Mtendaji: Ulitakiwa uandike "Mgombea Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni" na siyo "Mgombea Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni"

Mtendaji: Ulitakiwa uandike "Mgombea Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni" na siyo "Mgombea Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni"

Lawama zote zinaenda kwako maana hueleweki.

Heading na content ni different
Haina utofauti wowote.

Bwashee kaandika anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mwembeni

Mtendaji amemwambia amekosea alipaswa kuandika anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa mtaa wa Mwembeni.

Kinachobishaniwa hapo ni tofauti kati ya Mwenyekiti wa mtaa .....na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa!

Uwe unaelewa!
 
Tutawapiga kwenye mitaa ccm mbele kwa mbele×2 huu wimbo!!! rest in peace komba.watani zangu siasa ni sayansi siyokulialia tu miaka yote nyie nikulialia tu! Mnarekodi nyingi za kulialia tangu kipindi Cha kikwete na hata kipindi hiki mnaendelea kulialia mara hamtambui raisi wa Zanzibar mriishia wapi !wananchi tumeshawajua jpm kaza hapohapo
 
Watanzania wajifunze kutoka Hong Kong namna ya kudai haki zao, otherwise tukae kimya tuache porojo tutiwe madole tu.
 
Kwa hiyo huyo mgombea alikuwa hajui kama anakaa mwembeni
 
Haina utofauti wowote.

Bwashee kaandika anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mwembeni

Mtendaji amemwambia amekosea alipaswa kuandika anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa mtaa wa Mwembeni.

Kinachobishaniwa hapo ni tofauti kati ya Mwenyekiti wa mtaa .....na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa!

Uwe unaelewa!

Mwenye jukumu la kuhakikisha ujumbe unaekeweka ni mtoa ujumbe na siyo mpokea ujumbe.

Mtoa ujumbe ni lazima uhakikishe unaondoa utata ili ueleweke.

Huwezi kumpa msomaji kazi ya kukudadavulia ulicholenga kumaanisha.
 
Mwenye jukumu la kuhakikisha ujumbe unaekeweka ni mtoa ujumbe na siyo mpokea ujumbe.

Mtoa ujumbe ni lazima uhakikishe unaondoa utata ili ueleweke.

Huwezi kumpa msomaji kazi ya kukudadavulia ulicholenga kumaanisha.
Kumbe na wewe ungegombea wangekukata tu una dalili zote!
 
wazo lako ni zuri sana tindo, kilichotokea ni aibu sana yani eti wao nchi nzima wasikosee? ila sasa kuhusu hilo wazo la kuandamana nani atathubutu kuanzisha hayo maandamano? wewe na mimi wenyewe ni majasiri hapa kwenye invisible, tofauti na hapo.
Kuandamana pekee ndio itakayoleta kuheshimiana, watu lazima wataumia lakini hilo halikwepeki. Kumbuka mtu hata kama humuwezi pigana naye atakuheshimu hata akikupiga.
 
Kuna watu watailisoma somo la haki kwa vitendo, haki haidhulumiwi, ogopa sana mtu akiumia kwa sababu ya haki yake
 
Haina utofauti wowote.

Bwashee kaandika anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mwembeni

Mtendaji amemwambia amekosea alipaswa kuandika anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa mtaa wa Mwembeni.

Kinachobishaniwa hapo ni tofauti kati ya Mwenyekiti wa mtaa .....na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa!

Uwe unaelewa!
Nini maoni yako Mkuu?
 
Nasubiria na vyama vingine vyenye ushawishi kama Cuf, Act, Nccr, nk navyo kutangaza kujitoa ili ibakie Ccm yenyewe. Hii ndiyo njia pekee sahihi iliyobakia.
Ondoa CUF hapo hawana ushawishi wowote lipumba kabaki kuangalia ligikuuu haana jipya
 
Hamna suluhisho, sio mahakamani, sio kuandamana wala sio umoja wa mataifa, bora amejitoa kuokoa gharama za pesa, muda na maisha ya watu.


Hakuna attempt unayoweza ifanya awamu hii wakakuruhusu uwashinde..
Mwenye idea atoe, mm naona zote ni impossible.
Nafikiri hii awkward means ya kubana matumizi ilifanywa Ikulu kwa kuita key players ma AT na WEO. Hiki kinachotokea si bahati mbaya bali ni nadharia ya mpango wa pamoja wa kuzuia uchaguzi.
Haiwezekani chama lingine wapite kwa asilimia 100 na lingine kwa asilimia 4 mpaka 6. Kama nchi hii ni aibu kubwa sana.
Naendelea kuasa kila kitu kifanywe kwa kiasi. Pia ukimfukuza sana mjusi hugeuka nyoka. Haya ma sgr stigler kwenye dhuruma za wazi na za kishamba namna zitakuwa na raha gani.
Niaminivyo mimi Watanzania wengi tu watu wa kiasi. Hatuchelewi kumuunga mkono anayeonewa kupitiliza. Chadema hapo nyuma walijimwambafy mitandaoni na baadhi ya mitaa wananchi waliunga mkono wanyonge. Sasa naona wananchi wanaenda kwa wanyonge wa sasa.
Wanasiasa wa CCM wastarabu wajenga hoja walizomewa na CCM ikawaweka pembeni. Imeleta wanasiasa watoa matusi mabeberu moto unawaka si kwa wanasiasa tu hata ofisini kutukanwa na kudharilishwa mbele ya watoto wetu. Inauma sana
 
Back
Top Bottom