Ndio MM, na hiyo ndio sababu ya mvurugano huu unaoendelea .
Sababu kubwa ya watu kuoana bila kuitaka ndoa ni “Msukumo kutoka kwenye jamii” kunyooshewa vidole na kuitwa majina. Siku jamii ikibadili huu mtazamo, ndoa zitabaki kwa wale wanaozihitaji tu sio wazugaji.
Sababu nyingine ni benefits/entitlements zinazokuja na ndoa , au tunazodhani zitakuja na ndoa, nimetumia neno kudhani sababu yawezekana si kila muingia ndoani atazipata. (Tunayaona kwenye jamii)
Purely ndoa inahitaji watu wawili walioamua kuishi pamoja kwa umoja, kama si hivi hiyo “siyo”