TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

Jamaa hanifikii kwa UHB hata robo aisee.. ila daah!

Wa kujichanganya hao ndio hawaelewi kabisa wanataka nini
Jombaa tulia basi mbona unajisifia mwenyewe aiseh πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Jitahidi kujichanganya tu huko huko
 
Mungu asaidie yasitokee kama ya mwaka 2015, wanasiasa walikufa balaa. Ndege/helicopter zilidondoka. Ajabu baada ya uchaguzi yale matukio yalipungua
 
I would like to express my sincerest condolences on the passing of your loving CCM member
Dr Donald Kisanga.

May God bless and comfort CCM Chairman, members and Kisangas’family.

With love and sympathy,

Gerald M Magembe
 
Mbona na mie ni HB sipati kabisa na hela ya IST ipo ... na nilishwa achwa wanaaamke hawajui watakacho yaanii πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Naona mnaichakachua mada kisela..
 
Nimesikia kesho j5 anaagwa uwanjani sheikh amir abeid arusha,naskia alivaa fuso eneo la kisasa

So sad, ameagwa muda mfupi uliopita ktk viwanja vya Makumbusho, Arusha. Maziko ni kesho Alhamis kijijini kwao Moshi.
 
Shetani mshamba sana....akiamua juu yako kama huna ulinzi wa Mungu ndo bhasi tena....tuweni na ulinzi wa Mungu ndo ulinzi wenye uhakika tuachane na waganga wa bagamoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…