Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Pimbi kweli wewe,mimi tu peke yangu nina uwezo wa kutoa hela yote za kampeni ya chadema bila wasiwasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..nimesema VIOLENT CRIMINALS kama Babu Seya na Papii hawataki kuachiwa wakiwa na nguvu zao na kuwa na uwezekano wa kudhuru wengine.
..pia hawatakiwa kupewa heshima ya aina yoyote ile na kutoa picha kwamba mamlaka zinawaunga mkono.
..ndiyo maana nitaendelea kulaani kitendo cha wao kupewa heshima ya kupokelewa IKULU, au kupokelewa na Naibu Waziri wa Utamaduni.
..mwisho, kuna watu wengi sana wanatamani kwenda IKULU kwa sababu hii au ile. What was so special kwa Babu Seya na Papii kupewa nafasi hiyo? Sisi ni taif la ajabu KUJIVUNIA pedophiles kualikwa Ikulu.
Hisia za kuwa walionewa hujazisemea. Kwa nini hisia hizo?
Kichwa kimejaza Uto..k huna akili wewe! Kwa taarifa yako tutachanga sisi wananchi tunaomtuma kazi ya kumwondoa mkoloni mweusi! Hivi unafikri raia hatutajitokeza kununua hizo fonti fedi? Na kwa taarifa yako tume huwa inatoa pia ruzuku kwa ajili ya kampeni za wagombea Urais, unafikri hizo bilioni 310 alizosema mwenyekiti wa tume zinaishia wapi?Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.
Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.
Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.
Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Kwa uchaguzi huu wa mwaka huu, haki ya nani mpaka mjambe cheche!ha ha ha ha !!! mtachanga za tigo rusha ? Ndio utegemee kuendeshea kampeni ya uraisi? uwii mbavu zangu mimi wacha nicheke
Tutamchangia buku buku mpaka itosheMtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.
Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.
Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.
Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Hahahaha kuna kitu ningesema sema kwakua ni Verified User ngoja nikae kimya ila nitakisema kwa muda muafaka!Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.
Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.
Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.
Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
..hisia kwamba walionewa zipo.
..lakini Babu Seya na Papii walikwenda mpaka mahakama ya Rufaa.
..pia walitetewa na Mawakili maarufu wenye uwezo mzuri.
..hata walipopeleka shauri lao mahakama ya afrika mashariki bado ilithibitika kwamba mahakama za Tz zilitenda haki.
..sasa kama unadai walionewa basi suluhisho ilikuwa ni kuwaachia huru, kuwafutia rekodi mbaya, kuwalipa fidia, na kuwaadhibu waliowaonea.
..kusema tu walionewa bila kuwasafisha bado unakuwa hujawatendea haki.
Mambo mengine busara hulazimika itumike, hapa hamsini kwa hamsini ilikuwa ndiyo busara.
..sasa kumkaribisha a pedophile[ mlawiti watoto] ikulu na kumtangaza ktk vyombo vya habari ni busara kweli? dunia inatuona waTz ni watu wa aina gani?
Wewe unaumia nini mkuu matatizo ya mbaya wenu? Furahi CDM hawana pesa!Sio leo tu tumeandika sana humu kuhusu hilo kuwa Chadema wawe makini sababu hatutaki mtu tu kuteuliwa kwa mihemka bila ku take into consideration reality ya mambo.
Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.
Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.
Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.
Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Pls fafanua kidogo boss. Tuseme walikuwa wasimteue huyo waliye mteua ili wapate msaada au aliye achwa angeteuliwa alikuwa na pesa zake mwenyewe alizotaka kuzimwaga. Sasa kaachwa amezira? All in all, nadhani hata akisimama pale ufipa na kuomba kura, hizo za ufipa bado zitamwinua kiasi. Hebu tutulie hadi tuufikie na kuuona huo mto ndo tufikiri namna ya kuvuka. Huenda pingamizi ikapita tukakosa wa kupingana nayeSio leo tu tumeandika sana humu kuhusu hilo kuwa Chadema wawe makini sababu hatutaki mtu tu kuteuliwa kwa mihemka bila ku take into consideration reality ya mambo.
Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?
Hahahaha kuna kitu ningesema sema kwakua ni Verified User ngoja nikae kimya ila nitakisema kwa muda muafaka!
Akikujibu kuwa ni muumini wa ushoga utampa akukaze?
Mambo ya kijinga usituletee hapa
Kwani front pages za magazeti na waandishi wa habari wananunuliwa mkuu? Hawalipwi na waajiri wao? Ama kweli CCM mnanuka rushwa hadi huruma aisee!!!Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.
Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.
Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.
Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
..Babu Seya na Papii walipatikana na hatia ya kulawiti watoto wadogo wa shule.
..walipitia ngazi zote za kimahakama hapa nchini mpaka mahakama ya rufaa na kote huko walikutwa na hatia.
..sasa Jpm akiwa hana sababu yoyote ile ya msingi akaamua kuwapa msamaha wa Raisi.
..Tena akatangaza msamaha huo ktk sherehe za UHURU wa Tanganyika.
..baadae Babu Seya na Papii wakaalikwa IKULU na wakapigwa picha wakiwa na Raisi na picha hizo zikasambazwa ktk vyombo vya habari.
..zaidi Babu Seya na Papii wakapokelewa wizara ya utamaduni na serikali ikaahidi kuwasaidia ktk shughuli zao za muziki.
..sasa hebu jiulize kama kweli serikali hii na chama tawala wanapinga kwa dhati tabia chafu za ushoga na ulawiti.
WANANCHI KWA MIAKA 10 WALIAMINISHWA NA CHADEMA KUWA WAFUNGWA WA KISIASA, ALIONDOA DARAJA LA WAPINZANI KUPATA POINTI YA KUSEMA.
ALIWAFURAHISHA WAPINZANI ILA BAHATI MBAYA WAPINZANI WENYEWE NI KUPINDUKA PINDUKA TUU. LOWASSA FISADI LEO LAKINI KESHO ANAPIGIWA DEKI NA KUTANDIKIWA KHANGA APITE. AHHAAAAAAAA CHADOMO CHAMA CHA MBOWE..
kwani polepole anasemaje..?Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.
Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.
Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.
Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.