900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
nimesema mara nyingi ccm ilishajifia, chadema wanapambana na serikali kupitia watawala, chadema wamesimamisha wagombea karibu mitaa yote nchi nzima, maccm yanashangaa hivi kumbe chadema wapo kiasi hikiKatika Dunia ya Leo Mtendaji anaogopa kugawa Fomu za uchaguzi Kwa Chadema?
Huu ni Upumbavu uliotukuka utakaosababisha Watanganyika waamini ni kweli Chadema ina Wanachama milioni 17
Inakera sana 😂