Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Nasikia alisitisha zoezi baada ya ule mti wake kukauka au kwisha,sasa ningependa kujua
1.bado tu haujaota tenaa??
2.Na saizi ana deal gani??
3.kuna mtu mwenye namba zake nataka anifundishe ujasiri kama wake wa kuwaibia watu huku anasimamiwa na polisi
4. nataka kujua wangapi walipata huduma yake humu jamvini????? {hahahahhaha najua swali hili hapa halina jibu}
Angejaribu kufatilia msimu huu wa covid
1.bado tu haujaota tenaa??
2.Na saizi ana deal gani??
3.kuna mtu mwenye namba zake nataka anifundishe ujasiri kama wake wa kuwaibia watu huku anasimamiwa na polisi
4. nataka kujua wangapi walipata huduma yake humu jamvini????? {hahahahhaha najua swali hili hapa halina jibu}
Angejaribu kufatilia msimu huu wa covid