Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC | Ligi kuu Bara| Manungu Morogoro

Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC | Ligi kuu Bara| Manungu Morogoro

Mara kwa mara, zinapocheza Simba au Yanga na timu zingine, basi tunapoletewa majina ya wachezaji watakao cheza, basi tunaletewa majina yao tu, na majina ya wapinzani wao hatuletewi. Nadhani hii sio sawa. Kwa vile zinacheza timu mbili, basi tuletewe majina ya timu zote, na hasa tukizingatia kuwa, nyuzi za kama huu, sio maalumu kwa ajili ya Simba tu, bali ni maalumu kwa mchezo wa Mtibwa na Simba.
 
Sijajua Kwanini @Moderators Wameondoa Uzi wa Mwanzo, muwe munaweka na sababu za kuondoa Uzi

NBC Premier League leo Jumamosi. Baada ya kupita miaka zaidi ya 20, leo Mnyama Simba SC anarudi katika dimba la Manungu kucheza na Mtibwa Sugar, huku Kila upande ukitamba kuondoka na alama tatu.

Je ni Mtilwa Sugar au Simba SC kuondoka na alama tatu? majibu utayapata JF.

HEAD TO HEAD

Tokea mwaka 2016 Mtibwa sugar na simba wameshakutana mara 10, simba akishinda michezo 7 na sare 3, mtibwa hajawahi kumfunga Simba Sc tokea Mwaka 2016

UPDATE.

Katika ligi kuu Simba yupo nafasi ya pili akiwa na jumla ya alama 24 baada ya kucheza michezo 11, nyuma ya vinara wa ligi Young africans ambao wana alama 32 baada ya kucheza michezo 12.

Simba amecheza michezo 11, amepoteza mchezo mmoja, ametoa sare michezo 3 na ameshinda michezo 7

Mtibwa sugar Yupo nafasi ya 14, nafasi ya 3 toka mwisho akiwa amecheza michezo 12

UPDATE

Hali ya uwanja ilivyo kwa sasa ambako mechi itapigwa

Hali ilivyo katika Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro hadi saa 6 mchana.

Uwanja huo unategemewa kutumika leo katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar FC dhidi ya Simba SC, saaa 10:00 jioni.
View attachment 2091644


UPDATE

Hadi sasa saa 9 na dakika 05 vikosi bado havijatoka

KIKOSI CHA SIMBA

View attachment 2091704
Mtibwa msituangushe.
 
Wachezaji wa Mtibwa Sugar, mtendeeni haki Msemaji wenu Mkongwe kuliko wote nchini, Comrade Thobias Kifaru Ligalambwike! Apate cha kuongea jioni kwenye vipindi vya michezo.
 
Mara kwa mara, zinapocheza Simba au Yanga na timu zingine, basi tunapoletewa majina ya wachezaji watakao cheza, basi tunaletewa majina yao tu, na majina ya wapinzani wao hatuletewi. Nadhani hii sio sawa. Kwa vile zinacheza timu mbili, basi tuletewe majina ya timu zote, na hasa tukizingatia kuwa, nyuzi za kama huu, sio maalumu kwa ajili ya Simba tu, bali ni maalumu kwa mchezo wa Mtibwa na Simba.
Mkuu changamoto kubwa hizi timu ndogo wanachelewa sana kutoa vikosi vyao, tofauti na Simba au Yanga
 
Sijajua Kwanini @Moderators Wameondoa Uzi wa Mwanzo, muwe munaweka na sababu za kuondoa Uzi

NBC Premier League leo Jumamosi. Baada ya kupita miaka zaidi ya 20, leo Mnyama Simba SC anarudi katika dimba la Manungu kucheza na Mtibwa Sugar, huku Kila upande ukitamba kuondoka na alama tatu.

Je ni Mtilwa Sugar au Simba SC kuondoka na alama tatu? majibu utayapata JF.

HEAD TO HEAD

Tokea mwaka 2016 Mtibwa sugar na simba wameshakutana mara 10, simba akishinda michezo 7 na sare 3, mtibwa hajawahi kumfunga Simba Sc tokea Mwaka 2016

UPDATE.

Katika ligi kuu Simba yupo nafasi ya pili akiwa na jumla ya alama 24 baada ya kucheza michezo 11, nyuma ya vinara wa ligi Young africans ambao wana alama 32 baada ya kucheza michezo 12.

Simba amecheza michezo 11, amepoteza mchezo mmoja, ametoa sare michezo 3 na ameshinda michezo 7

Mtibwa sugar Yupo nafasi ya 14, nafasi ya 3 toka mwisho akiwa amecheza michezo 12

UPDATE

Hali ya uwanja ilivyo kwa sasa ambako mechi itapigwa

Hali ilivyo katika Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro hadi saa 6 mchana.

Uwanja huo unategemewa kutumika leo katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar FC dhidi ya Simba SC, saaa 10:00 jioni.
View attachment 2091644


UPDATE

Hadi sasa saa 9 na dakika 05 vikosi bado havijatoka

KIKOSI CHA SIMBA

View attachment 2091704

KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR

View attachment 2091741
Kwa vile ni tawi la Mikia hili naona ana uhakika wa kujizolea points 3 kisha wakata miwa wanaingia kwenye mstari wa danger
 
Back
Top Bottom