Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC | Ligi kuu Bara| Manungu Morogoro

Mlitaka TFF wapige simu ili mpate penalty ?
 
Mi nilisema na nasema tena.
Mechi za Simba akianza tu Mugalu hakuna Ushindi.
Mugalu ni kama ana mkosi hapo Simba.
Kama mnanibishia subirini mechi nyingine atakayo anza.

Chukueni hii meseji.
Na nitawakumbusha nikimwona tu ktk Kikosi kinachoa anza.
 
"Cheza na kitu nyingine yoyote ila sio Pablo " in Ndugai's voice

cc GENTAMYCINE
Kaa tayari kuna Uzi Mmoja nakuja nao muda si mrefu ambao ni Ukweli Mchungu kwa wana Simba SC ambako nitatoa yangu ya Moyoni na Kujiuzuru rasmi Kuipigania Simba SC hapa JamiiForums.

Kwani naona kila Siku naumia tu Moyo ma Roho huku tukishauri lakini hawatuelewi na tunapuuzwa. Nasubiri Kwanza Hasira zangu za Kizanaki na Kimakuwa zipungue ili nije na Funga Kazi Thread yangu juu ya Upumbavu unaoendelea / uliopo Simba SC.

Nimechoka na sasa nitakuwa naifagilia tu Timu yangu pendwa ya Liverpool FC ya Ulaya nchini Uingereza. Leo ningekuwa Manungu ningemuwamba Makofi au hata Kumpiga Kichwa Kocha Pablo ili ningoe kabisa Meno yake ya Barazani ( Sebuleni ) kwani ni Mpuuzi sana na hakuna Kocha pale na yawezekana alikuwa akiifundisha Real Madrid ya Tandale Uzuri Dar es Salaam Tanzania.

Stay tuned Mkuu.....
 
We jamaa bhana.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu inabidi simba wakukabidhi kitengo cha umafia maana ulisema hapa kuhusu uwanja na yamekua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…