blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Zaid ya Covid...Kwani siasa ni ugonjwa siku hizi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaid ya Covid...Kwani siasa ni ugonjwa siku hizi ?
Nimesikia kesho j5 anaagwa uwanjani sheikh amir abeid arusha,naskia alivaa fuso eneo la kisasaDuh aisee, nimejaribu kufikiria ni ajali ya namna gani, tena Dodoma mjini nikashindwa kupata jibu.!
Mwenye taarifa anazikwa wapi jamani tufahamishane.
Na uzuri wake , mchumba ake alimzingua kinoma noma na jamaa akapigwa chini.. mwana alikuwa anatia huruma maana alikuwq anampenda sana yule demu wake a.k.a mchumba ake..Maskini..alikuwa ni mkaka mzuri 😢😢😢ohoo God tupe mwisho mwema.
Pumzika kwa amani Chief😭😭
😳😳Na UHB wote bado alipigwa chini🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Jehovah🤔🤔🤔Na uzuri wake , mchumba ake alimzingua kinoma noma na jamaa akapigwa chini.. mwana alikuwa anatia huruma maana alikuwq anampenda sana yule demu wake a.k.a mchumba ake..
Wanawake wengi hawanaga akili sawa....Na uzuri wake , mchumba ake alimzingua kinoma noma na jamaa akapigwa chini.. mwana alikuwa anatia huruma maana alikuwq anampenda sana yule demu wake a.k.a mchumba ake..
Wanatoka kijiji kimoja huko mbokomu. Moshi vijijini. Mitaa ya natiroNadhani unazungumzia Dr Kisanga wa Nephrololgy na siyo Urology. Ila sura zinafanana
Koo kubwa maeneo hayo ni Kimambo then Kisanga, macha nkMkuu
Kisanga ni ukoo umejaa tarafa nzima kubwa kama Kinondoni yote inaitwa Mbokomu,kila mtu ni Kisanga...
Plus another huge area called Old Moshi,which is bigger kama Ubungo yote kama wilaya...
Kisanga ni nearly watu malaki kadhaa kama sio maelfu!
Familia ya Kisanga unayotaka ni kama 10-Kisangas among 1000-Kisangas!
Kwahiyo relax...
Huyu afe kabisa!
Kweli na jamaa alikuwa anampenda sana , siku ananipa huo mkasa jamaa alikuwa hadi anatamani kulia .. ila basi tena na mwamba wenyewe umelala chiniWanawake wengi hawanaga akili sawa....
wanapendaga watu wasiowapenda
ukimpenda mwanamke kisawasawa anapita vile...
.
Nimeona kuna pic amepiga na katoto ka kiume si ajabu ni katoto kake na huyo mwanamke aliyemkimbia!?Kweli na jamaa alikuwa anampenda sana , siku ananipa huo mkasa jamaa alikuwa hadi anatamani kulia .. ila basi tena na mwamba wenyewe umelala chini
Napendekeza magari yote yaundwe upya,mwendo mwisho uwe 50km/hHizi ajali hizi kila siku Ndiyo huo Wimbo Unaimbwa [emoji2367] suluhisho Ndio hakuna ??
Mbona na mie ni HB sipati kabisa na hela ya IST ipo ... na nilishwa achwa wanaaamke hawajui watakacho yaanii 😀😀😀😀😀😀😳😳Na UHB wote bado alipigwa chini🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Jehovah🤔🤔🤔
Kweli hatuelewagi kha.ila mwamba anaonekana alikuwa mHB sana,ila ndo hivyo tena..Mbona na mie ni HB sipati kabisa na hela ya IST ipo ... na nilishwa achwa wanaaamke hawajui watakacho yaanii 😀😀😀😀😀😀
Jamaa hanifikii kwa UHB hata robo aisee.. ila daah!Kweli hatuelewagi kha.ila mwamba anaonekana alikuwa mHB sana,ila ndo hivyo tena..
Mkuu endelea kujichanganya sehemu mbali bali huko mtaani utampata tu mhusika