LGE2024 Mtendaji kukimbia Kugawa au Kupokea Fomu za Wapinzani ni Ushamba wa mwaka 47 kabla Taifa la Israel halijaundwa!

LGE2024 Mtendaji kukimbia Kugawa au Kupokea Fomu za Wapinzani ni Ushamba wa mwaka 47 kabla Taifa la Israel halijaundwa!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Katika Dunia ya Leo Mtendaji anaogopa kugawa Fomu za uchaguzi Kwa Chadema?

Huu ni Upumbavu uliotukuka utakaosababisha Watanganyika waamini ni kweli Chadema ina Wanachama milioni 17

Inakera sana 😂
Yaan,.
Ni zile enzi za UJITUKABEJA Ondoa BEJA Unapata , ujima, utumwa na ukabaila.
Binadamu walipitia magumu Sanaa Sana
No surplus, low technology, low production, classes/ no classes, kitendo Cha kukimbia ofisi ni kubaya Sanaa Sana kwenye Karne ya 21 ya science and technology
 
wanatafuta huruma ambayo haiko na haina maana yoyote nyakati hizi,

hata hivyo kama mgombea hana sifa na vigezo stahiki vya kisheria, hawezi kuruhusiwa kuchukua formu ya kugombea. :pulpTRAVOLTA:
Kamala Harris: Chawa ndio wanawaomgoza Viongozi wa Africa
 
Kama kuna aliyefanya hivyo basi ni adui wa demokrasia. Wafuasi wa Mbowe wapewe fomu hata kama wanaenda kuangukia pua.
 

Attachments

  • FB_IMG_1727185842688.jpg
    FB_IMG_1727185842688.jpg
    37.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1727158232732.jpg
    FB_IMG_1727158232732.jpg
    48 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1727158226330.jpg
    FB_IMG_1727158226330.jpg
    48.9 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1727145615769.jpg
    FB_IMG_1727145615769.jpg
    88.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
    Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
    589.7 KB · Views: 1
Ccm uwezo wa kushindana kihalali umeshaisha.
Kwa ujumla CCM ilitakiwa kufutwa kabisa, ni chama cha kishetani. Ni chama.kilichojaa matendo ya giza na uchafu wa kila aina.
 
Kama kuna aliyefanya hivyo basi ni adui wa demokrasia. Wafuasi wa Mbowe wapewe fomu hata kama wanaenda kuangukia pua.
Ukiona hivyo wameshanusa kuwa watashundwa na hayo ndiyo maagizo ya Mchengerwa kuwa pale wanapoona kuna ugumu watumie ile formula ya Fascist Magufuli.
 
Katika Dunia ya Leo Mtendaji anaogopa kugawa Fomu za uchaguzi Kwa Chadema?

Huu ni Upumbavu uliotukuka utakaosababisha Watanganyika waamini ni kweli Chadema ina Wanachama milioni 17

Inakera sana 😂
Wewe jamaa sometimes unaandikaga vya maana ukiamua kujitoa ufahamu unajitoa kweli
 
Kwa ujumla CCM ilitakiwa kufutwa kabisa, ni chama cha kishetani. Ni chama.kilichojaa matendo ya giza na uchafu wa kila aina.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu. CCM haina tofauti kubwa na Bokoharam
 

Attachments

  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 1
Back
Top Bottom