Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
mfereji wa nyaaa wote unaonekana. Labda alikuwa antangaza biashara indirectly.Huyu mtendaji licha ya kumdhalilisha mwanakijiji, naye kajidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana...nusu ya kalio lote nje.!
Aibu naona mimi.!
Kuna njia nyingi za kumshughulikia mtu zikiwemo 'unconventional'Ungefanya nini,a cha kutuzuga, hata wewe ungepigwa pia.
Na kama mfereji unaonekana uwezekano kuwa kufuli hakuna ndani ni mkubwa.mfereji wa nyaaa wote unaonekana. Labda alikuwa antangaza biashara indirectly.
Mwanakijiji aliona asijitetee aendelee kufaidi joto joto la kitumbua cha mtendaji.
Watendaji wa ngazi za chini wanakutana na madhila makubwa sana kukabiliana/kuongoza watanzania wale halisi wa huko chini.Kwani chanzo ni nini wadau kwa mwenye kujua
Sexual frustration ni ugonjwa pia. Ukute mtendaji hapati hai yake ipaswavyo ndio anazusha ugomvi ili tu apate ule msuguano.Na kama mfereji unaonekana uwezekano kuwa kufuli hakuna ndani ni mkubwa.
Nakuunga mkono kwa 200%Watendaji wa ngazi za chini wanakutana na madhila makubwa sana kukabiliana/kuongoza watanzania wale halisi wa huko chini.
Wanafuatilia au walio karibu kidogo na serikali za mitaa na shughuli za maendeleo za huko chini wanaweza Kuelewa na wakajipa nafasi ya kuchambua na kusubiri taarifa ya uchunguzi.
Katika hali ya kawaida ni vigumu sana kwa kiongozi wa ngazi yoyote kufanya hivi bila sababu za msingi. Majibu na vitendo vya wananchi kwa viongozi hawa ni hatarishi.
Si ajabu kwa kiongozi kuweka pembeni busara na makatazo ya kiuongozi na kuvaa ubinadamu km wengine. Hata wao wana roho za damu na nyama, wana nyongo hawa, wanakerwa sana sana na mapambano magumu ya kuhamasisha maendeleo.....
Mitano Tena[emoji1787][emoji1787]Taarifa zinaonesha kwamba Mh Mtendaji anaitwa Adella na ni Mtendaji wa kijiji cha Hydom kilichopo Mbulu , mkoani Manyara.
Cha kushangaza ni kwamba Mwananchi aliyedundwa ndiye ameshtakiwa mahakamani kwa kumshambulia Mtendaji.
Nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazalendo waliorekodi tukio hili la kishenzi na kulirusha mitandaoni.
View attachment 1681189
ASIMAMISHWA KAZI
DED wa Mbulu, Hudson Kamoga amesema kuwa amemsimamisha kazi mtendaji huyo ili kupisha uchunguzi kubainisha kilichopelekea mpaka mtendaji huyo kumshambulia mwanakijiji huyo.
View attachment 1681405
Hahahahaa.. we jamaa inaonesha umetumiss sana.
Njoo huku bongo kidogo ule maisha basi maana inaonekana huko kwenu hali si hali..
Tatizo Magufuli ndo anawapenda watu violent kama huyo Mtendaji, tusishangae akapandishwa cheo kuwa Afisa TarafaTaarifa zinaonesha kwamba Mh Mtendaji anaitwa Adella na ni Mtendaji wa kijiji cha Hydom kilichopo Mbulu , mkoani Manyara.
Cha kushangaza ni kwamba Mwananchi aliyedundwa ndiye ameshtakiwa mahakamani kwa kumshambulia Mtendaji.
Nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazalendo waliorekodi tukio hili la kishenzi na kulirusha mitandaoni.
View attachment 1681189
ASIMAMISHWA KAZI
DED wa Mbulu, Hudson Kamoga amesema kuwa amemsimamisha kazi mtendaji huyo ili kupisha uchunguzi kubainisha kilichopelekea mpaka mtendaji huyo kumshambulia mwanakijiji huyo.
View attachment 1681405