Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa

Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa

Afu mtoa uzi ni shoga km mashoga wengne tu dunian watu wa maana wanakufa ata uko kenya watu wa maana wanakufa unashindwa waongelea na kujadili unakuja kujadili msenge mmoja aneingiziwa nyama nyuma fala kbsa tena afe africa sio America au Europe
Kwendeni na angenda zenu za kifilauni
 
Mtoto ? kwahiyo mzazi wake hakujua kuwa ni mtoto mpaka wewe mzungu wa Kenya unampangia juu ya mtoto wake? Maandiko yako wazi Aisha hakushiriki tendo la ndoa mpaka alipo balehe , kwahiyo hapa hatuangalii alikuwa na umri gani ila hoja ya msingi wakati anashiriki tendo je alikuwa kabalehe?maana balehe ndio ukubwa sio miaka, sio kuwasema wengine sheria zipo wazi atakae fanya anafanya kwa mapenzi yake , shida ni kulazimisha kuwa kila anachofanya muislamu basi huo ndio uislamu wenyewe hii ni shida kubwa

Hapa mtaani nikiangalia katoto ka miaka tisa kisa niwaze lizee la miaka 50 linakaparamia, ndio maana mna laana https://www.jamiiforums.com/threads...d-alifanya-ngono-na-mtoto-wa-miaka-9.2054383/
 
Hapa mtaani nikiangalia katoto ka miaka tisa kisa niwaze lizee la miaka 50 linakaparamia, ndio maana mna laana https://www.jamiiforums.com/threads...d-alifanya-ngono-na-mtoto-wa-miaka-9.2054383/
Watu hawaoi miaka , wanaoa mtu alie pevuka, na kipimo cha kupevuka ni balehe, kuhusu makuzi hayo ni mambo ya jamii husika, ndio maana Rooney ana miaka michache ana onekana mzee wakati kazidiwa na bocco ambaye mpaka sasa anakiwasha uwanjani, vip mzungu wa EA wacheni vijana wenu wafokoane si mmekubaliana ni haki zao
 
Twende pole pole. Kitu chochote kilicho kinyume na jamii fulani, kikifanywa hadharani na kuchagizwa ili kionekane ni cha kawaida, lazima jamii hiyo itatoa muitikio hasi. Na hilo si kwa hao tu, wengi ambao wanafanya mambo ambayo si sawa katika jamii mara nyingi baadhi ya wanajamii husika wanachukua maamuzi ya kuwahukumu isivyo kisheria. Au wengine huita kuchukua sheria mkononi. joto la jiwe kwani wewe hujawahi sikia mzinzi na wake wa watu kuuliwa, wachawi je hujaonaa, wezi, vibaka, majambazi, n.k. hujawahi sikia wameuliwa? Shida ya hao ambao wengi tunapenda kuwa refer them as "less human than standard people", ni kwamba, wanapenda kuwalazimisha wengine wakubali mambo yao. Mpaka wanatumia sera zao kwa umakini ili kushinikiza nchi zingine, hususan nchi masikini ziungane katika upotofu wao. Hilo ndiyo jambo pekee ambalo walimwengu linawakera. wangekuwa wanafanya wenyewe isingekuwa shida, lkn kulazimisha mpaka kupora upinde wa mvua shida sana.
Dunia nzima inalaani na kuweka Sheria Kali kupambana na vitendo hivyo vya kujichukulia Sheria mikononi, sio sawa, Wala si vitendo vinavyokubalika vya kuwaua watu kwa sababu yoyote Ile bila kuwafikisha mahakamani.

Kuwaua watu wanaoshutumiwa uchawi, au kwa sababu yoyote Ile ambayo haikubaliki kisheria au kijamii ndiyo kuishi maisha ya kijima(Primitivity).

Hoja ya kuwashawishi watu wafanye au kuishi na kufuata dini au mfumo wa maisha ambao haikubaliki na jamii zetu, unapaswa kuzuiwa kisheria sio kutumia njia za kishenzi na za kinyama, hiyo haitokua ni tofauti na Boko Haram, Alshabaab au Alqaeda ambao hutumia itikadi na Imani zao kuwaua watu wote ambao huamini tofauti na wao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Watu hawaoi miaka , wanaoa mtu alie pevuka, na kipimo cha kupevuka ni balehe, kuhusu makuzi hayo ni mambo ya jamii husika, ndio maana Rooney ana miaka michache ana onekana mzee wakati kazidiwa na bocco ambaye mpaka sasa anakiwasha uwanjani, vip mzungu wa EA wacheni vijana wenu wafokoane si mmekubaliana ni haki zao

katoto ka miaka tisa hata hakajaota chuchu unakachomekea ushe lote la mzee wa miaka 50, utakua worse than hata mashoga wenyewe https://www.jamiiforums.com/threads...d-alifanya-ngono-na-mtoto-wa-miaka-9.2054383/
 
katoto ka miaka tisa hata hakajaota chuchu unakachomekea ushe lote la mzee wa miaka 50, utakua worse than hata mashoga wenyewe https://www.jamiiforums.com/threads...d-alifanya-ngono-na-mtoto-wa-miaka-9.2054383/
Sasa kana balehe vip kama hakana chuchu? Aisha mwenyewe ambaye ndio wewe unasema mtoto aliingiliwa alipo balehe , watu hawaoi miaka wanaoa mtu alie balehe, haya turudi sasa inakuwaje mnauana wazungu wa EA wakati mmekubaliana kufukuliwa mitaro nyie ni halali
 
Sasa kana balehe vip kama hakana chuchu? Aisha mwenyewe ambaye ndio wewe unasema mtoto aliingiliwa alipo balehe , watu hawaoi miaka wanaoa mtu alie balehe, haya turudi sasa inakuwaje mnauana wazungu wa EA wakati mmekubaliana kufukuliwa mitaro nyie ni halali

Kimsingi libabu linalofumua katoto linapaswa lihasiwe, ni lichafu hata kuzidi shoga na hapo ndipo mlilaaniwa.
 
Kwa hiyo kosa ni kuwa shoga au ni kujitangaza?. Mkuu Kuna watu wanatembea na wake/ waume za watu na wanajitangaza mitaani na jamii nzima tunawajaua, kwanini hatuwavamii na kuwaua?.

Mimi sitetei ushoga, ila ninapinga kitendo Cha kuwahukumu na kuwaua, ushoga umekataliwa zaidi na Imani za dini, hasa hizi dini za kigeni, mbona Qur'an ilikataza waislam kula nguruwe lakini waislam wengi tu wanakula kiti moto hadharani na hakuna mtu anawahukumu?. Tupunguzeni unafiki.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe nawe utakuwa choko mwenzao unawatetea
 
Kimsingi libabu linalofumua katoto linapaswa lihasiwe, ni lichafu hata kuzidi shoga na hapo ndipo mlilaaniwa.
Mtoto ni yule ambaye hajabalehe , akisha balehe huyu ni mtoto wako wewe ulie mzaa, sio wetu sisi walimwengu, sisi ni halali kwetu kula mema ya nchi, vip nyie mnao fokoana mitaro wazungu wa EA inakuwaje mnauana tena wakati ni haki zenu
 
Mtoto ni yule ambaye hajabalehe , akisha balehe huyu ni mtoto wako wewe ulie mzaa, sio wetu sisi walimwengu, sisi ni halali kwetu kula mema ya nchi, vip nyie mnao fokoana mitaro wazungu wa EA inakuwaje mnauana tena wakati ni haki zenu

Nje nikiangalia katoto ka miaka 9 halafu niwaze libabu linakaparamia, labda uniambie hilo libabu lilikua na kibamia, lilipaswa kuhasiwa, nimesoma sehemu lilikua na minyege hadi kuparamia mke wa mtoto wake wa kufikia...mna laana sana nyie.
 
Eneo hilo la mwili lina mishipa minhi sana ya tabu, hivyo pakijeruhiwa ni rahisi kwa bacteria hatari kuingia kwenye mishipa ya damu na kupeleka kupata maradhi ya bacteria ambapo hufika damuni na kuathiri ogani mbali mbali za mwili hasa moyo. Hapo ni rahisi kufariki
 
Nje nikiangalia katoto ka miaka 9 halafu niwaze libabu linakaparamia, labda uniambie hilo libabu lilikua na kibamia, lilipaswa kuhasiwa, nimesoma sehemu lilikua na minyege hadi kuparamia mke wa mtoto wake wa kufikia...mna laana sana nyie.
Sasa unataka babu atafute bibi ili iweje?gari bovu halivutwi na gari bovu wewe, tafuta mtoto mbichi akusaidie, muhimu amebalehe na ni mwanamke, hayo mambo ya mitaro tumewaachia wazungu wa EA mufokoane vizuri, mpaka muuane
 
Mwanaume unawezaje kudinda kwa mwanaume mwenzako
Kwa msaada wa shetani anaweza.

Tumuombe Mungu aepushe wenetu kuingia huko.

Hali ni mbaya luliko mnavyodhani. Unaweza kumkuta mtu anakemea ushoga hadharani lakini kwa siri anapumuliana na mwanaume mwenzake kimahaba.

Mungu atuokoe
 
Back
Top Bottom