Mtibeli Leo nitasali Kanisa la Wasabato Manzese. Karibuni

Mtibeli Leo nitasali Kanisa la Wasabato Manzese. Karibuni

Pia Usabato umeja upotoshaji sana, SDA imeaasisiwa mwaka 1860 na watu watatu wakiongozwa na Eleb G White.

Wasabto hilo hawafundishwi, piia hawafundishwa jwamba Elen G White alijuwa Babtist kabla ya kuacha huko na kuanza movement za kuanzisha SDA church mwaka 1860 na ikaja kuanza kazi rasimi mwaka 1863.

Wasabato wanafichwa hawaambiwi kwamba Elen G white ndio muasisi wa SDA, kama ilivyo Martini Luther kwa kanisa Kilutheri na King
Hennry wa VIII kwa Anglican church au Church of England
Kabla ya hapo hakukua na SDA church kokote kule
 
Kwamba kupika siku ya Sabato ni kufanya kazi?!
yes, ila sasa hata kutembea umbali mrefu kwenda kusali nayo ni kazi pia na ni kosa, Tunaambiwa tusinunue wala kuuza siku ya Sabato ila tunapanda Dalalada kwenda Kanisani, na zile Amri 10 hazijatoa maelezo zaidi

Kushika Amri 10 ni vigumu sana Wasabato wanalijua hilo sana
 
Habari za Sabato!

Leo nitakuwa Kanisa la Wasabato Manzese. Huko natarajia kubarikiwa Sana.

Ninaupenda mtaa wa Manzese kwa sababu umebarikiwa Kwaya kubwa Mashuhuri hapa nchini. Kwaya ya Mbiu, na Kwaya ya Angaza, na Kwaya ya Sauti ya Nyikani.

Tujumuike sote tukabarikiwe.
hongera sana mkuu kwa kweli wasabato wanajua kuimba lakini nina ujumbe kwako

je wajua kwamba makanisa yote hayata okolewa ikiwemo wasabato kanisa linalozaniwa ndio lile litakalo nyakuliwa?


naomba nikupe somo "Ellen G white CEO wa SDA sio nabii wamfuatao wamekaidi onyo la siku za mwisho la mungu.kuhusu ujio wa manabii wa uongo watakao kuwako duniani".

kulingana na bible nabii wa mwisho ni yohana na hata katika siku zake nabii huyu alimshuhudia yesu na baada yake yesu akajifanyia wanafunzi kumi na wawili mitume hawa aliwafundisha kisha akawatuma nendeni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu mimi naenda kuwaandalia makao

inamaana kitu ambacho kingeendelea hapa hadi mwisho ni watu kufanywa kuwa wanafunzi wa yesu kwaajili ya makao yesu aliyoenda kuyaanda (asomaye na afahamu), na sio ujuio wa manabii au mitume wengine sasa manabii wangekuja kufanya nini, yesu alionya ujio wa manabii na mitume wa uongo baada ya hao alio watuma na hao manabii wa zamani


jambo jengine Ellen g white yeye sio nabii kwasababu kwanza yeye sio uzao wa Israel wakati manabii wote ni waisrael, kama kungekuwa kuna mtiririko wa manabii nje ya kabila kumi nambili za israeli kwanini hivi sasa hatokei nabii mwengine katika usabato ?

Ellen G white ameunda brand ya SDA wakati manabii hawakuunda makanisa yoyote hapa naweza kusema ellen g white hana utofauti na CEO wa kanisa la Rise and shine yani mwamposa wote ni ma CEO ambapo ni kinyume na manabii wa zamani hawakuwai kuwa hivi, ukienda SDA utaambiwa Ellen g white ni nabii ukienda kwa mwamposa hivyo hivyo utaambiwa mwamposa ni nabii kwasababu anafanya miujiza


ukienda SDA utaambiwa ni kanisa la mungu kwasababu wanakwaya wanaimba vizuri, hapana nataka nikwambie kanisa la mungu ni wale wanafunzi wa yesu ambao waliendelea kufanywa kuwa wafuasi wa mungu kutoka kwa mitume hawa watakusanywa toka katika kila kabila bahari itawatoa watu wake walio kufa humo ardhi itawatoa hawa watakusanywa kutoka katika pepo nne na ndio wateule ndio kanisa la mungu wa kweli na hii ndio injiri ya kweli waionayo ni wachache.


kwahiyo haya makanisa yote hayata okolewa ikiwemo wasabato, ila wale wanafunzi wa yesu pekee hawa wamewakataa hao wajiitao manabii kumbe ni waongo wanafunzi wa yesu wanajua kuwa nabii wa mwisho ni yohana hawa wengine nje ya Israel sio yesu aliwaonya wasiwafuate hao. marko 13:22 "kwa maana wataondoka makristo wa uongo na manabii wa uongo wapate kuwadanganya bali nyinyi jihadharini nimekwisha kuwaonya yote mbele"

hii ndio injiri ya kweli na imani ya yesu kristo nawe ukafanye maamuzi magumu kufuata injiri hii utaokolewa lakini utakapo fungamana na haya makanisa hauto okolewa amini nakwambia, utasema unazishika amri za mungu lakini bado umepungukiwa ni ushuhuda wa yesu kristo nao umefafanuliwa kwenye marko 13;22

nakutakia sabato njema!
 
Back
Top Bottom