Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa

Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa

Akili yako haina akili kabisa, ndio maana Mungu akaweka pepo kisha akaweka moto, atakae tii amri atapata pepo, na atakae fanya mambo mabaya atapata moto, kwahiyo kama jambo uislamu au dini yeyote imelikataza, halafu wewe ukafanya ilo sio kosa la UISLAMU , hayo ni matatizo yako na utachomwa mwenyewe, ila kwa wazungu kwao ushoga ni halali kabisa wanaume kupakuliwa mitaro, nyie wazungu wa Kenya imekuwaje tena mnauana

Nyie mnafumuana kwa siri kumkosha binadamu sio kwa ajili ya Mungu, maana hata mambo kama ramdhani wengi mnakula kula ila kisiri ili kumfurahisha mwanadamu, ndio tatizo lenu kubwa.
 
Suala sio kuhalalisha, issue ni wapi mnayafanya sana, tofauti yenu na wazungu ni kwamba wazungu wanafanya wazi bila kuficha, ila nyie huko Pwani na hata kule kwa waarabu wanayafanya sana kisiri, kwa sasa hivi ushoga umekua kitu cha mawaida maeneo yenu kuanzia Pemba, Mombasa na Pwani yote.... Watu mnafumuana kwenye mikanzu yenu hiyo https://www.rfi.fr/sw/eac/20170918-watu-20-wakamatwa-kwa-kushtumiwa-ushoga-zanzibar
🤣🤣🤣Unatumia nguvu kijana nyie ndo mmehalalisha kabisa na mnaolewa kama wewe.
 
Kufanya ni hiari yako lakini dini iko wazi kuwa ni haramu, ni sawa na zinaa tu , hata serikali yetu haijaweka uhalali kwenye jambo hilo, kwahiyo jambo la haramu ni kawaida binadamu kufanya kwa kujificha, lakini wazungu kufukua mitaro ni HALALI hakuna haja ya kujificha, sasa nyie wazungu wa wapi mnauana kwenye jambo la halali kwenu!!!
Pwenti
 
Nyie mnafumuana kwa siri kumkosha binadamu sio kwa ajili ya Mungu, maana hata mambo kama ramdhani wengi mnakula kula ila kisiri ili kumfurahisha mwanadamu, ndio tatizo lenu kubwa.
Sawa wakifumuana kwa Siri wanapata dhambi, siku wakienda kwa Mungu wao watapata adhabu sio zawadi, kwasababu jambo hilo sio halali, sasa turudi kwenu wazungu mnafumuana hadharani kwasababu ni halali kwenu, sasa inakuwaje jambo la halali kwenu wazungu mnauana
 
Sawa wakifumuana kwa Siri wanapata dhambi, siku wakienda kwa Mungu wao watapata adhabu sio zawadi, kwasababu jambo hilo sio halali, sasa turudi kwenu wazungu mnafumuana hadharani kwasababu ni halali kwenu, sasa inakuwaje jambo la halali kwenu wazungu mnauana

Hayo ya dhambi huwa hamjali kuyahusu almradi hamjaonwa na binadamu wenzenu, kwa kifupi mnaogopa binadamu sana zaidi ya Mungu.
Halafu vioja, muarabu wenu naona anapindisha sheria za dini kumkosha mwanadamu Saudi Arabia kubadilisha sheria zake ili kuruhusu Ronalo aishi na mpenzi wake bila ndoa
 
Kumbe mke wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akiwa na mumewe ambae ndio mshukiwa mkuu.
FB_IMG_1673158218409.jpg
 
Hayo ya dhambi huwa hamjali kuyahusu almradi hamjaonwa na binadamu wenzenu, kwa kifupi mnaogopa binadamu sana zaidi ya Mungu.
Halafu vioja, muarabu wenu naona anapindisha sheria za dini kumkosha mwanadamu Saudi Arabia kubadilisha sheria zake ili kuruhusu Ronalo aishi na mpenzi wake bila ndoa
Shida yako kubwa ni kushindwa kutofautisha uislamu na waislamu, akili yako ndogo inafikiri uislamu ni kujiita tu HAPANA, Uislamu ni kutii amri zote bila kubagua, sasa ukiona mtu anafanya jambo la haramu ilo tatizo lake maana Mungu ametoa hiari ya mtu kuacha dhambi au kufanya dhambi, hulazimishwi ila matokeo ya matendo yako ni motoni au peponi akili kichwani kwako, turudi kwako vip mmemuua mzungu mwenzenu wakati haki za binadamu kwenu ni lazima
 
Duh! Kayajaribisha hayo mavitu mji wa Eldoret, huko ni mikoani, utauawa, hayo labda uyafanye kuanzia Mombasa, Pemba, Dar hadi Tanga.
Usiseme Dar sema magomeni, kinondoni Sinza na mwananyamala walipojaa 🕋
 
Duh! Kayajaribisha hayo mavitu mji wa Eldoret, huko ni mikoani, utauawa, hayo labda uyafanye kuanzia Mombasa, Pemba, Dar hadi Tanga.
Halafu mnaposikia hiyo miji sijui mombasa sijui pemba, tambua kuna maneno ya mitaani na hali halisi, huko mombasa na pemba ndiko kuna wakazi wasio elewa kabisa ishu za lgbtq, huko ndio watu hawana utani kabisa
 
Ila tuache masihara mtu anaethubutu kumvuta mbavu mwanaume mwenzake huyo lazima atakuwa na matatizo makubwa ya akili.

Ona hii nyang'au hapa,hiyo mikono ilivyokuwa migumu imejaa misuli liuso limejaa ndevu mwanaume unakuwaje attracted hadi ku-erect?mchezo wenyewe ni wa kuchezea M^√| hivi mtu anawezaje kurudia na kurudia?

Inafikirisha sana View attachment 2471090
Ndio maana wakiwa same sex attracted. Hicho unachoona hakivutii kwao ndio kinawavutia
 
Hayo mavitu mnayafanya huko kwenye maeneo ya dini yenu huko Pwani, yapo sana ukanda huo.
Watu mnafurahishaga sana kwa kutupiana mpira wa mambo mnayoona yako nje ya maadili kwa mitazamo yenu. Ila ukweli unabakia huo ushoga uko dunia nzima hakuna sehemu haupo
 
Safi sana..hii ndio dawa yao, hata biblia inasema wazi

Mambo ya walawi 20:13

"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao."

Na wale mashoga wa humu mjiandae,wale wanaojifanya kutetea ushoga tokeni hadharani tuwajue ili tupite na nyie kimya kimya[emoji2959]
 
Punguza ujinga kidogo, wangapi wanafanya ujinga zaidi ya huo katika jamii zetu, kwanini hawauliwi? Wangapi wanatembea na wake za watu? Wangapi wanasababisha vifo kwa uzembe wa madereva na madaktari na nurses?

Wacha kutuleta Mambo ya Imani yako na unataka kila mtua afuate vile unavyotaka wewe. Yeye amemkosea nani hapa duniani? Kama amemkosea Mungu, wacha Mungu atamuadhibu siku ya mwisho, Mambo mangapi tunamkosea Mungu kila siku, kwanini tusiuwawe?

Jaribu kuelimika kidogo na utoke huko uliko

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Tofauti yao na hao wengine uliowataja ni kuwa, hili kundi la watu wanaotumia kiupotovu upinde wa mvua ambao aliuumba Mungu, wanajitangaza na kushawishi kila mmoja kujiunga na upotovu wao. Wangejuwa watulia kama walivyotulia wachawi, wezi, majambazi n.k. hamna ambaye angewajali. Lakini kitendo cha kufanya hata wengine walazimishwe kwenye upotovu ndiyo shida inapoanzia. Pia la kujitwalia upinde wa mvua aliyouumba Mungu kama utambulisho wao binafsi siji kuwasamehe. Natamani kuwamaliza ilanakosa uwezo.
 
Back
Top Bottom