Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa

Huku anamvua hizo gloves za jikoni, tohhh.
 
Hayo mavitu mnayafanya huko kwenye maeneo ya dini yenu huko Pwani, yapo sana uknda huo.
Hakuna nchi yeyote ya Pwani ilio halalisha ushoga mzee, ila wazungu ndio wamehalalisha hata World Cup walikuwa wana angaika kutaka ushoga wao uonyeshwe, sasa nashangaa nyie ndio wazungu wa Africa mashariki, imekuwaje mnaua ndugu yenu au nyie hamna haki za kibindamu kama UK na US?
 

Suala sio kuhalalisha, issue ni wapi mnayafanya sana, tofauti yenu na wazungu ni kwamba wazungu wanafanya wazi bila kuficha, ila nyie huko Pwani na hata kule kwa waarabu wanayafanya sana kisiri, kwa sasa hivi ushoga umekua kitu cha mawaida maeneo yenu kuanzia Pemba, Mombasa na Pwani yote.... Watu mnafumuana kwenye mikanzu yenu hiyo https://www.rfi.fr/sw/eac/20170918-watu-20-wakamatwa-kwa-kushtumiwa-ushoga-zanzibar
 
Wazungu wanafanya wazi kwasababu ni halali kwao, ila pwani watu wanafanya kwa kujificha kwa sababu sio halali pale, mbona iko wazi ahahaha, ushoga ni sawa na kuiba watu wanafanya lakini wanajua kuwa haufai ndio maana wanajificha, sasa tuna shangaa wazungu wa Africa mashariki, imekuwaje tena mmemuua mwenzenu wakati nyie ni halali ushoga maana ni haki zenu wanadamu
 
Chief sijui unatetea nini ktk hili but let me tell you something bruh!!!

Mimi naweza kuwa mwizi ila sikai hadharani social media kujitangaza mimi ni mwizi,naweza kuwa mzinzi ila hunikuti nime-post kwamba kuzini ni jambo jema naweza pia kuwa nachukua wake za watu ila si-share ktk jamii kwamba nafanya jambo jema ili jamii waniige ila shida ya hawa watu wanajitangaza na wanalazimisha uchafu wao uenee ktk jamii,sisi ni Waafrika likubali hilo kama unafanya huu ujinga fanya chumbani mwako toka nje ukijipinda pinda kama mtoto wa kike ila mdomo wako ufunge.

Kwani mashoga wameanza kuwepo leo?walikuwepo ila walikaa kimya ninyi wa leo mnapita mitaani mkiringa mnawasikiliza wazungu hii ni Africa ukitaka uhuru unaoutaka wewe nenda ulaya.
 
Umesema kweli!
 
Waliokuwa wakimfadhili wamemponza. Angefanya ujinga wake kimya kimya, lakini kwa kutaka ku promote huu upuuzi,(naita upuuzi maana ni Mambo ya kuiga, na Kama imekuwa hivyo kwa bahati mbaya why unataka ku recruit wengine waingie Mambo yasiyo kuwa ya asili?). WAKOMEEEEEE
 
Duh! Kayajaribisha hayo mavitu mji wa Eldoret, huko ni mikoani, utauawa, hayo labda uyafanye kuanzia Mombasa, Pemba, Dar hadi Tanga....
Sosi huku hadi mkuu wa chama cha mambuzi ni choko
 
Viumbe vyote vinavyopenda kinyesi huwa havipendwi. Angalia hata inzi. Apumzike kwa amani.
Kwa hiyo sa1000 apendwi maana naye ana kunya akili na kubakisha [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Ameyataka mwenyewe,yeye kama anafurahia hayo mambo si afanye chumbani kwake huko,unaleta uanaharakati hadharani ili iweje?

Na hawa wakiachwa watambe kuna wengine nao eti wameshaanza za chinichini eti ugonjwa wao ni kutembea na watoto wadogo kwahio watambuliwe rasmi,aisee watakufa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…