Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa

Wewe kila mada ya ushoga umo na unachangia kwa mbwembwe!

Nina mashaka na marinda yako.
 
Kuna watu wana roho za peke yao yaani jitu kama hilo na sura yake unamtongoza vp mpaka anakuelewa anaenda anavua ana baki mtupu anainama na wewe unainuka unaingia dah![emoji848] Kuna viumbe wa hatari sana
Kama wao wameridhia kutafunana, wewe shida yako inatoka wapi?

Umelazimishwa?
 
Wewe kila mada ya ushoga umo na unachangia kwa mbwembwe!

Nina mashaka na marinda yako.
Naona jiwe limekupata gizani..pole sana

Sasa nakwambia hiviii..ww na wenzako wote mnaojifanya mnatetea ushoga tokeni hadharani, tafuteni waandishi wa habari fanyeni press yenu alafu tuwaone sura zenu sio mnajificha huku nyuma ya keyboard

Ila baada ya hapo kama mtafanikiwa kurudi hapa na hii jf ndo utakua mwisho wake
 
Hawa ni wagonjwa wa akili kama wagonjwa wengine..
Dunia imeamua kuwaacha waongezeke ili kupunguza idadi ya watu na kuendelea kumuudhu Muumba dhidi ya vitendo hivi vichafu
 
Pombe mama wa maasi mengi
 

Huo uislamu tunauona kwa waislamu, hivyo tabia zenu ndio uislamu, hamna haja ya kusoma nadharia za waarabu ndio niujue uislamu, nyie ndio kioo chake.
Kuna huu uzi huku hadi nimewahurumia sana nyie watu Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…