Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.

utahangaika sana mlidhani mngeuwa upinzani,kama watz waliweza kuwachangia walipobambikwa kesi ndani ya masaa tu zikapatikana,vipi ikipigwa harambee ya kuchangia ukombozi wao wataacha vipi kuchanga?Pesa sio tatizo zipo tele ndani na nje ya nchi.Hata matajiri wa ndani mliowaumiza kuwakomoa eti wawe masikini utadhani nyie ndo mnagawa riziki watachanga tu.
Hakuna pa kuchomokea mbabe wa ushindi wenu Mungu alimpenda zaidi amepumzika nyumba ya milele lupaso,.
 
Mashabiki wake watachanga mkuu.
 
DAWA YA JIWE NI LISU,
kushindana na mtu primitive yafaa uwe primitive zaidi
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.

Wewe umejuaje kama hawana pesa?
 
Mleta mada acha kiherehere kwani wewe ndio mweka hazina wa Chadema. Bogus kabisa.
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.

gazeti ambalo halitaweka front page ya LISSU jua hilo haliuzi au MACCM walinunue Jumla lote.
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
ccm mnategemea mawe ya Laizer na fedha mliyowadhulumu wafanyabiashara. CHADEMA ni ya wananchi ndo watakaoichagua wala hawahitaji nguvu
 
Sio leo tu tumeandika sana humu kuhusu hilo kuwa Chadema wawe makini sababu hatutaki mtu tu kuteuliwa kwa mihemka bila ku take into consideration reality ya mambo.

Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?
kwani mgombea asingekuwa Lisu fedha zingetoka wapi
 
Back
Top Bottom