Mtihani mkubwa kwa Rais Samia ni kuongeza mishahara ya Watumishi wa Umma. Je, ataweza?

Mtihani mkubwa kwa Rais Samia ni kuongeza mishahara ya Watumishi wa Umma. Je, ataweza?

Mimi pia ni mtumishi wa umma, na kama tupo serious basi wakati huu si wakati wakutia pressure kuongezewa mishahara, bali kuwezesha madaraja kuwa katika nafasi zake kwanza. Hii serikali inaliweza iwapo watumishi pia watakuwa na sense of humour...Watumishi wa umma waache ku duplicate activities na wawe wabunifu ili kuongeza pato la taifa bila hivyo hii miradi tuliyoianza inaweza shindwa kuendelea na tukajikuta tumepata hasara mara mbili, kwakujifunga mikanda miaka yote mitano kisha tusifikie ile target ambayo ingefikiwa itaongeza uchumi zaidi ya mara kumi...Tukifikia target mishahara itaongezeka mara hata 10 kwakua miundombinu ya nchi itakuwa imekamilika...

Tatizo ni hata kwa ambayo imeshakamilika bado haijatendewa haki na watumishi hao hao wa umma, haiongezi tija...Soko la Morogoro kwa mfano, ndani ya mwezi moja limesha kuwa chafu, sakafu ni kama imejengwa 5 years ago na hapo tuna mabwana afya etc...Hivi huyo unamwongezea mshahara kwa lipi? Masinki yameshaanza kubadili rangi, for serious?

Mie nilitegemea ongezeko la ajira kwakua usafi ungefanywa kwa status ya jengo na lina implications kwenye uchumi, wauzaji wana uniform hiyo ingeongeza ajira kwa mafundi cherehani; mazao yapo kwenye angalau packages zenye kueleweka locally made na wasuka mikeka etc...Lakini wapi, no creativity watu wamehamia kwenye nyumba bora wakiwa na tabia zilezile za matopeni...Basi wangewapiga hata semina kidogo, what was a need ya kujenga hilo jengo? Kama watu wako vilevile biashara zipo vilevile kisha eti mtumishi anawaza kuongezewa mshahara, kweli watumishi wenzangu?

Hivi tunajithamini kweli? Itatoka wapi hiyo pesa ya nyongeza kama wewe hujaongeza
Jitahidi kupambanua mambo kama Mtumishi wa Umma Duniani kote kuna mgawanyo wa majukumi-unaposema Watumishi wajiongezee kipato kutoka wapi?? Unataka wafanye kazi sehemu zingine au wafanye biashara??? Wakifanya hivyo maana take wataharibu hizo kazi za mishahara hazita kuwa productive tena.

Miradi ya Serikali ni endelevu,vizazi vyetu vitakufa na kuacha miradi ikiendelea,cha msingi ni kubalance vitu vya kufanya kwa kuweka vipaumbele huwezi kukamilisha kila kitu kwa awamu moja na ndio maana kuna kupokezana

 
Nawashauri wanaompa presha mama Samia ya kutaka mengi kwa kipindi hiki kifupi. Wajue kuwa mama nae ni binadamu, mwishoe atachoka ,maana naona wanampa presha sana,, anaweza ziba masikio.
Kumbukeni katiba iliyomfanya jiwe awe dikteta ni hii hii haijabadirika popote, kumbe mama nae anaweza badirika halafu ndoto za mbadiriko chanya kwa watanzania zikayeyuka.
Tujifunze kuwa na KIASI.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwani nini kimebadilika hadi waongezwe mishahara? kazi wanayofany aimebadilika ama? jaribuni kusave...or else tanzania itajikuta kule kule
 
Watumishi wa umma wanamaumivu makubwa mioyoni mwao sio siri, hata kama kipaumbele ilikuwa kumaliza kwanza mambo ya msingi kama ujenzi wa miundo mbinu, kuimarisha sekta ya afya na elimu lakini waalihitaji kuonewa huruma.

Waziri mkuu alikatisha watu tamaa kabisa pale aliposema eti kuongeza mishahara watumishi wa umma ni kusababisha maisha kuwa ghali. Jambo ambalo sio kweli maana kwa miaka hii mitano watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara na maisha yamepanda pia.

Siku hazigandi na leo ni tarehe nne na mei mosi ipo karibu, watumishi wa umma watapata faraja kama wakisikia wameongezwa mishahara yao. Swali linabaki kuwa je, mama Samia rais wa JMT ataweza kufanya maamuzi ya msingi kwa ajiri ya watumishi wa umma?
Subiri pato liongezeke. Mkazo ni kurudisha wawekezaji, kuongeza walipa kodi, kuboresha mazingira ya biashara =2trilion/month.
 
Watumishi wa umma nao wamepata sehemu yao ya kusemea, Mpeni mama muda ili angalie jinsi ya kuwapatia stahiki zenu mfumo wa utumishi ulikuwa umeisha vurugwa sana hivyo inahitaji muda kidogo kuweka mambo vizuri
 
Kama JK, alikuwa anaongeza mishahara kila mwaka na tuliambiwa nchi ilikuwa imeoza, sasa hivi atashindwa vipi wakati tunaambiwa serikali ina pesa za kutosha kuliko wakati wowote.
JF mpya hii mzee, hakuna anaekujali. yani watu hawana time na wewe 😂😂😂
 
Mnawaza Mishahara mikubwa badala ya kufanya kz kwa zote ili kuliletea Taifa maendeleo
 
Unaita huo ni mtihani mgumu ?

Hivi hao watumushi wapo wangapi kwanza ?, Na wasio watumishi ni wangapi ?

Nadhani mtihani ni kuhakikisha wasio watumishi / hawana security yoyote nao wanapata ajira
Unaangalia uchache au athari za hao wachache? Unadhani watumishi ni walimu na manesi tu kuna madaktari wanajeshi polisi n.k na huwezi kwenda kinyume na hilo kundi kwa miaka mingi ukadhani Mungu atakupa kibali cha kuongoza kwa miaka mingi. Lazima tukupeleke chato kukuzika. Kwasababu haohao unaowaita wachache ndio aenye uwezo wa kukufanyia figisu yoyote au hata kushirikiana na mabeberu kukuangamiza bila wewe kujua. Upo au haupo?
 
Mwaka huu haiwezekani labda mwakani. Akiongeza mwaka huu vizuri ila atakua mkurupukaji maana hajajua chungu cha hazina kikoje.
Kikwete aliyeikuta hazina imewekwa kwenye mashine ya kuongeza hewa safi kwenye mapafu, aliwezaje ktk miezi yake ya mwanzo tu?
 
Watumishi wa umma wanamaumivu makubwa mioyoni mwao sio siri, hata kama kipaumbele ilikuwa kumaliza kwanza mambo ya msingi kama ujenzi wa miundo mbinu, kuimarisha sekta ya afya na elimu lakini waalihitaji kuonewa huruma.

Waziri mkuu alikatisha watu tamaa kabisa pale aliposema eti kuongeza mishahara watumishi wa umma ni kusababisha maisha kuwa ghali. Jambo ambalo sio kweli maana kwa miaka hii mitano watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara na maisha yamepanda pia.

Siku hazigandi na leo ni tarehe nne na mei mosi ipo karibu, watumishi wa umma watapata faraja kama wakisikia wameongezwa mishahara yao. Swali linabaki kuwa je, mama Samia rais wa JMT ataweza kufanya maamuzi ya msingi kwa ajiri ya watumishi wa umma?
Anaweza kufanya kama mkwere anakuongeza kisha anashusha thamani Tsh na inflation ina kuwa juu.
Inakuwa sawa na hakuna. Mkwere aliingia value ya dola ilikuwa Tsh 1000 > 1100 lakini kwa ujanja ujanja wake alishababisha Sh ikaporomoka na kufikia 2200 < 2300. JPM alifanikiwa kudhibiti kushuka kwa thamni ya sh yetu kwa 105%. Mfumuko wa bei alidhibiti.
 
Watumishi wa umma wanamaumivu makubwa mioyoni mwao sio siri, hata kama kipaumbele ilikuwa kumaliza kwanza mambo ya msingi kama ujenzi wa miundo mbinu, kuimarisha sekta ya afya na elimu lakini waalihitaji kuonewa huruma.

Waziri mkuu alikatisha watu tamaa kabisa pale aliposema eti kuongeza mishahara watumishi wa umma ni kusababisha maisha kuwa ghali. Jambo ambalo sio kweli maana kwa miaka hii mitano watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara na maisha yamepanda pia.

Siku hazigandi na leo ni tarehe nne na mei mosi ipo karibu, watumishi wa umma watapata faraja kama wakisikia wameongezwa mishahara yao. Swali linabaki kuwa je, mama Samia rais wa JMT ataweza kufanya maamuzi ya msingi kwa ajiri ya watumishi wa umma?
Watumishi ndio daraja la kufikisha hayo maendeleo kwa wananchi kuendelea kuwaburuza ni dalili ya kwanza ya kufell
 
Anaweza kufanya kama mkwere anakuongeza kisha anashusha thamani Tsh na inflation ina kuwa juu.
Inakuwa sawa na hakuna. Mkwere aliingia value ya dola ilikuwa Tsh 1000 > 1100 lakini kwa ujanja ujanja wake alishababisha Sh ikaporomoka na kufikia 2200 < 2300. JPM alifanikiwa kudhibiti kushuka kwa thamni ya sh yetu kwa 105%. Mfumuko wa bei alidhibiti.
Mh, watu wengine bana!
 
Fanyeni kazi acheni kulilia mishahara ya bure. Wengine mataasisi yenu hayana hata ubunifu hata kutoa gawio la maana serikalini hakuna kazi kulalamika tu. Kwanza tasisi zenu ziwe wabunifu ili mpate posho za kutosha sio hela itoke hazina iliyokusanywa na tra nyie mle tu.
Kama hamtaki tumieni mishahara yenu vizuri mchukue madogo kutoka vijijini/ au wasomi wasio na ajira muwaweke wawe wasimamizi wa biashara zenu. Huta ukiongezewa mshahara baadae utakuja hapa kulia lia mara ooh mbona watu wa taasisi flani mshahara ni mkubwa. Bila biashara mshahara hautakutosha. Kwanza hela yenyewe itoke wapi wakati walipa kodi wameishaanza kupandisha mabega juu baada ya kusikia sauti ya mama
 
Mimi pia ni mtumishi wa umma, na kama tupo serious basi wakati huu si wakati wakutia pressure kuongezewa mishahara, bali kuwezesha madaraja kuwa katika nafasi zake kwanza. Hii serikali inaliweza iwapo watumishi pia watakuwa na sense of humour...Watumishi wa umma waache ku duplicate activities na wawe wabunifu ili kuongeza pato la taifa bila hivyo hii miradi tuliyoianza inaweza shindwa kuendelea na tukajikuta tumepata hasara mara mbili, kwakujifunga mikanda miaka yote mitano kisha tusifikie ile target ambayo ingefikiwa itaongeza uchumi zaidi ya mara kumi...Tukifikia target mishahara itaongezeka mara hata 10 kwakua miundombinu ya nchi itakuwa imekamilika...

Tatizo ni hata kwa ambayo imeshakamilika bado haijatendewa haki na watumishi hao hao wa umma, haiongezi tija...Soko la Morogoro kwa mfano, ndani ya mwezi moja limesha kuwa chafu, sakafu ni kama imejengwa 5 years ago na hapo tuna mabwana afya etc...Hivi huyo unamwongezea mshahara kwa lipi? Masinki yameshaanza kubadili rangi, for serious?

Mie nilitegemea ongezeko la ajira kwakua usafi ungefanywa kwa status ya jengo na lina implications kwenye uchumi, wauzaji wana uniform hiyo ingeongeza ajira kwa mafundi cherehani; mazao yapo kwenye angalau packages zenye kueleweka locally made na wasuka mikeka etc...Lakini wapi, no creativity watu wamehamia kwenye nyumba bora wakiwa na tabia zilezile za matopeni...Basi wangewapiga hata semina kidogo, what was a need ya kujenga hilo jengo? Kama watu wako vilevile biashara zipo vilevile kisha eti mtumishi anawaza kuongezewa mshahara, kweli watumishi wenzangu?

Hivi tunajithamini kweli? Itatoka wapi hiyo pesa ya nyongeza kama wewe hujaongeza ufanisi?
Sio tatizo lako ni tatizo la kutoelimika.
 
Namshukuru mungu japo akili za kawaida zimekurejea.
Hakuna ugumu wowote mishahara huongezwa kwa mujibu wa sheria. Raisi asiyefuata sheria hata kama ana nia njema kiasi gani huyo ni wa kulaaniwa
Mungu amlaani nyapara yule ampe anachostahili
Inshallah
Acha kupotosha watu, lini akili zangu hazikuwansawa?
 
Watumishi wa umma wanamaumivu makubwa mioyoni mwao sio siri, hata kama kipaumbele ilikuwa kumaliza kwanza mambo ya msingi kama ujenzi wa miundo mbinu, kuimarisha sekta ya afya na elimu lakini waalihitaji kuonewa huruma.

Waziri mkuu alikatisha watu tamaa kabisa pale aliposema eti kuongeza mishahara watumishi wa umma ni kusababisha maisha kuwa ghali. Jambo ambalo sio kweli maana kwa miaka hii mitano watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara na maisha yamepanda pia.

Siku hazigandi na leo ni tarehe nne na mei mosi ipo karibu, watumishi wa umma watapata faraja kama wakisikia wameongezwa mishahara yao. Swali linabaki kuwa je, mama Samia rais wa JMT ataweza kufanya maamuzi ya msingi kwa ajiri ya watumishi wa umma?
Bilakusahau dhuluma tuliofanyiwa na mtangulizi wake kwenye swala uvuvi ule niunyanganyi ziwa tatanganyika uvuvi wakipe sio haram tunafanyakazi kwa leseni unafanyika mbali sana nafukwe lakini bwana yule alifukuza wawekezaji namatokeo yake nikutudhulumu sisi malizetu iliapate mapato katutia umasikini mkubwa sana hadi leo mashine zetu bado anazishikilia alihitaji tupeleke pesa ndio aturudishie nikuombe mama litazame hili pia
 
Watumishi wa umma wanamaumivu makubwa mioyoni mwao sio siri, hata kama kipaumbele ilikuwa kumaliza kwanza mambo ya msingi kama ujenzi wa miundo mbinu, kuimarisha sekta ya afya na elimu lakini waalihitaji kuonewa huruma.

Waziri mkuu alikatisha watu tamaa kabisa pale aliposema eti kuongeza mishahara watumishi wa umma ni kusababisha maisha kuwa ghali. Jambo ambalo sio kweli maana kwa miaka hii mitano watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara na maisha yamepanda pia.

Siku hazigandi na leo ni tarehe nne na mei mosi ipo karibu, watumishi wa umma watapata faraja kama wakisikia wameongezwa mishahara yao. Swali linabaki kuwa je, mama Samia rais wa JMT ataweza kufanya maamuzi ya msingi kwa ajiri ya watumishi wa umma?
NDIYO, MTAONGEZEWA TAREHE MOJA MEI ILA TU MCHAPE KAZI IENDELEE
 
Watumishi wa umma wanamaumivu makubwa mioyoni mwao sio siri, hata kama kipaumbele ilikuwa kumaliza kwanza mambo ya msingi kama ujenzi wa miundo mbinu, kuimarisha sekta ya afya na elimu lakini waalihitaji kuonewa huruma.

Waziri mkuu alikatisha watu tamaa kabisa pale aliposema eti kuongeza mishahara watumishi wa umma ni kusababisha maisha kuwa ghali. Jambo ambalo sio kweli maana kwa miaka hii mitano watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara na maisha yamepanda pia.

Siku hazigandi na leo ni tarehe nne na mei mosi ipo karibu, watumishi wa umma watapata faraja kama wakisikia wameongezwa mishahara yao. Swali linabaki kuwa je, mama Samia rais wa JMT ataweza kufanya maamuzi ya msingi kwa ajiri ya watumishi wa umma?
Kama ataendelea kumsikiliza JK ataweza
 
Back
Top Bottom