliyo pita ndiyo kigezo Cha wewe usiamini yaliyo andikwa ktk miaka 100 iliyo pita? Dunia iko na mambo mengi kwa baadhi ya watu na story ya Ngw'wana Malundi ni ya kweli
Sawa. Ila binafsi sijashawishika kuamini huo ujinga kumhusu Mwanamalundi. Kama kweli alikuwa na uwezo huo wa kipekee mbona alishindwa kuua hata mzungu mmoja miongoni mwa wale wazungu waliokuwa wakitawala Tanganyika huku na yeye akiwa anaathirika na udhalimu wao hadi kuwekwa kizuizini? Kama alifanya hivyo tupate ushahidi wake. Tunaambiwa tu kwamba aliweza kuwatoroka yeye kama yeye. Kwamba niamini alikuwa na uwezo wa kunyoosha kidole upande fulani na WATU WOTE wa direction hiyo wakafa kama inavyosimuliwa? Aah bana achani basi utani. Kama alifanya hivyo naamini bado kuna watoto na wajukuu wa waliokufa kutokana na Mwanamalundi kunyoosha kidole upande huo na tupate ushahidi kutoka kwao juu ya upuuzi huu. Tusipende kukuza mambo bila logical analysis.Siyo kweli, kwa 95% story ya huyo mtu ni ya kweli, na hata leo unaweza kusikia nguvu hizo kwa mtu ukakataa kwa sababu hujaona, ukijaribiwa tena kwa kuambiwa utaweza kuamini, kiufupi wewe hata dini huna, kama unayo unaaminije yaliyo andikwa? Na kama unaamini yaliyo andikwa kwenye kitabu Cha Imani yako kwa kua tu yaliandikwa miaka 2000 iliyo pita ndiyo kigezo Cha wewe usiamini yaliyo andikwa ktk miaka 100 iliyo pita? Dunia iko na mambo mengi kwa baadhi ya watu na story ya Ngw'wana Malundi ni ya kweli
Kule DRC yuko mtu aliyekua anaitwa Kimbangu ..huyu mpk leo anawafuasi wake..wanaamini ndio YesuNilikuwa Mwanza na nilitembelea wilaya za Magu na Sengerema. Huko nilikutana na ngoma za kina Ng'wana Ituli,wanacheza MBINA. Hii ni ngoma inayochezwa kipindi cha kiangazi baada ya mavuno.
Wanajivunia uchawi na nguvu za miujiza walizonazo,wanawataja mashujaa wao kuwa ni kina Ng'wana Malundi, Iwambangulu, na Mtemi kapela.
Wanajivunia maajabu aliyoyafanya Ng'wana Malundi, ikiwa ni pamoja na kutembea juu ya bahari kule Zanzibar, kukausha misitu kwa kidole.
Kwa kweli ni historia nzuri sana na ya kujivunia na kuvutia pia, lakini kwa bahati mbaya hamna sehemu zilipo andikwa, ni masimulizi ya midomoni kwa watu.
Kuna haja sasa wataalam wetu wa historia, waende huko Usukumani wakasiklie na kuandika.
Inasikitisha kuona taifa letu halithamini historia yake yenyewe.
========================
Hebu tupe mastori yakeKule DRC yuko mtu aliyekua anaitwa Kimbangu ..huyu mpk leo anawafuasi wake..wanaamini ndio Yesu
Nilikuwa Mwanza na nilitembelea wilaya za Magu na Sengerema. Huko nilikutana na ngoma za kina Ng'wana Ituli,wanacheza MBINA. Hii ni ngoma inayochezwa kipindi cha kiangazi baada ya mavuno.
Wanajivunia uchawi na nguvu za miujiza walizonazo,wanawataja mashujaa wao kuwa ni kina Ng'wana Malundi, Iwambangulu, na Mtemi kapela.
Wanajivunia maajabu aliyoyafanya Ng'wana Malundi, ikiwa ni pamoja na kutembea juu ya bahari kule Zanzibar, kukausha misitu kwa kidole.
Kwa kweli ni historia nzuri sana na ya kujivunia na kuvutia pia, lakini kwa bahati mbaya hamna sehemu zilipo andikwa, ni masimulizi ya midomoni kwa watu.
Kuna haja sasa wataalam wetu wa historia, waende huko Usukumani wakasiklie na kuandika.
Inasikitisha kuona taifa letu halithamini historia yake yenyewe.
========================
Naelewa...kumbe alipewa uganga na bibi mmoja ili acheze ngoma. Halafu uganga ukaishiwa nguvu ukapotea π π π π π€£π€£Ni kweli mkuu ulichokisema hata mimi hicho kitabu nilikisoma miaka ya mwanzo ya tisini na kama ulivyoelekeza akienda Bujora lazima atakipata.
Hata hivyo usukumani kuna simulizi za watu wengi sana zaidi ya Ng'wanaMalundi. Kuna simulizi za watu wengine kama Ng'wanagasasala, Samike, na kuna mwingine nimemsahau jina alikuwa na uwezo wa kuruhusu mwili wake ujae na kufiti chumba, kuna simulizi zingine za visima kuwa na uwezo wa kumeza watu na kuwatoa baada ya siku kadhaa wakiwa hai, simulizi za maajabu ni nyingi sana.
Yesu nguvu zake kamwachia nani?Wasukuma bwana. Wanaamini yasiyoaminika. Kama alikuwa na nguvu za aina hiyo? Zimepotelea wapi? Han generation mpya alioiachia hizo nguvu?
Sababu ya kuamini sana haya madudu, wamebaki kutoana kafara za kupata mali na utajiri. Geita mauaji ya ajabu ajabu kama Njombe na Katavi