TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

Maskini..alikuwa ni mkaka mzuri 😢😢😢ohoo God tupe mwisho mwema.

Pumzika kwa amani Chief😭😭
Na uzuri wake , mchumba ake alimzingua kinoma noma na jamaa akapigwa chini.. mwana alikuwa anatia huruma maana alikuwq anampenda sana yule demu wake a.k.a mchumba ake..
 
Na uzuri wake , mchumba ake alimzingua kinoma noma na jamaa akapigwa chini.. mwana alikuwa anatia huruma maana alikuwq anampenda sana yule demu wake a.k.a mchumba ake..
Wanawake wengi hawanaga akili sawa....
wanapendaga watu wasiowapenda
ukimpenda mwanamke kisawasawa anapita vile...
.
 
Mkuu

Kisanga ni ukoo umejaa tarafa nzima kubwa kama Kinondoni yote inaitwa Mbokomu,kila mtu ni Kisanga...

Plus another huge area called Old Moshi,which is bigger kama Ubungo yote kama wilaya...

Kisanga ni nearly watu malaki kadhaa kama sio maelfu!

Familia ya Kisanga unayotaka ni kama 10-Kisangas among 1000-Kisangas!

Kwahiyo relax...

Huyu afe kabisa!
Koo kubwa maeneo hayo ni Kimambo then Kisanga, macha nk

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Daaah tatizo chama ila jamaa kafa vibaya sana kama alibaniwa hapo kwenye hicho ki escudo apumzike anapostahili.
 
Kweli na jamaa alikuwa anampenda sana , siku ananipa huo mkasa jamaa alikuwa hadi anatamani kulia .. ila basi tena na mwamba wenyewe umelala chini
Nimeona kuna pic amepiga na katoto ka kiume si ajabu ni katoto kake na huyo mwanamke aliyemkimbia!?
 
😳😳Na UHB wote bado alipigwa chini🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Jehovah🤔🤔🤔
Mbona na mie ni HB sipati kabisa na hela ya IST ipo ... na nilishwa achwa wanaaamke hawajui watakacho yaanii 😀😀😀😀😀😀
 
Mbona na mie ni HB sipati kabisa na hela ya IST ipo ... na nilishwa achwa wanaaamke hawajui watakacho yaanii 😀😀😀😀😀😀
Kweli hatuelewagi kha.ila mwamba anaonekana alikuwa mHB sana,ila ndo hivyo tena..

Mkuu endelea kujichanganya sehemu mbali bali huko mtaani utampata tu mhusika
 
Kweli hatuelewagi kha.ila mwamba anaonekana alikuwa mHB sana,ila ndo hivyo tena..

Mkuu endelea kujichanganya sehemu mbali bali huko mtaani utampata tu mhusika
Jamaa hanifikii kwa UHB hata robo aisee.. ila daah!

Wa kujichanganya hao ndio hawaelewi kabisa wanataka nini
 
Back
Top Bottom