Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Ta
Tangu lini binadaam tunashare majina Na mbwa, acheni ushabiki wa kipumbavu, mko tayari kuona mwingine akiumia irimradi jamaa afurahi. Kama sawa mbwa wangu nambadilisha jina kuanzia Leo ataitwa Ally Kiba. Ninavojua kwa wastarabu mijibwa huitwa majina yao ya kijibwa jibwa. Eti umwite mbwa John au Hussen, alafu siku akutembelee Nyumbani mtu mwenye jina Kama hili, alafu umtambulishe hiyo mbwa Ni wajina wako. Au umwite huyo mbwa kwa jina unadhani huyo jamaa hataitika, tufikili kabla ya kuamua, sio kila kitu cha kizungu nini Lulu.Sijawahi sikia mtu mjinga kama huyo dada anayelalamika...hilo ni jina maalum kwa ajili yake tu?kuna kina ruby wangapi...na kwa nini aone kama kaitwa yeye...