Mtendaji: Ulitakiwa uandike "Mgombea Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni" na siyo "Mgombea Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni"

Mtendaji: Ulitakiwa uandike "Mgombea Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni" na siyo "Mgombea Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni"

wazo lako ni zuri sana tindo, kilichotokea ni aibu sana yani eti wao nchi nzima wasikosee? ila sasa kuhusu hilo wazo la kuandamana nani atathubutu kuanzisha hayo maandamano? wewe na mimi wenyewe ni majasiri hapa kwenye invisible, tofauti na hapo.

Mkuu kwa bahati mbaya hunijui, nina kovu hapa mguuni la maandamano, na sina wasi wasi wowote, lakini sio tuandamane kisha cdm watuletee wahuni aina ya kina Lowassa, Sumaye, Nyalandu nk kugombea uchaguzi.
 
Sasa nineamini, Magu.ni Muhutu! Anataka tuchome nyumba tufanane na kwa.babu zake!
 
[emoji30][emoji30][emoji30]
Screenshot_20191016-224559-picsay.jpeg
 
Hamna suluhisho, sio mahakamani, sio kuandamana wala sio umoja wa mataifa, bora amejitoa kuokoa gharama za pesa, muda na maisha ya watu.


Hakuna attempt unayoweza ifanya awamu hii wakakuruhusu uwashinde..
Mwenye idea atoe, mm naona zote ni impossible.
Kauli za kukata tamaa! Poor you!
 
Hao hawawezi
Nasubiria na vyama vingine vyenye ushawishi kama Cuf, Act, Nccr, nk navyo kutangaza kujitoa ili ibakie Ccm yenyewe. Hii ndiyo njia pekee sahihi iliyobakia.
 
Unafanya mazoezi miaka yote, viwanja vyote vya mechi unamiliki wewe, umefanya usajili wa vipaji vyote vikubwa.

Refa, kamisaa, VAR na mashabiki wote ni wa kwako na wanakushangilia wewe, kwanini upige risasi za miguu wachezaji wa timu pinzani siku ya mechi inapokaribia?

Ukizoea kula huwezi acha.
 
Kupigania haki yako kama unaamini kuwa umedhulumiwa!
😂😂😂😂😂😂
wapi huko mahakamani? umeisoma vizuri orodha ya wale majaji 12 wapya? ukiwajua wengi wao ni akina nani basi utajua kuwa hata mahakama zetu hazina uwezo wa kutoa haki.
 
Mmoja wa wagombea aliyekatwa ameelezwa na Mkuu wa Rufaa kwenye kata yake kuwa wamemuondoa kwa sababu kwenye fomu yake ameandika anagombea nafasi ya “Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni”.

Mtendaji kamwambia alipaswa kuandika anagombea nafasi ya “Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni”

Source: ITV habari

My take:
Nimebaki nacheka tu kwa mshangao!!!!
ABRACADABRA.
Ukiwa hauna hoja unatunga hoja bila kufikiri na mdomo ambao bado unachanganya utaropoka bila kukijua ukiropokacho.
 
Mm nashindwa kuelewa maana ya kua na wasimamizi wa uchaguzi ni nn ama hao watendaji wanasimamia nn sasa maana hao ndo walitakiwa kuwapa elim wagombea wanapo chukua form ...Najilaumu hata kwa nn nilipoteza mda wangu kwenda kujiandikisha maana km watu wanashangilia mtu kufeli na tupo ktk kujenga demokrasia ni upuuzi
 
Utetezi wa Polepole ndiyo ujinga zaidi.

Et kuna wagombea wamekosea majina ya vijiji na mitaa wanayogombea!!

Kama vijiji vingekosa wagombea kabisa inge-make sense.

Yaani CCM nchi nzima akosekana popoma hata mmoja ila wapinzani tu?

Hizo semina za kufundisha wanaCCM kujaza form zilifanyikia wapi,mbona huku nilipo hazikufanyika?

Mambo mengine ni fedheha.
Hao wa Chama Chakavu wakikosea hupewa form Mpya wajaze vizuri.
 
Mmoja wa wagombea aliyekatwa ameelezwa na Mkuu wa Rufaa kwenye kata yake kuwa wamemuondoa kwa sababu kwenye fomu yake ameandika anagombea nafasi ya “Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni”.

Mtendaji kamwambia alipaswa kuandika anagombea nafasi ya “Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni”

Source: ITV habari

My take:
Nimebaki nacheka tu kwa mshangao!!!!
Hicho ndicho chama chako unachokipigania kila kukicha
 
Back
Top Bottom